Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

RAIS DKT. SAMIA AWASHA MOTO WA MATUMAINI MAKAMBAKO Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 6 Septemba 2025...
0 Reactions
1 Replies
336 Views
Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (#CCM) jimbo la Uyole mkoani Mbeya Dkt. Tulia Ackson akiwa katika kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2025 ameeleza namna ambavyo watu wanatumia mitandao...
1 Reactions
10 Replies
552 Views
Msirudie kosa hili! Kungelikuwa Western world , huyu mgonjwa mngemlipa fidia magunia ya hela! Mngeliweka alternative service to at least save "lives"
0 Reactions
6 Replies
444 Views
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa watu mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
9 Reactions
83 Replies
4K Views
Kwa maana hiyo ule mtandao wa Mapacha Watatu ulizikwa rasmi 2015 Ikumbukwe Mapacha Watatu ndio walikuwa Vinara wa Mtandao japo kulikuwa na Wajumbe kama Membe, Sitta, Mataka, Temu, Sophia nk nk...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Wazee wa Mbarali wamesema wanaimani na Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Dkt Samia Suluhu Hassan kumpa tena ridhaa ya kumchagua na kuiongoza Tanzania; Kwani alipotoka ni...
0 Reactions
8 Replies
422 Views
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Saashisha Mafuwe leo Ijumaa Septemba 5,2025 amefanya ziara yakuwatambulisha kwa wajumbe na wanachama wa chama...
3 Reactions
1 Replies
377 Views
eti wizara ya ulinzi ameibadili jina na kuiita wizara ya vita! advocating violence upfront
1 Reactions
16 Replies
921 Views
Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳 Cc Lucas Mwashambwa
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Tabia ya Prof Kabudi kutumia jina Mwalimu Nyerere kwa maslahi yake binafsi limekua kubwa.
1 Reactions
7 Replies
469 Views
Hii code nitawapa ufikirishi
1 Reactions
3 Replies
509 Views
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga. Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwanza hoja alizowasilisha kutetea mtandao ni dhaifu sana, hazina mashiko yoyote na zimejaa ulaghai mtupu. Anaposema mtandao ni jambo la kawaida kwenye demokrasia je nchi hii ina demokrasia...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Waswahili husema Ng’ombe wa shughuli ya hitima akikata kamba hachinjwi tena anabakia kuwa mlinzi wa Zizi hadi afe mwenyewe Naiona Siasa ya 2030 itakuwa imebakia na vyama viwili tu CCM na Chadema...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Watanzania Tushukuru sana Mungu kuingilia Kati hii vita. Nimekua nasema humu Kila Mara, Uhai wa Kisiasa wa Samia na genge lake, utahitaji kuendelea kuwepo Kwa Matukio ya Utekaji na Mauaji...
16 Reactions
57 Replies
4K Views
Pata nyaraka zote kuhusu ufisadi wa Tegeta Escrow Account Scandal hapa chini
22 Reactions
183 Replies
33K Views
Kama sielewi kabisa... Kazi na Utu ndiyo nini? CCM huwa mnakuja na kauli mbiu, lakini hii ni ya kiwango cha chini?
4 Reactions
13 Replies
716 Views
Safari ya Ubunge Jimbo la Kigoma Kusini 2025. Kwa heshima na taadhima, napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wananchi wa Kigoma Kusini kupitia chama chetu cha ACT-Wazalendo kwa safari...
1 Reactions
2 Replies
578 Views
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa...
1 Reactions
15 Replies
890 Views
Nimepata taarifa za uhakika kutoka kwenye account rasmi ya Maxence Melo kuwa JamiiForums imevamiwa siku ya leo. Tunaungana na JamiiForums tunasimama imara kupiga kelele kulaani vikali sisi...
36 Reactions
61 Replies
5K Views
Back
Top Bottom