Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nawasalimu nyote kwa isani ya maandamano ya amani 29 October Watanzania ambao ni wanajeshi msikubali wanasaiasa wenye tamaa za madaraka kusababisha vita vya sisi kwa sisi kakikundi kidogo...
1 Reactions
8 Replies
342 Views
Jamani eh, nyie makamanda tusidanganyane kabisa. Hayo maandamano yenu yashabuma kabla hata ya kuanza. Mtaishia kupayuka tu huku kwenye mitandao. Huku uraiani hakuna mwenye habari za hayo...
18 Reactions
99 Replies
8K Views
Siku zinakuja hii nchi itarudi tena mikononi mwa wazalendo wenye uchungu na rasilmali za nchi na wananchi wake. Kama ilivyokua Magufuli aya mambo ya unyonyaji utaisha kukusanya kodi inaishia...
4 Reactions
5 Replies
208 Views
Kwa hali iliyopo sasa na inayoendelea Nani anaamini bado kuna uchaguzi tu mwaka huu Cc Stuxnet
2 Reactions
24 Replies
558 Views
Tunakujua Ndani nje , tunajua Maisha yako na Mali zako ambazo umezipata Kwa Hila , tukikaa vijiweni unajitamba Kwa majumba yako uloyapata au sio ?. Mara ya Mwisho tumekaa Butiama. Ujifungue...
6 Reactions
15 Replies
599 Views
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣]. Inadaiwa...
12 Reactions
141 Replies
4K Views
Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wake Tundu Lissu itaanza kusikilizwa kuanzia tarehe 6 Oktoba 2025 hadi 24 Oktoba, kisha...
5 Reactions
19 Replies
706 Views
Naona Ccm Kama watatoboa safari hii kurudi ikulu, basi sioni Kama ccm itatoka madarakani kirahisi tena.
3 Reactions
7 Replies
374 Views
Hayo maneno alipata kuyatamka Mwalimu Nyerere (mwaka 1960), siku chache kabla hajaapishwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika wakati huo. Lakini miaka michache mbele(1964), jeshi likaasi. Tukio baya...
0 Reactions
5 Replies
250 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi akizungumza na waaandishi wa habari katika leo Oktoba 5, 2025 katika ukumbi wa White House CCM Makao Makuu...
2 Reactions
7 Replies
371 Views
Ameandika Hilda Newton kupitia mtandao wa X TAARIFA KWA UMMA Kuna Maombi Madogo ya kesi ambayo Said Issa Mohamed na Wenzake wamefungua kwa hati ya dharula dhidi ya 1. Mhe. John Heche 2. ⁠Mhe...
4 Reactions
55 Replies
2K Views
TAARIFA KWA UMMA Uongozi wa Jambo TV unakanusha kwa nguvu zote taarifa inayosambaa mtandaoni ikionesha picha yenye nembo ya Jambo TV na kichwa cha habari kisemacho “REDBRIGEDI WA CHADEMA AJIFANYA...
18 Reactions
54 Replies
2K Views
Mkoa fulani umeachia majina ya watakaosimamia Uchaguzi Mkuu 2025. Wengi wao ni walimu. Watafanya interview kuanzia week inayoanza jumatatu. Oktoba imeanza kuchangamka
1 Reactions
10 Replies
434 Views
Nauliza manabii wa Tz , including britanicca n.k walisema mwezi 07 na 08 litatokea jambo ? Tunasubiri bado au limeshatokea.
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kudumisha mshikamano na kulinda umoja wa kitaifa kwa kuheshimu...
0 Reactions
1 Replies
192 Views
Napenda kutoa Rai kwa heshima na Taadhima kwa Watanzania. Tumuunge mkono Kapten Tesha. Natamani haraka sana nije Tanzania. Natamani sana. Nimemsikiliza machozi yamenitoka. Huyu Kapten anajua...
12 Reactions
11 Replies
843 Views
26 May 2025 Dar es Salaam, Tanzania MAHOJIANO EXCLUSIVE JIJINI DAR ES SALAAM TANZANIA #POWER TALK Rais wa zamani Thabo Mbeki kuhusu Masuala ya Afrika ya Zamani, ya Sasa na ya Baadaye akiwa na...
0 Reactions
6 Replies
458 Views
" Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia" amesema Kihongosi Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama...
1 Reactions
5 Replies
228 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dkt. Samia Suluhu Hassan amempongeza, Prof. Arthur Peter Mutharika wa Chama cha DPP, Rais Mteule wa Jamhuri ya Malawi, kwa ushindi wake katika uchaguzi...
0 Reactions
11 Replies
536 Views
Leo kwenye muendelezo wa mawasilisho yake huko mitandaoni Ndugu Humphrey Polepole amesema kuwa wakati wanakaribia uchaguzi mkuu 2020 kwenye kazi yake ya kusikiliza wananchi kuna bwana mmoja...
76 Reactions
429 Replies
27K Views
Back
Top Bottom