Uamuzi wa Mahakama Kuu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake vs Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA & Katibu Mkuu wa CHADEMA juu ya pingamizi ya mamlaka ya Mahakama kusikiliza kesi hiyo utatolewa...
February 6, 2026
Warning: This story contains graphic content.
https://t.co/bwpN0QJUj7
Tafsiri isiyo rasmi.
Ikimezwa na vita na idadi kubwa ya waliokufa, Afrika inaingia katika aina ya giza...
Maenye pichanya bungeni ikionesha alipokaa aniwekee hapa.
Najaribu ku imagine alivyokaa huko kajampa nani na kigonga meza!
Same like yule atakavyo kuwa amevaa uniform ya jela ya ICC
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio...
Katika kile kinachoonekana kutunishiana misuli kati ya Mkiti wa CCM Mkoa na RC Tabora wiki iliyopita RC alifanya mkutano mkutano mkubwa ambapo aliwaita wenyeviti wote wa CCM wa wilaya zote za Mkoa...
Wanabodi
Hii ni makala yangu ya kufungia mwaka kwenye gazeti la Mwananchi la Leo ikiwa ni makala ya 52 kwa mwaka huu.
Hii ni Makala yangu ya mwisho kwa mwaka huu wa 2025, ambapo Jumatano ya...
TAARIFA KWA UMMA.
Juu ya kiongozi mwenzetu ambae ni Mlinzi wa Mhe. Lissu, Award Kalonga.
Jana January 4, mwaka huu tulipokea taarifa kutoka Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kuwa kiongozi wetu...
Balozi Waziri Rajab Salum ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara. Balozi Salum anachukua nafasi ya Dkt. Hashil Twaib Abdallah ambaye atapangiwa majukumu mengine;
Ndugu zangu Watanzania,
Siku zote Nawaambieni Ya Kuwa Usishindane na aliyebarikiwa Na Mungu ,usishindane na aliyeinuliwa na Mungu ,usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Aliyepewa kapewa tu...
Wanabodi
Rwanda na Uganda ndizo nchi mbili pekee kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC katika orodha ya nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara...
Shirika la Haki za binadamu Duniani la Amnesty International imeikana barua iliyodaiwa kuwa yao iliyokwenda kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), iliyokuwa ikilaani na kukemea kuhusu...
Balozi Waziri Rajab Salum ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara. Balozi Salum anachukua nafasi ya Dkt. Hashil Twaib Abdallah ambaye atapangiwa majukumu mengine;
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan, akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai, mara baada ya...
Hata DC naye ukimkosoa, Anakutumia Watu wasojulikana, Wanakuteka, Wanakuua, unabaki Stori, Alafu DC kesho yake anatumbuliwa Tayari keshakuua
Haya ni Matokeo ya kua na Rais Haramu, alojiweka hapo...
Kwa mujibu wa VECERT, kampuni inayojishughulisha na Cyber Threat Intelligence (CTI) na usalama wa mtandao, ikibobea katika utafiti wa kina wa wahalifu wa mtandao na intelijensia, imeeleza kuwa...
Kitendo cha CCM kutangaza kuwa kitawalipa watakaokwenda kutoa ushahidi kwenye tume ya Chande hiyo ni rushwa ya wazi, na kumshawishi shahidi kwa njia yeyote bila ridhaa yake ni sawa na kumlazimisa...
Serikali imetangaza jumla ya nafasi 41,500 za ajira katika kada mbalimbali zikiwemo elimu, afya, ulinzi, kilimo, mifugo na uvuvi, huku ikiagiza Sekretarieti ya Ajira kukamilisha mchakato wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.