Je, Luhaga Mpina kuwa Katibu Mkuu CCM?

Je, Luhaga Mpina kuwa Katibu Mkuu CCM?

Sio rahisi, mie nahisi MAKAMBA ndio atapachikwa hapo.
 
Mpina yule mbunge wa Taifa? kwa kuwa ni ndoto basi tuwaachie hapo...
studio
 
Ni muda sasa anzisheni jeshi achaneni na siasa za kijinga.

Mkiwa na Jeshi mtasikilizwa.
 
Mpina hana sifa mbaya za kuwa katibu mkuu wa CCM. Hafai, uliona wapi mlokole au shiekh anakuwa kiongozi wa vibaka. Atawakwamisha.
 
Back
Top Bottom