Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi.
Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea...
Ndugu wana-Jamii Forums,
Katika hali iliyoleta taharuki na mjadala mpana kwenye anga za kisiasa za ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC), mwanasiasa machachari na msomi kutoka Afrika Kusini, Dkt...
Ikiwa ni kweli kuhusiana na hizi taarifa kuhusu kujiuzulu kwa makamu wa Rais Dkt. Nchimbi, mtu anayefaa kwa uzoefu na uwezo alionao kupewa nafasi hiyo naona Dkt. Migiro, katibu Mkuu wa CCM kwa...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni...
Wanabodi
Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe.
Juzi na jana, Wahariri zaidi ya 200, ambao ni wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, toka vyombo vya habari vyote nchini, tumekutana kwa...
Mpaka sasa nikiyaangalia mahusiano ya Lissu na Mbowe napata utata kama ni washirika wa kisiasa ama ni mahasimu.
Lissu mara kadhaa alikuwa anasema cheo chochote atakachogombea Mbowe yeye...
Wanabodi,
Naomba anza kwanza kwa kumsikiliza VP Balozi Dr. Nchimbi
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
Kwa kauli kama hizi, kwa maoni yangu, kiukweli kabisa to be honest from the...
Amewahi kutokea wapi 'fighter' anayependa chakula kama huyu?!!! Anayekula mpaka anataka kupasuka?!!! Mi sielewi elewi tu.
Nawasilisha Huku nikiwa na Imani mliotembea na kusoma mtanielimisha...
Mambo yanayoendelea TANZANIA ni kwa sababu Farao amejaa kiburi kaona liwalo na liwe mfano kutumia vyombo vya kimaamuzi kuwatesa watu.Ni suala la muda huyu FARAO kuanguka na litakuwa anguko kubwa...
Johnson Yesaya, Mwanasheria kutoka Taasisi ya Sheria na Wakili - Jungu la Sheria Tanzania anaeleza kuwa:
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 50(4): Makamu wa Rais...
As long as the system remains intact, all what is transpiring today, go down to the trench.
Ni ubatili mtupu! Nothing has been or will be achieved to get us out of this mauaji, utekaiji and the like!
Wanabodi,
Lengo la JF, zaidi ya kuhabarishana, na kufurahishana, thamani kubwa zaidi ya jf ni kuelimishana, pale ambapo, unadhani unajua jambo fulani, ukawaelimisha na wengine ili nao wajue...
NI Tanzania tu ambapo wananchi wanakaa kimya pale ambapo watetezi wa haki zao kama kina Ben Saanane, Ali Kibao, Luhaga Mpina, Tundu Lissu, Job Ndugai, Hamphrey Pole Pole au hata Dr. Nchimbi...
Sheria namba 1, 14, 18, 35, 38, na sheria namba 46
Never Outshine the Master
Pose as a Friend, Work as a Spy
Do Not Build Fortresses to Protect Yourself—Isolation Is Dangerous
Master the Art...
Fursa zinapotokea ni kuzichangamkia haya sasa tafuteni wagombea mapema ila kaeni mkijua kuwa.👇🏼👇🏼
CCM NDO TANZANIA YENYEWE
CCM NDO MLEZI WA AMANI YA TAIFA LETU.
CCM NDO CHAMA PEKEE...
Tambua kwamba kazi nyingi za kuwatetea waathirika mbalimbali, Lissu amezifanya bure bila kilipwa na hao watu.
Lissu anasema;
Sasa leo nataka nizungumze kuhusu mchango wangu wa kupigania haki za...
Dotto hadi sasa hakuna haki yoyote ilifanyika kwenye uchaguzi huu, uchaguzi ambao umeingia doa kubwa hata kwa jiki auwezi kuondoa doa hilo.
Na hao mnaoshindana nao ni CCM B wote so hakuna...
Tukio hili litakuwa tukio la aina yake na ni fursa ya kipekee kudai uhuru wa Tanganyika kama nchi Huru.
Tuitumie hii fursa kufanya kampeni ya ghafla kuhamasisha Utaifa wa Tanganyika, kufufua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.