Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo Februari 16, 2025, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam. Shahidi wa saba anatarajiwa...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Mashahidi wote wanaongelea uchochezi /sedition na si UHAINI! SASA IF THAT IS THE CASE, KUNA KESI GANI HAPO YA KUMUWEKA LISU GEREZANI? Sasa hao mashahidi 23 waliobaki wana nini cha zaidi maana...
2 Reactions
28 Replies
497 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Priscus Tarimo, ameibuka mshindi katika kura za maoni za chama hicho kwa kupata kura 1,539 kati ya kura halali 3,288...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Waswahel wanasema.. Nyota njema huonekana alfajri.. Na wazungu wanasema first impression last conclusion.. Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.. Kwakuwa yeyote anaweza kuongea chochote...
45 Reactions
94 Replies
5K Views
Kwanza kabisa mnatakiwa kukubali kuwa hamkubaliki. Kwamba utawala huu wa CCM haukubaliki. Kuna Mwalimu mmoja leo amenifuata na kuniuliza wewe si mwanaCCM? Mbona kila mnachofanya mbona wananchi...
4 Reactions
2 Replies
177 Views
Middle East & Africa | An unlikely journey Don’t welcome Africa’s newest despot Samia Suluhu Hassan has caused Tanzania’s most dangerous crisis since independence Share Illustration: Fede...
13 Reactions
7 Replies
412 Views
  • Featured
Wakuu, Chama cha Madereva wa Malori kilitoa tamko ikiwa mwenzao hajapatikana ndani ya siku 2 kuanzia Jumapili wangefanya mgomo, hii ni baada ya mwenzao kudaiwa kuchukuliwa na watu...
13 Reactions
34 Replies
1K Views
Wakuu, Katika zunguka zangu nikitafuta video ya kinachodaiwa kunaswa na Tanzania Daima (Ref Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010), nimefanikiwa kuipata video hii katika YouTube...
56 Reactions
629 Replies
78K Views
Leo hii tumefikia hatua ya kufanya mkutano na wanahabari ili kuwaeleza jinsi mlivyoshiriki kwenye mkutano wa AU Eti tathmini ya ziara ya mkutano uliofanyika Ethiopia, kumbe alienda kufanya ziara...
12 Reactions
25 Replies
556 Views
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuchunguza kwa haraka na kwa makini taarifa za kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey polepole ‎...
2 Reactions
12 Replies
365 Views
Nacheka mimi Idu huku nakula balimi la baridi nikiwa Igunga. Mashahidi wa Jamhuri ni watu zaidi ya mil 50. Jamhuri wanahangaika nini?
2 Reactions
2 Replies
184 Views
Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Patrick Ole Sosopi amehoji ukweli wa dhamira ya chama tawala nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu maridhiano...
3 Reactions
5 Replies
139 Views
My Take Kimsingi hii jumuisha isambaratike tuu kama ilivyokuwa 1977 Kwa sababu Toka kuundwa kwake upya umeshindwa kutimiza malengo ya kuqnzishwa kwake hususani kuwa na soko huru la bidhaa pamoja...
6 Reactions
46 Replies
496 Views
Waziri Mkuu akiwa ziara Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro, ametatua kero ya mwanaume mmoja ambaye alijenga matundu ya vyoo 22 mwaka 2020 katika shule ya Sekondari Gonja, lakini mpaka leo 2026...
3 Reactions
6 Replies
233 Views
Wakuu, Tundu akiwasili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam ambapo leo kesi ya uhaini inayomkabili itaendelea Dada wa Mhe. Tundu Lissu akiwasili Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kusikiliza...
1 Reactions
12 Replies
671 Views
Wakuu, Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa na Mahakama hadi kesho Februari 19 saa tatu asubuhi. Upande wa Serikali uliieleza...
0 Reactions
7 Replies
196 Views
  • Redirect
Nilitegemea leo Lisu awe mkali kuleta shahidi mmoja. Huyu aliyefiwa aachwe lakini walikubaliana angalau kwa siku walete mashahidi 3, sasa inakuwaje aje mmoja? Yule amefiwa , wa tatu vipi?
1 Reactions
Replies
Views
Kwanini mashahidi wote ktk kesi ya Lissu ni wakiristo? Kila anaelizwa dini ya shahidi, hujitambulisha mkiristo
5 Reactions
75 Replies
1K Views
Huyu boss kaacha ofisi anazunguka na waziri mkuu, hajataka kumwachia mtu majukumu kwa mda, anataka kote awe yeye Huko alipo hafanyi kazi yoyote zaidi kukaa kwenye V8 na kutumia mafuta kwa kodi za...
8 Reactions
9 Replies
333 Views
Picha ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (ICC), Balozi Mahmoud Thabiti Kombo na Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Mame Mandiaye Niang...
6 Reactions
21 Replies
729 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…