Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Suala zima la kumwaga damu za watu ili muwe madarakani linatakiwa kuwauma kuliko mnavyo nadhania. Njia itumiwayo na kanisa katoliki la kutubu dhambi pale kwenye kichumba akaacho padri na muumini...
0 Reactions
2 Replies
163 Views
Wahusika wamekuwa wakitengeneza hadithi mbalimbali kuuhadaa umma, lakini ukweli ni kwamba watawala wana hofu ya nchi kuwekewa vikwazo vya kuuza dhahabu nje kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki za...
14 Reactions
15 Replies
439 Views
Wanabodi, Moja ya kanuni kuu za mwandishi wa habari is to tell nothing but the truth!, Tangu escrow ilipoanza, kwanza Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT...
74 Reactions
230 Replies
27K Views
Pale Mpingo House walitunza meno ya tembo na pembe za faru. Ghafla wakatamani pesa, wakatangaza kuuza. Bahati nzuri kwa TZ, Kenya walivuruga mpango huo, wakashindwa. Sasa wamekuja na jipya...
2 Reactions
3 Replies
112 Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba lile zuio feki la Mahakama la kuzuia Chadema kufanya shughuli za kisiasa limemalizika rasmi. Mwanzilishi wa Zuio Hilo ni Mzanzibar Said Issah Mohamed...
25 Reactions
48 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Makete, akichangia katika Bunge la 13, Mkutano wa Pili, Kikao cha 6, ameeleza kuwepo kwa mifuko ya vijana katika wizara mbalimbali licha ya kuwepo kwa Wizara rasmi ya Vijana...
1 Reactions
22 Replies
305 Views
  • Redirect
Wakifikia Zanzibar hakuna tabu ila Bara watatunyapaa mithili ya kinyesi Hawa wajomba wa mama. Ziara ya mama baada ya ushindi wa kishindo aliitwa na wajomba? Nina uhakika aliko ana amani kuliko...
0 Reactions
Replies
Views
Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu. Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike...
11 Reactions
23 Replies
657 Views
MBUNGE WA VITI MAALUM MARA AULIZA SWALI KUHUSU UWEKEZAJI WA VIWANDA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ghati Zephania Chomete, ameuliza swali bungeni akiishukuru Serikali kwa majibu...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
  • Redirect
Kitu alichokifanya kabudi aibu naona mimi sijui alienda kuongea nini maskini na papa kwamba unashtaki wanaopinga mauwaji. Heti huyu ndio mnamuita genius sijui professor? ameenda kufanya kazi...
0 Reactions
Replies
Views
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa ya...
6 Reactions
43 Replies
763 Views
Habari wana ndugu Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi. Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke...
30 Reactions
107 Replies
13K Views
Naibu waziri wa Utumishi na utawala bora, Regina Ndege Qwaray akijibu swali la Mbunge viti maalum Latifa Juakali kuhusu serikali kutoa vipaumbele vya ajira kwa vijana wenye umri mkubwa. Naibu...
1 Reactions
18 Replies
286 Views
Kabla ya Uchaguzi Mkuu wote ni mashuhuda wa mitifuano ya kisiasa iliyotokea kwenye Vyama vya Siasa hasa Vyama hivi Chadema CCM ACT Wazalendo Chaumma Uchaguzi umeisha na kila mmoja amevuna...
3 Reactions
4 Replies
217 Views
SERIKALI KUNUNUA MATREKTA 10,000 - DKT. MWIGULU NCHEMBA WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...
3 Reactions
42 Replies
510 Views
Hakika angechezea tu Uchaguzi pengine angeepuka adhabu na mauti inayomnyemelea kwa sababu ujinga kama huo wanaufanya Kagame, Museveni, Paul Biya na wengine wengi.. Kuna ushahidi kuwa dunia...
9 Reactions
24 Replies
519 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amejibu ametoa maelezo juu ya kauli zilizotolewa na Chama Cha ACT Wazalendo juu ya hatua hiyo ya ZEC kutaka kuteketeza nyaraka zote za...
1 Reactions
2 Replies
115 Views
Rais samia ameondoka nchini kwa kificho. Hatujui anakwenda kukutana nani, atakaa siku ngapi na ameandamana na nani. Ni ajabu. Kwanini tufichwe wakati anatumia fedha zetu mbali na kutumia jina letu...
2 Reactions
20 Replies
702 Views
  • Redirect
Leo salima kikwete analia jimboni kwake Hana stend hata Moja swali je kiongozi wa Jimbo lake alikuwa mpinzani? Je alishindwa kumwomba mmewe hata STENDI? Moja TU?
0 Reactions
Replies
Views
Balozi Polepole alikuwa anatumia Laini ya Airtel Tanzania hadi anatekwa. Je, ndio walitoa Location? Namba ya Balozi Polepole ni +255786146700 Airtel inashirikiana na Serikali katika maswala ya...
28 Reactions
123 Replies
2K Views
Back
Top Bottom