Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika nafasi yake Lissu alifanikiwa kupindua meza na kuufuta utawala wa Mbowe katika mazingira ambayo hayakutarajiwa. Nchimbi nafikiri anahitaji mtu wa nafasi/Role ya Mnyika na Heche. Same playbook
3 Reactions
7 Replies
197 Views
ANASEMA MARIA SARUNGI, OUR PULCHRITUDINOUS: Leo Nchimbi umeonyesha uungwana kwa maneno maana umesema kuwa uanaharakati si uhasama - na ulinitaja kabisa pamoja na kwamba ninajua kuwa jina langu...
4 Reactions
0 Replies
95 Views
Yupo upande wa victims of a system, naye anategemea sauti za wananchi wanaoweka maisha yao hatarani kwa kuwasemea watanzania. Kwa mamlaka ya makamu wa raisi tu angebadilisha mambo mengi sana.
2 Reactions
20 Replies
414 Views
Wanabodi, Kwanza watch TBC Live Mubashara https://www.youtube.com/watch?v=wMOElr9lFGI Japo enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete, sisi humu JF, tulimpiga spana za kutosha zikiwemo spana zangu...
16 Reactions
223 Replies
4K Views
Hotuba aliyotoa Makamu wa Rais Dr Emmanuel Nchimbi jana kwa vikundi vya wanaharakati na viongozi wengine ni nyundo. Nyundo hii ni eye opener. Nchimbinkatema che che ambazo hata wana CCM wanagwaya...
1 Reactions
4 Replies
79 Views
Yuda ni yuda haijalishi kama ni yuda wa wakati uleee wa Yesu au wa wakati huu Mama ndio kila kitu. Barabara ikijengwa ni Mama. Matundu ya vyoo yakijengwa ni Mama. Hospital ikijengwa ni Mama. Hela...
3 Reactions
9 Replies
214 Views
Mhadhiri mmoja wa Chuo Kikuu cha Dodoma (ambaye hajatajwa jina) anadaiwa kukamatwa na polisi muda mfupi baada ya nyumba yake kufanyiwa upekuzi na kufanyiwa mahojiano katika kituo cha polisi kabla...
18 Reactions
109 Replies
4K Views
Chama cha Wanataaluma cha Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA) kimeenda Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma kupinga kushikiliwa kwa muda mrefu bila dhamana kwa mhadhiri mwenzao, Melkisedeki Kitunzi Kaijage...
1 Reactions
16 Replies
637 Views
Katika Mkutano Mkuu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) uliofanyika jijini Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametoa...
0 Reactions
1 Replies
74 Views
Baada ya kumsikiliza Nchimbi leo sasa asubiri comeback yake , maana baada ya kumsikiliza, sasa wapo jikoni wanajipika kuja na mashambulizi upya dhidi ya nchimbi, hivyo kaa tayari
2 Reactions
20 Replies
398 Views
Anonymous
Tuliambiwa huduma ya mabasi ya Mwendokasi njia ya kwenda Gongo la Mboto itaanza kupatikana 01/07/2026 lakini mpaka sasa kimya wahusika watupe majibu.
0 Reactions
2 Replies
90 Views
My Take Unaambiwa asilimia 20% ni kiasi kikubwa kuliko kile Nchi zingine za Afrika wanapata kwenye biashara ya Madini. https://www.instagram.com/p/DNlY1csIdLl/?igsh=c2ZmMG4yc3I2dHZ4...
6 Reactions
137 Replies
6K Views
Leo nimeona jambo muhimu sana kutoka kwa Makamu wa Rais wetu, Dkt. Emmanuel Nchimbi, aliyezungumza mbele ya umma tarehe Julai 23, 2026. Nimeamua kuandika thread hii ili kuwafahamisha wote kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
81 Views
Habari wakuu. Leo tarehe 24/7/2026 Makamu wa Rais Dr Emmanuel Nchimbi ametoa kauli za kisiasa ambazo kwangu ni kama mtego kwa CHADEMA. Kabla CHADEMA haijaanza kufurahia kauli hiyo ijiulize maswali...
4 Reactions
10 Replies
266 Views
https://youtu.be/ZY0-McsJUgM?si=BKQSHy6agElfKKdu Eti na mwisho wake uwe hivi👉🏻: Kwamba, Albert Bashite Malyangili a.k.a Paul Makonda ndiye achukue nafasi ya Dr Emmanuel Nchimbi - awe Makamu wa...
13 Reactions
37 Replies
1K Views
  • Redirect
Mara baada ya hotuba ya Dr Nchimbi kuwataka wananchi kuipambania katiba mpya. Sasa lumumba kimeumana haswaaaa
0 Reactions
Replies
Views
Kama umemsikiliza Dr Nchimbi vizuri utagundua kuwa ana frustration ya muda wa kuipata katiba mpya! Alitarajia itapatikana 2028 ili itumike uchaguzi wa 2029 na 2030. Sasa ni July 2026 haoni dalili...
0 Reactions
1 Replies
85 Views
Na katika hali ya sasa katiba imeshindikana kabisa kupatikana kwa njia ya kidiplomasia Kwa muda mrefu zimekuwa ni sinema zetu za kujirudia Vijana wengi sana tumewapoteza waliouwa wakitaka katiba...
1 Reactions
3 Replies
79 Views
Wanabodi, Hii ni safu yangu mpya inayoitwa PNA, kirefu chake ni PPR News Analysis. Tamka (P.N.A) Hapa nitakuwa nawawekea News Analysis ya habari kubwa yoyote yenye maslahi kwa taifa. PNA ni...
12 Reactions
46 Replies
1K Views
Tofauti ya Mbowe na Yuda ni ndogo sana Na Saed Kubenea FREEMAN Mbowe, aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa miaka 21, hawezi tena kuaminika. Taswira...
20 Reactions
74 Replies
5K Views
Back
Top Bottom