Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi. Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea...
0 Reactions
4 Replies
92 Views
Ndugu wana-Jamii Forums, Katika hali iliyoleta taharuki na mjadala mpana kwenye anga za kisiasa za ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC), mwanasiasa machachari na msomi kutoka Afrika Kusini, Dkt...
39 Reactions
75 Replies
1K Views
Ikiwa ni kweli kuhusiana na hizi taarifa kuhusu kujiuzulu kwa makamu wa Rais Dkt. Nchimbi, mtu anayefaa kwa uzoefu na uwezo alionao kupewa nafasi hiyo naona Dkt. Migiro, katibu Mkuu wa CCM kwa...
2 Reactions
9 Replies
182 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni...
25 Reactions
175 Replies
14K Views
Wanabodi Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe. Juzi na jana, Wahariri zaidi ya 200, ambao ni wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, toka vyombo vya habari vyote nchini, tumekutana kwa...
9 Reactions
107 Replies
4K Views
Mpaka sasa nikiyaangalia mahusiano ya Lissu na Mbowe napata utata kama ni washirika wa kisiasa ama ni mahasimu. Lissu mara kadhaa alikuwa anasema cheo chochote atakachogombea Mbowe yeye...
4 Reactions
51 Replies
531 Views
Wanabodi, Naomba anza kwanza kwa kumsikiliza VP Balozi Dr. Nchimbi https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3 Kwa kauli kama hizi, kwa maoni yangu, kiukweli kabisa to be honest from the...
8 Reactions
57 Replies
1K Views
Amewahi kutokea wapi 'fighter' anayependa chakula kama huyu?!!! Anayekula mpaka anataka kupasuka?!!! Mi sielewi elewi tu. Nawasilisha Huku nikiwa na Imani mliotembea na kusoma mtanielimisha...
1 Reactions
40 Replies
522 Views
Mambo yanayoendelea TANZANIA ni kwa sababu Farao amejaa kiburi kaona liwalo na liwe mfano kutumia vyombo vya kimaamuzi kuwatesa watu.Ni suala la muda huyu FARAO kuanguka na litakuwa anguko kubwa...
0 Reactions
8 Replies
89 Views
Johnson Yesaya, Mwanasheria kutoka Taasisi ya Sheria na Wakili - Jungu la Sheria Tanzania anaeleza kuwa: Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 50(4): Makamu wa Rais...
3 Reactions
11 Replies
443 Views
As long as the system remains intact, all what is transpiring today, go down to the trench. Ni ubatili mtupu! Nothing has been or will be achieved to get us out of this mauaji, utekaiji and the like!
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Wanabodi, Lengo la JF, zaidi ya kuhabarishana, na kufurahishana, thamani kubwa zaidi ya jf ni kuelimishana, pale ambapo, unadhani unajua jambo fulani, ukawaelimisha na wengine ili nao wajue...
5 Reactions
38 Replies
5K Views
Unganisha matamko ya TEC, wadada wa vijora, ukimya wa kkkt. Subirini mtaona, kwa mara ya kwanza hakutakuwa na mkatoliki katika uongozi wa juu!
5 Reactions
20 Replies
246 Views
NI Tanzania tu ambapo wananchi wanakaa kimya pale ambapo watetezi wa haki zao kama kina Ben Saanane, Ali Kibao, Luhaga Mpina, Tundu Lissu, Job Ndugai, Hamphrey Pole Pole au hata Dr. Nchimbi...
2 Reactions
7 Replies
107 Views
Sheria namba 1, 14, 18, 35, 38, na sheria namba 46 Never Outshine the Master Pose as a Friend, Work as a Spy Do Not Build Fortresses to Protect Yourself—Isolation Is Dangerous Master the Art...
2 Reactions
16 Replies
296 Views
Fursa zinapotokea ni kuzichangamkia haya sasa tafuteni wagombea mapema ila kaeni mkijua kuwa.👇🏼👇🏼 CCM NDO TANZANIA YENYEWE CCM NDO MLEZI WA AMANI YA TAIFA LETU. CCM NDO CHAMA PEKEE...
0 Reactions
7 Replies
81 Views
Tambua kwamba kazi nyingi za kuwatetea waathirika mbalimbali, Lissu amezifanya bure bila kilipwa na hao watu. Lissu anasema; Sasa leo nataka nizungumze kuhusu mchango wangu wa kupigania haki za...
1 Reactions
0 Replies
26 Views
Dotto hadi sasa hakuna haki yoyote ilifanyika kwenye uchaguzi huu, uchaguzi ambao umeingia doa kubwa hata kwa jiki auwezi kuondoa doa hilo. Na hao mnaoshindana nao ni CCM B wote so hakuna...
1 Reactions
6 Replies
297 Views
Tukio hili litakuwa tukio la aina yake na ni fursa ya kipekee kudai uhuru wa Tanganyika kama nchi Huru. Tuitumie hii fursa kufanya kampeni ya ghafla kuhamasisha Utaifa wa Tanganyika, kufufua...
7 Reactions
20 Replies
305 Views
Back
Top Bottom