Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Prof. Mahalu amemtuhumu Kikwete kwamba akiwa Rais alimfungulia kesi ya ufisadi kiuonevu, wakati yeye mwenyewe Kikwete ndiye aliyesimamia uuzaji wa nyumba ya Tanzania kinyemela huko Italy akiwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje.
Prof. Mahalu amedai kwamba kwa kuwa Mkapa alijua ukweli wa jambo hili na kwamba Kikwete alikuwa akimuonea Prof. Mahalu na kumfanya scapegoat, alimamua kwenda Mahakamani kumtetea kama shahidi na hii ndio ilisababisha Prof. Mahalu kushinda kesi.
Hii naonyesha wazi basi jinsi baadhi ya viongozi wetu walivyo na sura mbili. Kwa lugha ya mtaani anachosema Prof. Mahalu ni kwamba Kikwete akiwa Raisi alimbambikia kesi ya uhujumu uchumi, huku akijua wazi kwamba Prof. Mahalu hakuwa na kosa na kwamba Kikwete mwenyewe alihusika katika uuzaji wa hiyo nyumba, kitu ambacho kilimuuma sana Mkapa hadi akaamua kwenda Mahakamani kuwa shahidi wa Prof. Mahalu katika kumteteta.
Chanzo: Mwananchi
MAHOJIANO MAALUMU: Profesa Mahalu aeleza siri ya urafiki na Mkapa
Prof. Mahalu amedai kwamba kwa kuwa Mkapa alijua ukweli wa jambo hili na kwamba Kikwete alikuwa akimuonea Prof. Mahalu na kumfanya scapegoat, alimamua kwenda Mahakamani kumtetea kama shahidi na hii ndio ilisababisha Prof. Mahalu kushinda kesi.
Hii naonyesha wazi basi jinsi baadhi ya viongozi wetu walivyo na sura mbili. Kwa lugha ya mtaani anachosema Prof. Mahalu ni kwamba Kikwete akiwa Raisi alimbambikia kesi ya uhujumu uchumi, huku akijua wazi kwamba Prof. Mahalu hakuwa na kosa na kwamba Kikwete mwenyewe alihusika katika uuzaji wa hiyo nyumba, kitu ambacho kilimuuma sana Mkapa hadi akaamua kwenda Mahakamani kuwa shahidi wa Prof. Mahalu katika kumteteta.
Chanzo: Mwananchi
MAHOJIANO MAALUMU: Profesa Mahalu aeleza siri ya urafiki na Mkapa