Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sisi Wafanyakazi 160 tuliopo katika Mgodi mdogo ambao unapatikana Mkoani Mara, Wilaya ya Musoma, Kata ya Kigera, Kijiji cha Kwitope chini ya Kampuni ya IDERA au GDM tuna changamoto ambazo...
0 Reactions
2 Replies
252 Views
Kama unatumia mitandao nadhani umewaona TFF (Tanganyika freedom fighters) wanakiri kuhusika na kumkata kata mapanga mwenyekiti wa CCM kijiji cha mkoani Mbeya na kumshambulia polisi hadi kifo...
14 Reactions
61 Replies
2K Views
Wakuu, Kama mnakumbuka siku kadhaa nyuma kulikuwa na stori ya Mwenyekiti wa Kitongoji (CCM), aliposema mbele ya Waziri Mkuu kuwa anahofia kutekwa na Kuuwawa baada ya kuzuia miti kukatwa kinyemela...
0 Reactions
0 Replies
106 Views
Wakuu, Oct 25, 2021 mahojiano na machinga Kariakoo kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa Dar wakati huo Amos Makalla kupiga marufuku shughuli za kibiashara ndogondogo katika maeneo yasiyo rasmi kama juu...
1 Reactions
0 Replies
208 Views
Hata utumie lugha gani, serikali ilitaka kupinduliwa. Hakuna lugha nyingine nyepesi unaweza kuitumia kukwepesha usitumie neno mapinduzi ya serikali ya Mama Samia. Haiwezi kuwa ni bahati mbaya na...
2 Reactions
25 Replies
486 Views
1. Egypt 2. Nigeria 3 . South Africa 4 . Morocco 5. Algeria 6. DR Congo 7. Ivory Coast 8 . Kenya 9 . Ghana 10 .Uganda. My Take Inashangaza eti DRC inatuzidi Hadi Tanzania Kwa viwanda...
6 Reactions
48 Replies
552 Views
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X ====== Ali Mohamed Kibao Ameuawa Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa...
41 Reactions
1K Replies
71K Views
  • Redirect
Mbunge wa Moshi mjini (CCM), Ibrahim Shayo maarufu Ibraline amepata ajali wilayani Same, baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka katika eneo la Kirinjiko wilayani humo kwenye msafara wa...
0 Reactions
Replies
Views
Naomba tuelewane ni chuo kikuu kilichojitosheleza chenye vitivo mbali mbali vya Uhandisi, Sheria, Ualimu, Biashara, Udaktari, n.k. Sio kampasi ya chuo kikuu au institute au college ambayo inatoa...
3 Reactions
20 Replies
309 Views
Hili jambo la Samia kushitakiwa ICC watu ( haters wa Samia na Machawa wa Samia) wote hawajui chochote kuhusu legal procedures za ICC. Machawa wanabwatuka kuwa kamwe Samia hawezi kufunguliwa kesi...
35 Reactions
70 Replies
2K Views
  • Featured
Februari 4, 2026 DAR ES SALAAM — Kwa muda mrefu, yamekuwepo maneno ya chini kwa chini, tetesi zilizopuuzwa kama umbea wa vijiweni. Lakini sasa, swali sio tena kama Tanzania inahusika kwenye...
51 Reactions
183 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna Faida ya Kuwa na Kiongozi Mcha Mungu ,kiongozi Mwenye Hofu ya Mungu ,kiongozi mwenye moyo wa Huruma ,upendo ,ukarimu na unyenyekevu kama ilivyo kwa Mama na Rais wetu...
0 Reactions
13 Replies
260 Views
Hello guys Napenda kuwapa good news, kutoka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika. Kesi iliyofunguliwa ICC na Intelwatch, Madrid Bar Association na Human right Institute Kwa Samia na viongozi...
50 Reactions
145 Replies
3K Views
Kwanza, tunajua kuwa watajwa hapo juu ni 'watu na mitume' wa kufikirika ambao, bila imani na vitisho, hawawezi kuwa walivyo. Je, sababu ni kutokuwapo na teknolojia ya picha jambo ambalo dini...
4 Reactions
18 Replies
278 Views
https://youtu.be/SF7xIDmUvSQ?si=j9ah5eb9048kNlgz
2 Reactions
37 Replies
826 Views
  • Redirect
AGNES MARWA ATOA TUZO KWA SHULE ZA SEKONDARI ZILIZOFANYA VIZURI MANISPAA YA MUSOMA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, leo tarehe 18 Februari, 2026 ametoa tuzo na zawadi maalum kwa...
1 Reactions
Replies
Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, leo tarehe 18 Februari, 2026 ametoa tuzo na zawadi maalum kwa shule za sekondari zilizofanya vizuri katika Manispaa ya Musoma, ikiwa ni hatua ya...
1 Reactions
3 Replies
160 Views
Wakuu, Huyu Shahidi mwanzoni alisema kuwa anaishi Moshi Kiranyi. Lissu akamuuliza kuwa nani kampa nauli ya kuja kutoa ushahidi kwenye hiyo kesi, akasema kuwa hiyo nauli kapewa na mwanamke wake na...
4 Reactions
39 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesifu utendaji kazi wa Mbunge wa Lushoto ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe kwa...
0 Reactions
1 Replies
133 Views
Ni kama figisu zimeanza. Makonda hamtaki Mwana FA pale Wizarani. Alichofanya Makonda, ni kumgeuza Msigwa (Katibu Mkuu wa Wizara) kama chawa wake kwenye mitikasi yake pale wizarani. Safari wapo...
31 Reactions
65 Replies
2K Views
Back
Top Bottom