Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mpo Salama bila Shaka! Sio kila wakati au kila Jambo mabavu na ubabe ni suluhu ya matatizo. Mwaka Jana niliwahi kuandika hapa Pre GE2025 - Matukio yanayoongoza wakati huu ni utekaji, mauaji...
13 Reactions
30 Replies
2K Views
Hivi Ndugu yetu Tundu Lissu akiomba tu Msamaha mbele ya Watanzania kwani kuna ubaya?kuliko "vichekesho" hivi anavyofanya Mahakamani paleMahakama.ya Hakimu Mkazi -Kisutu wakati hata KESI yenyewe...
0 Reactions
1 Replies
27 Views
Rais Dk. Samia afungua fursa kwa vijana EACOP Na Mwandishi Wetu, Geita Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imezidi kuwajali vijana, baada ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...
0 Reactions
1 Replies
278 Views
Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA – Tanzania Bara, Amani Golugwa, amefunguka kuhusu ukimya wa hivi karibuni kati ya chama na Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe, akisisitiza kuwa hakuna ugomvi wala...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakati akizungumza katika mkutano wa vya viongozi wakuu wa vyama vya siasa wakipatiwa mafunzo ya sheria ya gharama za uchaguzi. MWanadiplomasia na mbobezi wa Itifaki Omary Mjengwa amegusia suala...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna vitu havielezeki ukiviwaza kwa ndani. Mojawapo ya jambo lidiloelezeka na kuonekana ni kama utoto wa kikubwa ni hii kesi inayoendelea ya Jamhuri dhidi ya Lissu. Unakaa unawaza, hivi kweli...
1 Reactions
7 Replies
548 Views
Rais John Magufuli amemrudishia hadhi ya ubalozi Profesa Costa Mahalu kuanzia leo, Katibu Mkuu Mambo ya Nje, Adolf Mkenda amesema. Katika taarifa aliyoitoa, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
3 Reactions
112 Replies
25K Views
I am hitting the ground while running. Ndugu zangu salamu zangu hizi hapa. Hebu someni attachments hizi muone nani mwongo. Regards na hii pia: Re: Yanayozungumzwa Ministry of Foreign and...
35 Reactions
172 Replies
26K Views
Prof. Mahalu amemtuhumu Kikwete kwamba akiwa Rais alimfungulia kesi ya ufisadi kiuonevu, wakati yeye mwenyewe Kikwete ndiye aliyesimamia uuzaji wa nyumba ya Tanzania kinyemela huko Italy akiwa...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Baada ya Washitakiwa hawa kuonekana wanayo kesi ya kujibu , kuna juhudi kubwa kutoka kwa upande wa serikali kutaka kujua na kuwafahamu Mashahidi wa Utetezi (Haifahamiki malengo ya jambo hili) ...
10 Reactions
115 Replies
9K Views
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Dkt. Godwin Mollel ambaye ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya anayemaliza muda wake ameandika ujumbe huu kuhusu Askofu Josephat Gwajima: Hakuna aliyefunga...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Soma hapa chini halafu uniambie. Je, Tanzania hatujakaribia kutawaliwa na familia? MMFUMO WA UONGOZI WA KOREA KASKAZINI. North Korea's system of leadership is a hereditary dictatorship, with...
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Wananchi wa Shinyanga mjini mkoani humo wameeleza kuwa sababu kubwa zilizowafanya kumdhamini Mgombea wa Urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, ni imani yao kuwa atakwenda kuwatatulia...
0 Reactions
1 Replies
361 Views
A political leader who behave like anybody that is not a political leader Lack of emotional intelligence and failure to build relationships! Niwatakie mchana usiku mwema
1 Reactions
0 Replies
199 Views
Yaani mtu kama huyu ambae hata ajaanza kujitegemea kimaisha ndio mnatuma kumjibu Gwajima. This is political poor sense of Thinking. Kama mnamtuma basi mnakosea sana. Muuza Kangala.
1 Reactions
1 Replies
214 Views
Kwenye hotuba ya jana tarehe 15/08/2025 ya Gwajima, kwenye maneno yote aliyozungumza, neno bora kabisa ni lile kuhusu watu weusi tunavyotofautiana na Wazungu katika kuwatumia watu wenye uwezo...
14 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwa sasa wenye mamlaka wameamua kutumia silaha zote dhidi ya wanaotetea Haki, Utawala Bora na Demokrasia. Wameona kuua, kuteka na kupoteza haitoshi hivyo sasaivi wamevifanya vyombo vyote...
24 Reactions
81 Replies
3K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Agosti 18, 2025 imepanga kutoa amri kuhusu kurushwa mubashara kwa maelezo ya mashahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa mahali tulipofika Tanzania, haijalishi hili litafanikiwa mwaka gani, ila kwa uozo uliopo kwenye hili Taifa na mifumo yake endapo mabadiliko yakitokea, iwe kwa njia halali au zisizo halali...
24 Reactions
40 Replies
2K Views
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliotaka kuruhusiwa kuendelea na shughuli za kisiasa, baada ya zuio...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom