Wakuu, kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na stori moja ya ajabu sana…
Tunakumbuka wote jinsi kina Nyalandu, Kombo na Kabudi walivyokuwa wakisafiri duniani kujisafisha dhidi ya ile damu...
My Take
😂😂😂😂😀😀 Chadomo mpo?
-------------
Marekani imekuwa ikizishinikiza nchi kadhaa za Afrika kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikiwa ni pamoja na kutishia kuchukua...
Mhoji (Charles William): Mara nyingi unapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema mzee Azim Dewji...
Kuna upinzani ndani ya CCM na nje ya CCM.
Nje ya CCM ni Chadema chini ya Lissu na Heche. Imeonekana haina habari za siasa za kitapeli za kulaghai wananchi.
Ndani ya CCM kuna kundi kubwa la...
Mimi ni mama wa watoto wawili najishugulisha na biashara ya nguo Kariakoo yaani machinga Jana nimepokonywa mzigo wangu na MGAMBO wa jiji kwenda kukomboa wanataka faini ya elfu 50 Mpaka LAKI...
Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi October 29, ilikuwa ni kosa kubwa sana, na ni kosa litakalo wagharimu Wazanzibari na CCM.
Ni suala la muda kabla ya Watanganyika kuchoka kuishi na Wazanzibari...
Miaka ya hivi karibuni wanasiasa wamekuwa na nguvu kubwa pengine kuliko kundi lolote kwenye jamii
Hii ni kwasababu, hata vyombo vya dola karibu vyote dalili nyingi zinaonyesha vinahofu na...
Mbinu za Matume ya Rojo zimeshindikana. Tume kibao halafu zikija zinawekwa kwanye makabati!.
Pesa za watanzania zinatumika kutengeneza tume fake za rojo kusafisha wauaji, watekaji na wala rushwa...
Hamjambo!
Kwa mtu mgeni akiingia humu JF anaweza kufikiri Mtandao au forums hii niya wapinzani.
Itisha polls zozote zile. Polls itakayohusisha CCM humu JF lazima ishindwe kwenye kura kwa kiwango...
Mwanaharakati, Maria Sarungi ametoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa X usiku huu akidai kuwa Rachel Dangwa hajulikani alipo tangu Ijumaa huko nchini Japan.
Katibu wa NEC, Organizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Chacha, amesema kunyima watu haki kunajenga tabaka baya katika jamii, akisisitiza kuwa chama kitahakikisha wanachama wake wanapata...
Kwanza ilikuwa Hitler. Kanisa lilimpinga sana Hitler.
Pia baada ya Mapinduzi ya Lenin, serikali za kidikteta zikajitokeza Urusi na nchi nyingi za Ulaya Mashariki.
Hawa watu walikuwa wanaamini...
NDUMILAKUWILI?
Ukurasa wa mbele wa gazeti la JAMVI LA HABARI umechapisha katuni inayoonyesha ukigeugeu wa kauli za kiongozi mmoja mashuhuri nchini, kwa kulinganisha kauli aliyoitoa Agosti 9, 2025...
Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T-CAMS, unaendeshwa na Capital Pay, unahusishwa na kashfa kubwa ya familia ya rais. Kampuni hii inamilikiwa na Garang Malek kutoka South Sudan, ambaye anahusishwa...
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================...
Waliopo Karibu na Wanaharakati Mwanamke Muwe makini.
Kama Unaishi Nchi za Afrika sepa au rejea Nyumbani utapokelewa na Msahama.
Tuliwaonya Sasa mmoja mmoja
Kazi yake Itakua kutoa Taarifa kwamba...
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, Nasra Mohamed amesema; "Hata tukitengeneza Katiba Mpya leo kama watu hawatawajibika bado tutarudi kwenye suala la malalamiko kwa Wananchi"
EWURA imetangaza bei elekezi ya mafuta kwa mwezi August. Wastani wa bei ya Petroli ni TZS 4,034/=. Yaani ukichukua bei ya Dar 3,898/= (bei ndogo zaidi), ukajumlisha bei ya Kyerwa (Kagera) 4,170/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.