Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mama Kikwete angeweza kugombea Jimbo la Kawe na angeshinda kwa kishindo tu lakini Hekima imemtuma kuwatumikia Wananchi waliomlea na kumfikisha kwenye kilele cha mafanikio Mbunge wa nyumbani ndio...
1 Reactions
28 Replies
569 Views
Hata "Remote"ya Roma inaweza kuwa kwa Sugu Mbeya! Nimemsikia Roma Mkatoliki na wadau wengine wa mitandaoni wakikosoa Mh. Rais kufanya "Consultation" kwenye masuala ya msingi ya kitaifa kupitia...
7 Reactions
26 Replies
4K Views
Waliojiandikisha 37M. Marehemu Jecha anajua. Wapemba wanajua. MADA yangu imeishia hapo
2 Reactions
4 Replies
417 Views
Kesi hiyo ya Uongo ambayo Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi imeitunga ili kuzuia Moto wa siasa wa Chadema, baada ya kumuogopa Lissu Majukwaani, Inaendelea tena Jumatano hii...
12 Reactions
40 Replies
2K Views
Ghafla tushasahau habari ya no reform no election tuko busy na uchaguzi wa ccm ilhali tushakubaliana mwaka huu hamna uchaguzi ... vipi tena mnaanza ku change gia hewan?
4 Reactions
21 Replies
798 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nashindwa niseme nini,nashindwa niwaambie nini maana Taifa limesimama na wananchi wametulia huku macho na masikio yakiwa mkoani Dodoma . Sasa Mwamba Mwenyewe mwenezi wa...
0 Reactions
80 Replies
5K Views
Leo hii, Tundu Antiphas Lissu, mwanasheria wa kiwango cha juu, anarejea katika chombo cha haki — mahakama — si kwa ajili ya maigizo ya kisiasa, bali kwa ajili ya kuitafuta na kuisimamia...
6 Reactions
13 Replies
742 Views
Watu kama January Makamba, Mpina, Mrisho Gambo, Sabaya na Jerry Muro wasipoteuliwa ubunge au kazi za serikalini wanaweza kufanya kazi gani tena hapa Tanzania katika sekta binafsi? Ni wachache...
9 Reactions
77 Replies
3K Views
Tanzania ina wasomi zaidi ya milioni 1.5, lakini takriban 700,000 wapo mitaani wakihangaika, wakiwa ni victims wa mfumo usiothamini maarifa (anti-intellectual governance structure). Hii si ajali...
0 Reactions
4 Replies
452 Views
Mozambique na Tanzania ziko kwenye vita Kali ya ushindani wa Kutawala soko la Nishati Kwa kutumia gesi asilimia yaani LNG. Kila Nchi inapambana kuhakikisha inajenga viwanda vya kusindika gesi...
0 Reactions
14 Replies
644 Views
Huyu mama rafiki wa jk nae ana bifu gani na Hangaya mpaka hadi viti maalumu kaliwa kichwa?
2 Reactions
6 Replies
765 Views
Badala ya kuhangaika na Machawa akina Mwijaku tuwatie moyo vijana wa kazi wakatutumikie bungeni Ahsanteni sana 😁✔️
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Ni tishio ? Wamepitwa na wakati ? Wamegombana na Ccm ? Mgongano wa masalahi ? au ?
8 Reactions
113 Replies
6K Views
Salaam Wengi wetu tumekuwa tukishindwa kuelewa hatua za michujo anazopitia mwanachama wa CCM kuanzia kuchukua form hadi kula za maoni na kuchaguliwa mtu mmoja kama mgombea wa jimbo au kata fulani...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Aliyekuwa kada wa CHADEMA na mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la Biharamulo katika uchaguzi mkuu uliofanyika Octoba, 2020 na baadae kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mnamo tarehe Machi 25, mwaka...
0 Reactions
0 Replies
435 Views
1. January Makamba 2. Kassim Majaliwa 3. Humphrey Polepole 4. Josephat Gwajima 5. Luhaga Mpina Tukumbuke, vigogo hawa wametemwa na CCM ubunge 2025 kutokana na misimano thabiti isiyotetereka na...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata...
22 Reactions
163 Replies
29K Views
Kwa wale wajuvi wa Siasa na Historia kiujumla, naomba kufahamu kuhusu Majimbo aliyowahi kugombea Rais Samia, na ilikuwa ni mwaka Gani, pia je aligombea kupitia Chama Gani Nafahamu Rais Samia...
1 Reactions
5 Replies
471 Views
Chama Cha Mapinduzi leo Julai 29, 2025 kimetangaza Wanachama wake waliopitishwa kuwania Ubunge katika majimbo mbalimbali. Baadhi ya wagombea ambao walikuwa wabunge majina yao hayajapitishwa na...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
https://youtu.be/BhcymOXCtEM Kamati kuu ya Chama wajaribu kurudia na kutazama upya mchakato wa kuteuwa wagombe wa Ubunge hususani kutoka Jimbo la Meatu ili haki itendeke zaidi. Ambapo viongozi...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom