Hayati Magufuli aliwezaje ku-trend kila siku??

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
1,397
3,492
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
😂😂😂😂😂😂😂. Alikuwa anatuchangamsha sana huyo mzee.
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila nàkuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Umesahau na asipo onekana popote bado alitrend zaidi
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Swali gumu !! Umewaza sana lakini ndivyo ilivyokuwa !
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??

Umeshasema mubashara TBC 1 Ina maana lazima angetrend. Wewe kwenye TV kila siku kwanini usi trend aidha ujinga au umaana
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Umepambanua vizuri jinsi mtawala wa kiimla(dictator) anavyokuwa, rejea tawala za akina Hitler na dictators wengine trends zilikuwa hivyo hivyo na bado wana-trend mpaka leo.
 
Back
Top Bottom