Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hili la kusema hivi then kesho kutwa tunawaona wote kwenye adhimisho flani hatuwez kukubali.. Hizi mbanga unaongea hivi then kesho unasema tena mpo pamoja na Mkulu hatuwez kumuanini 100% Tupo...
1 Reactions
2 Replies
55 Views
Sina zaidi la kueleza maana mada za Nchimbi jukwaani ni nyingi. Je, kibano cha mabeberu kinafanya kazi yake na watu wanfikiri sawasawa sasa? At any rate , hata Mwalimu mwaka 1977 aliwahi kusema...
2 Reactions
3 Replies
69 Views
Openly, kwenye media, bila uoga, Mwaipopo kajitangaza kwamba anamiliki vikundi vya kigaidi vyenye mafunzo ya hali ya juu, akivionyesha kwenye camera. Polis hawakuchukua hatua yoyote. Badala yake...
4 Reactions
5 Replies
113 Views
kizungumza kwenye kipindi cha Kapu Kubwa Leo, @bodaboda_mmbea amesema kuwa wanafunzi wengi na familia zao wanapata ugumu kutokana na ada kutolipiwa kikamilifu, jambo linalowalazimu kutafuta fedha...
0 Reactions
1 Replies
56 Views
Wakuu, Kumkumbuka tutamkumbuka apo kwenye tutamkumbuka kwenye nini Mchengerwa atuachie sisi ======== Waziri Mchengerwa aliyasema hayo Julai 23, 2026 kwenye ziara yake ya kikazi ya siku 4 mkoani...
8 Reactions
90 Replies
1K Views
SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X...
2 Reactions
11 Replies
260 Views
Mkuu huyo wa wilaya huko Shinyanga ameonekana kwenye taarifa ya habari ya ITV saa mbilu usiku huu akiwa ameambatana na polisi. Julius Ntatiro mkuu wa wilaya ameonekana akiwa nyumbani hapo na...
7 Reactions
27 Replies
563 Views
Mabango ya "Chagua Samia" hadi leo yapo barabarani, japo uchaguzi umeisha tangu October 2025. Sasa swali ni kwamba, kwa kuwa ukiweka bango barabarani kama hayo ya "Chagua Samia" lazima ulilipie...
3 Reactions
16 Replies
323 Views
Askofu Dr. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, akizungumza na Sauti Digital Ijumaa Julai 24, 2026 amehoji kuhusu kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi...
2 Reactions
0 Replies
117 Views
Katika nafasi yake Lissu alifanikiwa kupindua meza na kuufuta utawala wa Mbowe katika mazingira ambayo hayakutarajiwa. Nchimbi nafikiri anahitaji mtu wa nafasi/Role ya Mnyika na Heche. Same playbook
3 Reactions
7 Replies
197 Views
ANASEMA MARIA SARUNGI, OUR PULCHRITUDINOUS: Leo Nchimbi umeonyesha uungwana kwa maneno maana umesema kuwa uanaharakati si uhasama - na ulinitaja kabisa pamoja na kwamba ninajua kuwa jina langu...
4 Reactions
0 Replies
95 Views
Yupo upande wa victims of a system, naye anategemea sauti za wananchi wanaoweka maisha yao hatarani kwa kuwasemea watanzania. Kwa mamlaka ya makamu wa raisi tu angebadilisha mambo mengi sana.
2 Reactions
20 Replies
414 Views
Wanabodi, Kwanza watch TBC Live Mubashara https://www.youtube.com/watch?v=wMOElr9lFGI Japo enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete, sisi humu JF, tulimpiga spana za kutosha zikiwemo spana zangu...
16 Reactions
223 Replies
4K Views
Hotuba aliyotoa Makamu wa Rais Dr Emmanuel Nchimbi jana kwa vikundi vya wanaharakati na viongozi wengine ni nyundo. Nyundo hii ni eye opener. Nchimbinkatema che che ambazo hata wana CCM wanagwaya...
1 Reactions
4 Replies
80 Views
Yuda ni yuda haijalishi kama ni yuda wa wakati uleee wa Yesu au wa wakati huu Mama ndio kila kitu. Barabara ikijengwa ni Mama. Matundu ya vyoo yakijengwa ni Mama. Hospital ikijengwa ni Mama. Hela...
3 Reactions
9 Replies
214 Views
Mhadhiri mmoja wa Chuo Kikuu cha Dodoma (ambaye hajatajwa jina) anadaiwa kukamatwa na polisi muda mfupi baada ya nyumba yake kufanyiwa upekuzi na kufanyiwa mahojiano katika kituo cha polisi kabla...
18 Reactions
109 Replies
4K Views
Chama cha Wanataaluma cha Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA) kimeenda Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma kupinga kushikiliwa kwa muda mrefu bila dhamana kwa mhadhiri mwenzao, Melkisedeki Kitunzi Kaijage...
1 Reactions
16 Replies
637 Views
Katika Mkutano Mkuu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) uliofanyika jijini Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametoa...
0 Reactions
1 Replies
74 Views
Baada ya kumsikiliza Nchimbi leo sasa asubiri comeback yake , maana baada ya kumsikiliza, sasa wapo jikoni wanajipika kuja na mashambulizi upya dhidi ya nchimbi, hivyo kaa tayari
2 Reactions
20 Replies
398 Views
Anonymous
Tuliambiwa huduma ya mabasi ya Mwendokasi njia ya kwenda Gongo la Mboto itaanza kupatikana 01/07/2026 lakini mpaka sasa kimya wahusika watupe majibu.
0 Reactions
2 Replies
90 Views
Back
Top Bottom