Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na stori moja ya ajabu sana… Tunakumbuka wote jinsi kina Nyalandu, Kombo na Kabudi walivyokuwa wakisafiri duniani kujisafisha dhidi ya ile damu...
9 Reactions
16 Replies
645 Views
My Take 😂😂😂😂😀😀 Chadomo mpo? ------------- Marekani imekuwa ikizishinikiza nchi kadhaa za Afrika kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikiwa ni pamoja na kutishia kuchukua...
2 Reactions
13 Replies
247 Views
Mhoji (Charles William): Mara nyingi unapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema mzee Azim Dewji...
2 Reactions
19 Replies
599 Views
Kuna upinzani ndani ya CCM na nje ya CCM. Nje ya CCM ni Chadema chini ya Lissu na Heche. Imeonekana haina habari za siasa za kitapeli za kulaghai wananchi. Ndani ya CCM kuna kundi kubwa la...
5 Reactions
19 Replies
254 Views
Mapokezi ya John Heche Tarime. Hata hili eti CCM linawauma. Ukiwa CCM roho mbaya ndo Silaha
8 Reactions
10 Replies
279 Views
Mimi ni mama wa watoto wawili najishugulisha na biashara ya nguo Kariakoo yaani machinga Jana nimepokonywa mzigo wangu na MGAMBO wa jiji kwenda kukomboa wanataka faini ya elfu 50 Mpaka LAKI...
1 Reactions
7 Replies
294 Views
Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi October 29, ilikuwa ni kosa kubwa sana, na ni kosa litakalo wagharimu Wazanzibari na CCM. Ni suala la muda kabla ya Watanganyika kuchoka kuishi na Wazanzibari...
18 Reactions
27 Replies
659 Views
Miaka ya hivi karibuni wanasiasa wamekuwa na nguvu kubwa pengine kuliko kundi lolote kwenye jamii Hii ni kwasababu, hata vyombo vya dola karibu vyote dalili nyingi zinaonyesha vinahofu na...
3 Reactions
6 Replies
88 Views
Ruhusa ya vyama vya siasi kuendelea na Mikutano ya hadhara.
5 Reactions
9 Replies
159 Views
Mbinu za Matume ya Rojo zimeshindikana. Tume kibao halafu zikija zinawekwa kwanye makabati!. Pesa za watanzania zinatumika kutengeneza tume fake za rojo kusafisha wauaji, watekaji na wala rushwa...
0 Reactions
1 Replies
46 Views
Hamjambo! Kwa mtu mgeni akiingia humu JF anaweza kufikiri Mtandao au forums hii niya wapinzani. Itisha polls zozote zile. Polls itakayohusisha CCM humu JF lazima ishindwe kwenye kura kwa kiwango...
16 Reactions
96 Replies
915 Views
Mwanaharakati, Maria Sarungi ametoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa X usiku huu akidai kuwa Rachel Dangwa hajulikani alipo tangu Ijumaa huko nchini Japan.
14 Reactions
88 Replies
2K Views
Katibu wa NEC, Organizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Chacha, amesema kunyima watu haki kunajenga tabaka baya katika jamii, akisisitiza kuwa chama kitahakikisha wanachama wake wanapata...
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Kwanza ilikuwa Hitler. Kanisa lilimpinga sana Hitler. Pia baada ya Mapinduzi ya Lenin, serikali za kidikteta zikajitokeza Urusi na nchi nyingi za Ulaya Mashariki. Hawa watu walikuwa wanaamini...
3 Reactions
8 Replies
154 Views
NDUMILAKUWILI? Ukurasa wa mbele wa gazeti la JAMVI LA HABARI umechapisha katuni inayoonyesha ukigeugeu wa kauli za kiongozi mmoja mashuhuri nchini, kwa kulinganisha kauli aliyoitoa Agosti 9, 2025...
4 Reactions
20 Replies
513 Views
Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T-CAMS, unaendeshwa na Capital Pay, unahusishwa na kashfa kubwa ya familia ya rais. Kampuni hii inamilikiwa na Garang Malek kutoka South Sudan, ambaye anahusishwa...
16 Reactions
83 Replies
2K Views
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo ========================...
10 Reactions
537 Replies
14K Views
  • Redirect
Waliopo Karibu na Wanaharakati Mwanamke Muwe makini. Kama Unaishi Nchi za Afrika sepa au rejea Nyumbani utapokelewa na Msahama. Tuliwaonya Sasa mmoja mmoja Kazi yake Itakua kutoa Taarifa kwamba...
2 Reactions
Replies
Views
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, Nasra Mohamed amesema; "Hata tukitengeneza Katiba Mpya leo kama watu hawatawajibika bado tutarudi kwenye suala la malalamiko kwa Wananchi"
0 Reactions
8 Replies
145 Views
EWURA imetangaza bei elekezi ya mafuta kwa mwezi August. Wastani wa bei ya Petroli ni TZS 4,034/=. Yaani ukichukua bei ya Dar 3,898/= (bei ndogo zaidi), ukajumlisha bei ya Kyerwa (Kagera) 4,170/=...
14 Reactions
32 Replies
645 Views
Back
Top Bottom