Suala zima la kumwaga damu za watu ili muwe madarakani linatakiwa kuwauma kuliko mnavyo nadhania.
Njia itumiwayo na kanisa katoliki la kutubu dhambi pale kwenye kichumba akaacho padri na muumini...
Wahusika wamekuwa wakitengeneza hadithi mbalimbali kuuhadaa umma, lakini ukweli ni kwamba watawala wana hofu ya nchi kuwekewa vikwazo vya kuuza dhahabu nje kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki za...
Wanabodi,
Moja ya kanuni kuu za mwandishi wa habari is to tell nothing but the truth!,
Tangu escrow ilipoanza, kwanza
Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT...
Pale Mpingo House walitunza meno ya tembo na pembe za faru. Ghafla wakatamani pesa, wakatangaza kuuza. Bahati nzuri kwa TZ, Kenya walivuruga mpango huo, wakashindwa. Sasa wamekuja na jipya...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba lile zuio feki la Mahakama la kuzuia Chadema kufanya shughuli za kisiasa limemalizika rasmi.
Mwanzilishi wa Zuio Hilo ni Mzanzibar Said Issah Mohamed...
Mbunge wa Jimbo la Makete, akichangia katika Bunge la 13, Mkutano wa Pili, Kikao cha 6, ameeleza kuwepo kwa mifuko ya vijana katika wizara mbalimbali licha ya kuwepo kwa Wizara rasmi ya Vijana...
Wakifikia Zanzibar hakuna tabu ila Bara watatunyapaa mithili ya kinyesi Hawa wajomba wa mama.
Ziara ya mama baada ya ushindi wa kishindo aliitwa na wajomba?
Nina uhakika aliko ana amani kuliko...
Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu.
Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike...
MBUNGE WA VITI MAALUM MARA AULIZA SWALI KUHUSU UWEKEZAJI WA VIWANDA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ghati Zephania Chomete, ameuliza swali bungeni akiishukuru Serikali kwa majibu...
Kitu alichokifanya kabudi aibu naona mimi sijui alienda kuongea nini maskini na papa kwamba unashtaki wanaopinga mauwaji.
Heti huyu ndio mnamuita genius sijui professor? ameenda kufanya kazi...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa ya...
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke...
Naibu waziri wa Utumishi na utawala bora, Regina Ndege Qwaray akijibu swali la Mbunge viti maalum Latifa Juakali kuhusu serikali kutoa vipaumbele vya ajira kwa vijana wenye umri mkubwa.
Naibu...
Kabla ya Uchaguzi Mkuu wote ni mashuhuda wa mitifuano ya kisiasa iliyotokea kwenye Vyama vya Siasa hasa Vyama hivi
Chadema
CCM
ACT Wazalendo
Chaumma
Uchaguzi umeisha na kila mmoja amevuna...
SERIKALI KUNUNUA MATREKTA 10,000 - DKT. MWIGULU NCHEMBA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...
Hakika angechezea tu Uchaguzi pengine angeepuka adhabu na mauti inayomnyemelea kwa sababu ujinga kama huo wanaufanya Kagame, Museveni, Paul Biya na wengine wengi..
Kuna ushahidi kuwa dunia...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amejibu ametoa maelezo juu ya kauli zilizotolewa na Chama Cha ACT Wazalendo juu ya hatua hiyo ya ZEC kutaka kuteketeza nyaraka zote za...
Rais samia ameondoka nchini kwa kificho. Hatujui anakwenda kukutana nani, atakaa siku ngapi na ameandamana na nani. Ni ajabu. Kwanini tufichwe wakati anatumia fedha zetu mbali na kutumia jina letu...
Leo salima kikwete analia jimboni kwake Hana stend hata Moja swali je kiongozi wa Jimbo lake alikuwa mpinzani?
Je alishindwa kumwomba mmewe hata STENDI? Moja TU?
Balozi Polepole alikuwa anatumia Laini ya Airtel Tanzania hadi anatekwa. Je, ndio walitoa Location?
Namba ya Balozi Polepole ni +255786146700
Airtel inashirikiana na Serikali katika maswala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.