Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,689
- 218,192
Taarifa iliyosambazwa na viongozi wa JF inasema kwamba, Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Didier Chassot ametinga kwenye ofisi za JF kwa lengo la kukutana na baadhi ya watendaji wa taasisi hiyo, akiwemo Mkurugenzi, Maxence Melo.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com, unaoongoza kwa kutoa uhuru wa maoni barani Africa. Balozi amefika JF kwa lengo la kuona namna ya kuendeleza uhusiano mwema baina Uswisi na JF.
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Uhusiano wa ubalozi huo na JF unatimiza miaka 10 sasa.
Ofisi za JamiiForums zilizopo Kawe, Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo akiwa kwenye picha ya pamoja na balozi wa Uswiss nchini, Didier Chassot
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo akimuelekeza jambo balozi wa Uswiss nchini, Didier Chassot
Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo akibadilishana mawazo na Balozi Didier Chassot.
Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Didier Chassot.
Mungu ibariki JF
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com, unaoongoza kwa kutoa uhuru wa maoni barani Africa. Balozi amefika JF kwa lengo la kuona namna ya kuendeleza uhusiano mwema baina Uswisi na JF.
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Uhusiano wa ubalozi huo na JF unatimiza miaka 10 sasa.
Ofisi za JamiiForums zilizopo Kawe, Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo akiwa kwenye picha ya pamoja na balozi wa Uswiss nchini, Didier Chassot
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo akimuelekeza jambo balozi wa Uswiss nchini, Didier Chassot
Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo akibadilishana mawazo na Balozi Didier Chassot.
Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Didier Chassot.
Mungu ibariki JF