Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' Tundu Antiphas Lissu inatarajiwa kuendelea leo Febriari 9, 2026 Mahakama Kuu, Masjala ndogo...
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.
Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha...
Kwa idadi ya wamechinga 7000 kwa 20,000 kwa mwaka ni kiasi gani hapo sasa mlikurupuka na mipango yenu ikaishi ukingoni ,kama mngeendelea kusanya buku 20 leo mngekuwa nazo ngapi zisingetosha hata...
Dar es Salaam, jiji kubwa na kitovu cha uchumi wa Tanzania, limeendelea kukumbwa na uhaba mkubwa wa maji safi na salama kwa matumizi ya binadamu
Jana nimemsikia Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akiwa...
Dar es Salaam ni jiji lililo na mito inayotiririsha maji kuelekea baharini, lakini kwa muda mrefu kumekuwa na uhaba wa maji. Kwa muda mrefu jiji hilo limekuwa likitegemea maji ya mto Ruvu unaopita...
BALOZI MATINYI AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA SWEDEN, AELEZEA FURSA ZA UWEKEZAJI
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa ubalozi na taasisi...
Niseme yafuatayo
1-Kuna Watu Wema Ndani ya Jeshi la Polisi na JWTZ wanaosimama na Kiapo Cha Katiba ambao kwao Wananchi ndio Kipaumbele chao, watu Hawa Baadhi waliuliwa na genge la Samia, ila...
Mbunge machachari Msukuma ana upeo mkubwa wa kuongea na kuongea.
Lakini wakati mwingine kinachomtoka mdomoni ni pumba zisizo ainisha mantiki ya usomi nyuma yake.
Huwa anawa nanga sana wasomi...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Chama Kikuu cha siasa Nchini Tanzania, CHADEMA, kinawatangazia watu wote Duniani kuhudhuria kesi ya uongo ya Uhaini aliyobambikiwa Mwenyekiti wao Tundu Lissu...
Rais haramu ni yule anaye fanya wajibu usio muhusu na hata akifanya vizuri kwa mazingira kama haya hawezi kusifika kabisa ni haramu.
Raisi samia asifiki ni haramu kwenye hiyo nafasi ameuwa...
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..
Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja...
WAZIRI MKUU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA
Lengo ni kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. Samia kuhamasisha utalii
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumamosi, Januari 31, 2026 ametembelea...
Rais asiye chaguliwa na wananchi anakuwa kama mtu anaye jipendekeza kwa wananchi na kufanya kazi zisizo muhusu ni kujipendekeza.
Tusiwe na tabia za kujipendekeza kwa wananchi suala hili halina...
Licha ya porojo, uongo na uzushi dhidi ya Tanzania kama taifa, serikali sikivu ya CCM imesalia kua madhubuti zaidi katika kuhakikisha kwamba uongo, uzushi na porojo za chuki zinazozalishwa...
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi akiwasilisha mada kuhusu fursa na vivutio vya uwekezaji nchini alipokutana na wafanyabiashara na wawekezaji wa Sweden kwenye ofisi za ubalozi...
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (kushoto), akizungumza na Makamu wa Rais wa kampuni ya Dynamis Investment Partners, Bw. Bo Löfgren, mara baada ya kikao na wafanyabiashara na...
Jaji hajui tofauti ya session na seatings halafu useme tuna Jaji hapa! Isije kuwa nimenukuu vibaya, maana siamini! Jaji ni mtu mkubwa sana kisheria, anajua sana sheria kuzisoma, kuzitafsiri...
Wakuu,
Bi mkubwa kashaona Watanganyika tumeishiwa pawa, ni mwendo wa kula tu na ndugu na marafiki na hajari rorote. Business parter wa Mchengerwa naye amepewa asante ya uteuzi. Sijui itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.