Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu. Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike...
11 Reactions
23 Replies
657 Views
MBUNGE WA VITI MAALUM MARA AULIZA SWALI KUHUSU UWEKEZAJI WA VIWANDA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ghati Zephania Chomete, ameuliza swali bungeni akiishukuru Serikali kwa majibu...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
  • Redirect
Kitu alichokifanya kabudi aibu naona mimi sijui alienda kuongea nini maskini na papa kwamba unashtaki wanaopinga mauwaji. Heti huyu ndio mnamuita genius sijui professor? ameenda kufanya kazi...
0 Reactions
Replies
Views
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa ya...
6 Reactions
43 Replies
763 Views
Habari wana ndugu Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi. Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke...
30 Reactions
107 Replies
13K Views
Naibu waziri wa Utumishi na utawala bora, Regina Ndege Qwaray akijibu swali la Mbunge viti maalum Latifa Juakali kuhusu serikali kutoa vipaumbele vya ajira kwa vijana wenye umri mkubwa. Naibu...
1 Reactions
18 Replies
286 Views
Kabla ya Uchaguzi Mkuu wote ni mashuhuda wa mitifuano ya kisiasa iliyotokea kwenye Vyama vya Siasa hasa Vyama hivi Chadema CCM ACT Wazalendo Chaumma Uchaguzi umeisha na kila mmoja amevuna...
3 Reactions
4 Replies
217 Views
SERIKALI KUNUNUA MATREKTA 10,000 - DKT. MWIGULU NCHEMBA WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...
3 Reactions
42 Replies
510 Views
Hakika angechezea tu Uchaguzi pengine angeepuka adhabu na mauti inayomnyemelea kwa sababu ujinga kama huo wanaufanya Kagame, Museveni, Paul Biya na wengine wengi.. Kuna ushahidi kuwa dunia...
9 Reactions
24 Replies
519 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amejibu ametoa maelezo juu ya kauli zilizotolewa na Chama Cha ACT Wazalendo juu ya hatua hiyo ya ZEC kutaka kuteketeza nyaraka zote za...
1 Reactions
2 Replies
115 Views
Rais samia ameondoka nchini kwa kificho. Hatujui anakwenda kukutana nani, atakaa siku ngapi na ameandamana na nani. Ni ajabu. Kwanini tufichwe wakati anatumia fedha zetu mbali na kutumia jina letu...
2 Reactions
20 Replies
702 Views
  • Redirect
Leo salima kikwete analia jimboni kwake Hana stend hata Moja swali je kiongozi wa Jimbo lake alikuwa mpinzani? Je alishindwa kumwomba mmewe hata STENDI? Moja TU?
0 Reactions
Replies
Views
Balozi Polepole alikuwa anatumia Laini ya Airtel Tanzania hadi anatekwa. Je, ndio walitoa Location? Namba ya Balozi Polepole ni +255786146700 Airtel inashirikiana na Serikali katika maswala ya...
28 Reactions
123 Replies
2K Views
Siku zote Jeshi letu lina kiapo Kikuu cha kusimama na Wananchi na Katiba. Wananchi wameamua hawawataki CCM na samia wao na Jeshi linapaswa kusimamia matakwa ya Wananchi. Wananchi wamesema...
29 Reactions
83 Replies
3K Views
Chama cha mapinduzi kimepoteza wabunge watatu kwa muda mfupi kuanzia disemba 2025 mpaka February 2026 Mbunge Jenista Mhagama alifariki 11 Disemba 2025 Mbunge Halima Nassor alifariki 18 January...
2 Reactions
16 Replies
260 Views
Wenyeviti wengi wa Kamati hizo walitakiwa kupigiwe kura kama ilivyo kawaida lakini kilichofanyika majina yalikuja from no where watu wakasomewa majina ya Wenyeviti, ikawa imeisha hiyo. Wabunge...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
  • Featured
Tanzania inapanga kuuza sehemu ya hazina yake ya dhahabu kusaidia kufadhili miradi ya miundombinu, kufuatia kupungua kwa msaada wa wafadhili ambao kumelazimisha serikali kutafuta vyanzo vya ndani...
16 Reactions
157 Replies
4K Views
Kila tukio kubwa huja na kumbukumbu yake na mafundisho yake. Tukio la tarehe 29 Oktoba lilikuwa ni tukio kubwa ambalo nchi yetu haijawahi kuliona, basi siku hiyo iwe ni siku ya kujifunza kwa pande...
4 Reactions
20 Replies
160 Views
Na Mwl. John Pambalu Si nikaombea maiti afufuke, na hakufufuka. Nililia sana kwa uchungu nikimlilia rafiki yangu niliyesoma naye BAED katika Chuo Kikuu cha SAUT, nikijiuliza kwa nini Mungu...
5 Reactions
20 Replies
408 Views
Taasisi ya Elimu Tanzania imepokea barua yenye Kumb. CA.229/238/01A/14 ya tarehe 14 Machi 2024, kuhusu mada tajwa hapo juu. 3. TET, imeridhia pendekezo la tahasusi mpya ili kuondoa tahasusi...
0 Reactions
0 Replies
117 Views
Back
Top Bottom