Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

HAYA makabila ni Malaya kama Malaya wengine, Leo mbowe anaenda DSM kwenye uzinduzi wa bwawa la umeme na anadai ana haraka kuondoka anawai ndege anashindwa kwenda ukonga kumwona mwenyekiti wake wa...
7 Reactions
18 Replies
601 Views
Tangu saa kumi mpaka sasa tunasubiri kuangalia mechi kati ya Azam na Pamba Jiji. Umeme umekatika nchi nzima. Habari tulizoambia kuna mega watt 2115 ni kama kupiga ndulu tu.
4 Reactions
23 Replies
424 Views
Wanabodi Utangulizi Kuhusu Mashuhuri na Maarufu Mtu mashuhuri nambari moja, kwenye nchi yoyote ni mkuu wa nchi, rais, ila kunaweza kuwa na mtu mwingine ambaye sio mashuhuri, na akawa ni maarufu...
64 Reactions
132 Replies
2K Views
Ni zile nywele alizoamua kufuga. Kisha baada ya hapo ndo atolewe. Naomba kuwasilisha ndugu wanaJF
0 Reactions
1 Replies
46 Views
TUNDU LISU na MANDELA 1. Wanaomfananisha Tundu Lisu na Nelson Mandela, kimantiki inabidi waifananishe serikali yetu pendwa na ya makaburu. Je, Tutaelewana kweli? TURUDI MEZANI BILA HILA...
6 Reactions
14 Replies
141 Views
  • Redirect
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa na Watanzania haziishii kuonyeshwa kwenye maonesho, bali...
0 Reactions
Replies
Views
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama...
16 Reactions
755 Replies
85K Views
Watu wa kusini mwa Tanzania, kama vile Lindi, Mtwara na Ruvuma wako kimya sana utazani wao kila kitu kiko sawa. Kwenye maswala ya uchumi wako kimya, amkeni basi angalau na nyie mjulikane kama...
17 Reactions
76 Replies
1K Views
Hii ndio hali halisi ya mambo ilivyokuwa kwa Upande wa Mawakili wa serikali Pichani ni wakili Msomi Nassoro akiguswa na Nondo za Wakili wa Utetezi Tundu Lissu, katika kesi ya Uhaini inayomkabili...
41 Reactions
75 Replies
6K Views
Wakuu! Ule Mkutano na Vyombo vya Habari wa Humphrey Polepole ndio leo – Julai 18, 2025 saa 5:00 asubuhi. Awali, mkutano huu ulikuwa umepangwa kufanyika Julai 17, lakini Polepole alitangaza...
15 Reactions
235 Replies
21K Views
Kwa mtazamo wangu Samia na genge lake la watekaji,wauwaji, mafisadi na ma-cartels ya mafuta nimegundua kuwa ccm ni genge ambalo limefikia damu ya kunguni kiasi kwamba hakuna mtu anayetaka...
9 Reactions
25 Replies
384 Views
WanaCCM mtandao ambao walishaligeuza taifa letu shamba la bibi watazidiwa nguvu. Wazalendo wa kweli watashinda. Mtifuano huu unakwenda kuliponya taifa letu.
4 Reactions
5 Replies
196 Views
Mandela alishitakiwa kwa sheria na makosa halisi kwa mujibu wa katiba ya kibaguzi ya wakati huo. 1962 kosa la kuchochea mgomo wa wafanyakazi. Kesi ilichukua miezi 3 tu ikaisha akafungwa miaka 5...
5 Reactions
10 Replies
192 Views
Kwa mfano we cheki, mwenyekiti wake taifa kukutwa ana kesi ya kujibu tofauti na walivyotarajia kwa kujiiga kifua sana tu kwamba hakuna lolote n.k, na kwahivyo wameumbuka hadharani na hiyo maana...
2 Reactions
54 Replies
284 Views
Ujinga wa viongozi wa Africa ... https://www.instagram.com/p/DcOXDOTihBv/?img_index=2&igsi=MTgyY3NmdDhoenlrdA==
7 Reactions
15 Replies
391 Views
Salaam zangu kwako ni hizo. Nilikupenda sana kama mpigania uhuru kumbe MPIGANIA TUMBO. WARUDISHE BEN SAANANE , Mawazo na wengine waliokufa wakiamini ulikuwa mwenzao na kujitoa uhai wao in order...
17 Reactions
53 Replies
931 Views
Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi ( CCM) Taifa imempitisha aliyekua Mkurugenzi wa Tume huru ya Uchaguzi Tanzania (NEC), Dkt. Wilson Mahera Charles kiwa Mgombea ubunge katika Jimbo la...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Dr. Wilson Mahera Charles, alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Samia alipoingia akampa cheo cha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na...
27 Reactions
120 Replies
8K Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, ametaja mambo matatu aliyosema yakitekelezwa ndipo kita kitaingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK). Mambo hayo pamoja...
1 Reactions
3 Replies
139 Views
Kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu inaendelea Jumatatu Agosti 24 ambapo mshtakiwa anajitetea mbele ya mahakama. Lissu: Ukiangalia miaka kabla ya 2020 tume imekuwa...
7 Reactions
14 Replies
465 Views
Back
Top Bottom