Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, ameihoji Serikali ya Tanzania akitaka itaje wazi ni nani anayekwamisha mchakato wa Katiba Mpya, kutokana na kauli...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Mwalimu Julius Nyerere alikaa miaka 23 Ikulu lakini hatukuwahi kusikia "Nyerere marathon" "Nyerere doctors" "ngumi za Nyerere" au makorokoro mengine. Zama hizi imekuwaje kwani?
11 Reactions
36 Replies
503 Views
Wanabodi, Makala yangu gazeti la Mwananchi la leo, hapa ninazungumzia uhitaji wa kuendelea adhabu ya kifo cha kikatili kwa kunyonga mpaka kufa?. Hoja hii ni kufuatia kitendo cha marais wa 4 wa...
3 Reactions
24 Replies
240 Views
Wanabodi, Kama kawa, Ukiangalia nguvu iliyotumika jana kuzuia maandamano ya Chadema, nguvu hiyo ingetumika kuyalinda maandamano hayo badala ya kuyazuia! Mada ya leo ni kuhusu haki, hakuna haki...
9 Reactions
27 Replies
2K Views
Walipigwa wakateswa wakaandika uongo kujinusuru. Angali kesi hii ilivyoamuliwa . Ni kesi ya kutupa Bomu kule Arusha kwenye uzinduzi wa parokia ya katoliki mwaka 2013
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Siasa ni michezo ila kwa science yake binafsi, ukikaa ukiwa unasubiria kuelewa siasa basi utasubiria sana,, Hivo basi ebu anza kujadili namna ya kujisogeza kimaisha ata watoto wako wakiwa wakubwa...
17 Reactions
169 Replies
2K Views
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, amepinga mtazamo wa kwamba kupatikana kwa Katiba Mpya ndiyo suluhu pekee ya changamoto zote...
1 Reactions
10 Replies
275 Views
Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili...
0 Reactions
3 Replies
64 Views
Huu ndo ubunifu wa DC WA kisalawe kwa kuondoa umasikini na ukosefu WA ajira kwa vijana wetu WA chuo nchini Tanzania. Yaani Magoti akili zake zimeishia Kumwombea mchango WA boda boda mhitimu wa...
3 Reactions
8 Replies
190 Views
Nimeona tone tone Mwanza imeingia mtaani, Mnyika na Heche njoooni mtaani mbebe Hela tunazo sisi hatuwezi tumakwa simu au benk HAYA majamaaa yatatunyaka sisi ni nyoka jeusi tupo nao ndani njoooni...
2 Reactions
2 Replies
76 Views
Nani alikuzuia wewe usinywe pombe? Unafiki na uzandiki wa kufuatilia masuala ya watu. Upuuzi mkubwa.
4 Reactions
7 Replies
132 Views
Rais Samia kuapisha viongozi wateule Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, leo Julai 27, 2026 =============== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Latifa...
3 Reactions
38 Replies
949 Views
Wilberforce Ngoto (Mtangazaji): "...katika katiba ya vyama vya upinzani lakini vile vile wanaharakati wamekuwa wakikosoa wakisema kwamba TBC imekuwa ni sauti ya serikali badala ya kuwa sauti ya...
0 Reactions
3 Replies
141 Views
My Take Chadomo wakiona hii watalia sana 😂😂😂👇👇 https://www.instagram.com/p/DaxHrfqjpeU/?igsh=NWJ5N2JkY256ajlq
3 Reactions
18 Replies
301 Views
Wote mliofuatilia Press aliyofanya Makamu Mwenyekiti Bara Mh. John Heche leo Tarehe 25/07-2026 Mwanza Katika Ofisi za Kanda ya Victoria, pamoja na mambo mengine amemwambia Mkurugenzi wa Mashitaka...
11 Reactions
8 Replies
235 Views
"…lakini utaitamani tu pindi ukipata tatizo kwasababu kesi ya mwana CCM na kesi ya mwana CHADEMA hata iwe polisi au kwa mwenye kiti wa Kijiji ni vitu viwili tofauti. Huyu anaweza akaambiwa tu...
0 Reactions
2 Replies
96 Views
Tunakwenda wapi? Huko mbele Watanzania wataweza kulipa hili deni. Leo hii deni la taifa limefikia tril 114 . Hizo pesa zinazokopwa zinafanya miradi gani? Hatuoni miradi yoyote mikubww ya...
9 Reactions
29 Replies
477 Views
Huyu jamaa mnaemsifia nyuma yake yupo mzee wa pwani anasukuma kete zake taratibu baada ya kuona namba moja kachafuka. Mzee anataka kuendelea kua relevant kwenye siasa zetu ndo anasukuma kete...
20 Reactions
36 Replies
562 Views
Back
Top Bottom