Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Kumbe watanzania mnasakama mzee wa watu kuwa anachukua nafasi za vijana meanwhile kumbe hata halipwi mshahara na ANAJITOLEA? Tungependa pia kujua hizo posho ni shingapi mzee Wassira ili...
12 Reactions
38 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu wana matatizo makubwa sana ya akili , kuna watu wamenyimwa akili na kubakia wamebeba Vichwa juu ya Shingo zao kama Mizigo tu. Kuna watu wanajiita na kujipachika...
1 Reactions
50 Replies
541 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi juu ya tukio linalosambaa kweye mitandao ya kijamii likionyesha picha mjongeo ya mwanaume mmoja akiwa anashambuliwa kwa kupigwa...
1 Reactions
2 Replies
135 Views
Hesabu zilikua baada ya uchafuzi na mauaji ya 29/10 baada ya muda watanzania watasahau...lakini mpaka leo zimepita siku 276 watanzania wamegoma kusahau vuguvugu la kudai kisasi,uwajibikaji na...
4 Reactions
10 Replies
187 Views
Mzee Wangu ulishapanda kwenye madhabau ya Mungu na kumkiri yeye kuwa Muumba wa Ulimwengu, ukapongezwa na kila mtu Imekuwaje umeamua kumrudia Shetani? Je adhabu yake unaijua?
12 Reactions
64 Replies
915 Views
Hiyo ndio Tanzania, watu wajinga wàjinga, walojipenyeza na kujitengenezea Mfumo, Leo hii ndio walomuweka Lissu na akili yake Gerezani, ndo hao wanaokamata wahadhiri Vyuo vikuu na kuwapa Kesi za...
4 Reactions
7 Replies
163 Views
  • Featured
Sakata la kisheria linalomkabili Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, limechukua sura mpya baada ya upande wa mashtaka kubadilisha mashtaka yake na kumfungulia rasmi kesi...
30 Reactions
80 Replies
3K Views
Wanabodi, Nimekutana na bandiko hili lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu.. Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha. Madini ya...
46 Reactions
197 Replies
14K Views
Nimeguswa sana na kifo cha kikatilli cha mwalimu huyu ambaye alipigania "standards" kuhakikisha kuwa eneo la shule ni eneo kama yalivyo maeneo mengine yanayotambulika kama "smart area" Mwalimu...
0 Reactions
3 Replies
162 Views
Tukomae, Tupambane, ni mwendawazimu pekeee ambaye anaweza ku normalize Mauaji ya Oktoba 29, na kukaa na Samia, na kupiga Picha eti 'Tumeyamaliza'. Vijana waliuliwa kwa Risasi za Kivita , Snipers...
5 Reactions
2 Replies
101 Views
Author: Issa G. Shivji, Professor Emeritus, University of Dar es Salaam | Source: CODESRIA Bulletin Online, No. 10, July 2026 The Arrest of Melkisedeki Kitunzi Kaijage Melkisedeki Kitunzi...
3 Reactions
0 Replies
144 Views
Tafakuri yangu ni moja na ya msingi sana. Kama Taifa hatuna ushahidi usio na mawaa eti matatizo au changamoto tulizonazo zinatokana na katiba kuwa ya zamani.Hakuna ushahidi wa kisayansi ulioweza...
1 Reactions
13 Replies
136 Views
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, ripoti ya Tume ya Jaji Chande (Aprili 2026) imekupa fursa ya kipekee ya kuandika historia. Kupitia timeline ya miaka mitatu (2026–2029), nchi inaweza...
4 Reactions
58 Replies
650 Views
Mlibeza kazi nzuri aliyokuwa akiifanya hayati JPM. Mlibeza na kudai ni maendeleo ya vitu. Leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Hakuna cha maana kinachofanyika. Hata mradi wa Sgr...
10 Reactions
99 Replies
1K Views
Katika mambo ambauo huwa yananiwazisha kwenye jamii yetu hii basi moja wapo ni huu mradi wa kukwangua barabara mitaani kila kiangazi inapoingia Barabara nyingi zinakwanguliwa kwa kutumia gharama...
0 Reactions
8 Replies
141 Views
Mikutano ilizuiwa kwamba anchi haikuwa Shwari. Punde si punde wakairuhusu. Kuruhusiwa Mikutano, wanaolengwa na CHADEMA. Haitakuwa mara ya kwanza CCM kurusha bomu kwenye Mikutano ya CHADEMA...
5 Reactions
11 Replies
217 Views
Nyie CCM mna miaka 3 mamulakani.ikifika 2030 hatuwez tukaikubl hik chama cha makatili.
4 Reactions
2 Replies
74 Views
John Heche amesema amefungua kesi dhidi ya mtu anayedai amekuwa akimtolea kauli za uongo, akisema mhusika atalazimika kuthibitisha madai yake mahakamani. Pia ameonya kuwa watakaoshindwa...
4 Reactions
8 Replies
254 Views
Bado siku 12 tangu Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG) watoe tamko la kuitaka serikali kumwachia Lisu ndani ya siku 30. Unadhani nini kitafuata maana hawa hawatamwachia. Hawana jeshi...
8 Reactions
32 Replies
604 Views
Jumapili ni tulivu! Pamoja na kwamba Tuna PM wa mchongo, na wakati huo Namba moja na Namba mbili hawapatani wanaogopa kutiliana sumu tuangalie hapa chini Haina ubishi wote mliokuwapo wakati wa...
36 Reactions
34 Replies
1K Views
Back
Top Bottom