Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zamani nikijua bado yuko Area C Kumbe alishahama Hekalu jipya lina hadi round about Kama siasa zinalipa hivi wataendelea kututeka mpaka kiama
15 Reactions
166 Replies
13K Views
RAIS John Magufuli amesema sababu kubwa ya kusitishwa kwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni masharti magumu yaliyomo katika mkataba wa utekelezaji wa kazi hiyo. Jiwe la msingi la ujenzi wa...
6 Reactions
441 Replies
45K Views
Ndipo JK akautangazia Umma kwamba Urais wake hauna Ubia na Mtu yoyote Rostam Aziz akasema Anaachana na Siasa Uchwara akajiuzulu Ubunge Samwel Sitta naye akalia akisema “ nimeambiwa 2010 ni zamu...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakazi wa Dodoma wako hapa wamekusanyika wakimsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kwa awamu nyingine.
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha Makini, Bw. Coaster Kibonde na Mgombea Mwenza Azza Haji Suleiman, wamejitokeza Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC, Njedengwa Jijini Dodoma, kuchukua fomu...
3 Reactions
1 Replies
254 Views
Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha Makini, Bw. Coaster Kibonde na Mgombea Mwenza Azza Haji Suleiman, wamejitokeza Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC, Njedengwa Jijini Dodoma, kuchukua fomu...
0 Reactions
3 Replies
363 Views
Hamjambo! Leo sifa Kemkem zimemiminika kwa Hayati Jon Ndugai aliyekuwa Spika wa bunge letu. Moja ya sifa alizopewa ni uzalendo uliotukuka. Nakumbuka kauli yake ya Taifa kupigwa mnada kutokana na...
0 Reactions
6 Replies
351 Views
Polepole amekubali na ameanza kwa kumtaka Wakili Msando aeleze kwanza Sifa 5 za Mwanaccm na Imani ya mwanachama Msando anasubiriwa ajibu Ahsanteni sana Nawatakia Dominica njema 😄🙏
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Aliyeelewa anieleweshe na mimi nielewe
12 Reactions
83 Replies
5K Views
Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Geita Mjini mkoani Geita wameeleza kusikitishwa kwao na namna mchakato wa kura za maoni za kupata wagombea ubunge na madiwani...
0 Reactions
1 Replies
377 Views
Tazama Mapokezi ya wagombea Urais wa ACT Wazalendo Luhaga Mpina (Bara) na Othman Masoud Othman (Zanzibar). https://www.youtube.com/live/BOLHrWxkvIs?si=O3Q9QNPMpG4CKgI0
0 Reactions
3 Replies
433 Views
Sijasema Mimi. Ndugu Pole pole ndo kasema kwamba ACT Iliaisisiwa na mwanamtandao mmoja maarufu miaka ya nyuma ili kumdhibiti Lissu, Dr Slaa na Chadema ya enzi hiyo. mwenyekiti wao akiwa Mbowe...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi ya ajabu sana, ni watanzania TU tunapuuzia kila kitu paspo na sababu. Samia ni lini alichukua fomu kuomba ridhaa ya chama kimteue kugombea uraisi wa Tanzania? Kwenye mafaili ya...
9 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hii hapa. =================== Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Salum Mwalimu kama alishindwa kuupata urais wa chuo cha IFm anaweza kushindana na Samia? Si bora wangamlushawishi mbwana Samata awe mgombea kupitia CHAUMA? Kwani Gorge Weah alikuwa mwanasoka wa...
2 Reactions
11 Replies
561 Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan, na mgombea mwenza, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo Agosti 9, 2025 wanaenda katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuchukua...
18 Reactions
279 Replies
15K Views
Ukiwa Muongo au mnafiki, jitahidi usiwe msahaulifu.
5 Reactions
10 Replies
707 Views
Aliyewahi kuwa Spika na aliyekuwa Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia, leo Agosti 6, 2025, taarifa ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge...
32 Reactions
704 Replies
58K Views
Kulingana Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa; "Vyama vinavyopata ruzuku ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na vyama vyenye Wabunge au...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
MAELFU YA GENERATION SAMIA WAMHAKIKISHIA SAMIA KIMBUNGA CHA USHINDI Mandhari ya Dodoma leo yamewaka moto wa shangwe na hamasa baada ya maelfu ya vijana wa Generation Samia kujitokeza...
2 Reactions
13 Replies
725 Views
Back
Top Bottom