Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu! Usiku wa saa Sita, Humphrey Polepole amedai kuwa; "Watu wameruka ukuta wa nyumbani kwa dada yangu Bahari Beach. Wamemwambia dada yangu wamefuata taarifa." "Ninakwenda kujiridhisha. Sina...
29 Reactions
260 Replies
18K Views
Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo Jimbo la Sumbawanga Mjini, Edwin Kachoma, ametangaza kujiondoa katika kinyang’anyiro cha Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza na...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Zitto Kabwe kupitia mtandao wa X, amesema kuwa baada ya CCM kuua bunge 2020 wafanyabiashara sasa hawajifichi tena kuchangia chama hicho hadharani tofauti na zamani ambapo bunge lilikuwa nguvu...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Kama Mbowe ni mlamba asali na Lissu ni mwanaharakati wa haki kama anavyoitwa na wafuasi wake waliokuwa wafuasi wa Mbowe hapo awali kwa hali ya Tanzania na watanzania mbowe katumia akili lissu...
2 Reactions
9 Replies
473 Views
https://youtu.be/0yWSDCS7npI?si=vMiCzSmIfraQPirz ➡Amesema yuko hapa hapa nchini (kwa sasa na muda ule akihojiwa alikuwa Morogoro) na kwamba muda wowote atakuwa DSM ➡Bado anasisitiza, mchakato wa...
24 Reactions
64 Replies
4K Views
Taarifa iliyosambazwa na viongozi wa JF inasema kwamba, Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Didier Chassot ametinga kwenye ofisi za JF kwa lengo la kukutana na baadhi ya watendaji wa taasisi hiyo...
30 Reactions
69 Replies
5K Views
Sijui niseme Watanzania wajinga au washamba. Watanzania wengi wanatamani aidha wangekuwa watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa au JWTZ. Ukiwadadisi sababu haswa hawana hata maelezo ya kutosha...
17 Reactions
46 Replies
4K Views
COURT DISMISSES DP WORLD PETITION By FAUSTINE KAPAMA-Judiciary ........................................................... Judges Danstan Ndunguru, Mustafa Ismail and Abdi Kagomba ruled in favour...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Sina mia mbaya na wagombea ila Nina waswas yakuwa Wagombea wa VITI vya uraisi nchini Tanzania ni Masster na Mapdri walio zaa nje ya ndoa. Nataka niwakukumbushe nyie vijana wa 2000 Kuna mtu...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
https://www.youtube.com/live/QhmqcI-asWc?si=VAYw0M7vJFDx-3-A Polepole : Viongozi wanakwenda kwenye uchaguzi sababu wanauhakika kushinda uchaguzi sababu kuna mifumo inawabeba Mfumo unaotumika...
20 Reactions
537 Replies
27K Views
Kwahiyo huyu na yeye alikuwa anataka kuingia Bungeni ?.
4 Reactions
26 Replies
3K Views
HUU HAPA UTAMBULISHO WA ALEX DENIS MUGANYIZI Mgombea Ubunge – Bukoba Mjini (CCM) Aliyeshika nafasi ya pili. Alex Denis Muganyizi ni mfano wa kiongozi wa kisasa anayechanganya kwa ustadi taaluma...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
TOP ya Maraisi kulingana na uwezo wao: 1. Nyerere Alitumia akili nyingi kutupatia uhuru bila kumwaga damu, aliongea vitu vingi ambavyo vingine vinatokea sasa, uzalendo usiokuwa na mashaka, nchi...
28 Reactions
55 Replies
3K Views
Profesa Kabudi anasiika kwa kusifia marais. Alianza na Magufuli. Alipokufa amehamia kwa Samia. Ajabu Samia hamsifii kama alivyowahi kufanya Magufuli. Je kati ya wawili nani msomibkuliko mwenzake?
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Nini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Ulikwenda kongo, Zambia, Burundi, Uganda, ukatumia weledi wako kidiplomasia, ukashawishi wafanyabiashara wakawa watumiaji wazuri wa bandari. Mizigo ikajaa watanzania wakapata ajira. Ukajenga...
23 Reactions
212 Replies
19K Views
Leseni 41 za utafiti wa madini zimetolewa Leseni 548 za wachimbaji zimetolewa Leseni 147 za maeneo tengefu Vituo vya afya vimeongezeka mara mbili zaidi kutoka 14 wakati anaingia madarakani na...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
TAARIFA KWA UMMMA "Tunaitaka Jeshi la Polisi liache kutumika kisiasa" Tumepokea taarifa, ya kukamatwa usiku mkubwa kwa Katibu wetu wa Jimbo la Kiwani Ndugu. Saleh Ali Masoud na Jeshi la Polisi...
1 Reactions
1 Replies
301 Views
Akizungumza leo Septemba 5, 2025 mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan akiwa, Tukuyu (Rungwe) mkoani mbeya katika mwendelezo wa kampeni za chama hicho amesema ''Ni hakika lakini hatutoi...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Wadau, ushahidi huu wa picha unaonyesha kuwa plate number SSH 25 30 ni nyingi sana, na inaweza kuwa hatari kama si rasmi. Kama hawajakamatwa, wacha drama na tuendelee na maisha – lakini mamlaka...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom