Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watawala wa Tanzania walidhani kwa kuua roho ya ujasiri, uthubutu na ubunifu kwa vijana wa Kitanzania kupitia mifumo mibovu ya kielimu, kisiasa na ya kijamii kwamba athari zake zingebaki tu katika...
6 Reactions
3 Replies
127 Views
Kuna kila hali na kila namna bara la afrika kuanzia afrika magharibi,ukanda wa afrika mashariki,hadi ukingo wa afrika mashariki,tukiitoa ethiopia,afrika ya kati,na ukanda wa nchi zilizo kusini mwa...
4 Reactions
18 Replies
172 Views
Akichangia bungeni Februari 3, 2026, Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Baba Levo, wakati wa mjadala wa Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27...
5 Reactions
12 Replies
377 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb) amesema Serikali haitavumilia kuona viongozi wanabagazwa mitandaoni, na kusema wanayo teknolojia ya kuwabaini...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
  • Redirect
Samia hana mamlaka ya kuwakilisha watu walio mkataa aache kihere here na kujipendekeza yeye sio rais wetu. Tuache kujipendekeza hatuna raisi sisi,
2 Reactions
Replies
Views
Sheria za jeshi za kumpigia saluti mtu ziwe na uwiano sawa na mtu anayestahili sio mnapigia saluti mpaka asiyestahili. Sheria za kupigia saluti mtu zinazingatiwa zaidi kuliko za yule anayestahili...
3 Reactions
5 Replies
137 Views
Mtu mwenye moyo wenye nyama lazima uwe na maumivu kiasi cha kutokuwa na ushirikiano na wauaji waliomchukua mtu uliyekuwa unatembea nae masa 24 na kufanya harakati. Kwa nini uende kwenye ufunguzi...
2 Reactions
6 Replies
219 Views
Bila shaka huyu ndio mkuu wa majeshi wa ovyo kuwahi kutokea. Kipindi watanzania wanatekwa alimtuma msemaji wake aseme Tanzania ni shwari. Kipindi Tesha analalamika uozo ndani ya Serikali...
24 Reactions
121 Replies
1K Views
Waione Kiranga na Nyani Ngabu 🤭
18 Reactions
62 Replies
1K Views
Ukiistajabu ya Bilioni 200 za RAIS Samia kwa vijana wa taifa la Tanzania alizo zitoa Jana usiache kustaajabu la Milioni 500 za Hayati Magufuli ambazo alizitoa akiwa Rais kwa vijana wa chato na...
7 Reactions
7 Replies
413 Views
“Rais Samia Kumteua Mtoto wake (Wanu Hafidh Ameir) Kuwa Naibu Waziri imekuwa Nongwa kila siku Mnasema Mtandaoni, Eti Nchi imeuzwa, Hivi kweli mkimuangalia Abdul na wema wake ule anavaa Sandal na...
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Chama cha CCM kimeharibika wahuni wamekivamia na wananchi wamekikataa lazima tutakifuta. Kama kina waharifu na wananchi wamekikataa hakitaweza kusalia kwa muda mrefu kitafutwa sio kwamba mimi...
2 Reactions
3 Replies
142 Views
Changamoto ya Mawasiliano ukiwa Karikoo katikati ya Soko ni kubwa mnoo kiasi kwamba inakulazimu utoke Dukani kwako au Ofisini kwako ukasimame nje barabarani ili uweze kupiga au kupokea simu...
1 Reactions
3 Replies
210 Views
Wakuu, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ameitaka jamii kutambua kuwa shirika hilo ni mali ya umma na si mali ya chama chochote cha siasa. Hata...
3 Reactions
16 Replies
478 Views
Wewe kataa kwenda Ubalozi. Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani). Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako. Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa...
46 Reactions
166 Replies
12K Views
Kada wa Chama cha Mapinduzi CDE Bakari Kazungu akifanya mahojiano na Jambo TV Februari 4, 2026 alisema kuwa kwa mujibu wa ahadi namba 8 ya CCM inayomtaka mwanachama kusema ukweli daima lakini kwa...
2 Reactions
9 Replies
259 Views
Sisi Watanganyika, mamilioni kwa mamilioni, Tunayo mengi ya kutufanya tufurahi tunaposikia viongozi wowote wa CCM wanapopatwa mabaya, sisi kwetu ni sherehe Kila mtu anayejihusisha na CCM...
7 Reactions
13 Replies
328 Views
  • Featured
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ametahadharisha kuwa bila kusimamia utu, Chama cha Mapinduzi (CCM) inaweza kuondoka madarakani hivyo akaonya wanachama ndani ya chama hicho wasione aibu...
14 Reactions
56 Replies
2K Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akiwasili viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu ambapo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya kiuchumi na...
2 Reactions
4 Replies
220 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo Leo naanza na asante na Pongezi kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa...
2 Reactions
13 Replies
270 Views
Back
Top Bottom