Sasa ni wakati wa Zanzibar kumtambua baba wa taifa huru la Zanzibar John Okello

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,364
11,520
Nadhani sisi wazanzibar ni wakati wa kukubaliana na ukweli mchungu na kuutambua mchango mkubwa sana uliofanywa na baba wa taifa huru, mwanamapinduzi, jasiri, mpigania uhuru JOHN OKELLO raia wa UGANDA.

Katika kipindi hicho kigumu ambacho Zanzibar ilipitia Shujaa huyu aliongoza mapinduzi hayo kwa Ujasiri kabisa na kuyafanikisha kumwondoa Mkoloni Sultan na hivyo kuwarudishia Uhuru wao Waafrika.

Wakati akifanya hayo Mzee Karume alikuwa amejificha Dar akiulizia kwenye simu " vipi mmewaweza? Muwe mnanipa Updates wadau"

John Okello Mwanaume wa Kibara alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha Zanzibar inakuwa nchi huru.

Tuacheni unafiki, chuki, husda na fitna. Tutubu dhulma tuliyomfanyia Joh Okello ili nasi sasa tuwe huru. Huyu Jamaa ilipaswa picha yake kuwekwa ofisi zote na kuandikwa

"JOHN OKELLO BABA WA TAIFA HURU LA ZANZIBAR "
 
Nadhani sisi wazanzibar ni wakati wa kukubaliana na ukweli mchungu na kuutambua mchango mkubwa sana uliofanywa na baba wa taifa huru, mwanamapinduzi, jasiri, mpigania uhuru JOHN OKELLO raia wa UGANDA.

Katika kipindi hicho kigumu ambacho Zanzibar ilipitia Shujaa huyu aliongoza mapinduzi hayo kwa Ujasiri kabisa na kuyafanikisha kumwondoa Mkoloni Sultan na hivyo kuwarudishia Uhuru wao Waafrika.

Wakati akifanya hayo Mzee Karume alikuwa amejificha Dar akiulizia kwenye simu " vipi mmewaweza? Muwe mnanipa Updates wadau"

John Okello Mwanaume wa Kibara alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha Zanzibar inakuwa nchi huru.

Tuacheni unafiki, chuki, husda na fitna. Tutubu dhulma tuliyomfanyia Joh Okello ili nasi sasa tuwe huru. Huyu Jamaa ilipaswa picha yake kuwekwa ofisi zote na kuandikwa

"JOHN OKELLO BABA WA TAIFA HURU LA ZANZIBAR "
Okello angekuwa shujaa kweli angeitawala Zanzibar, lakini alikuwa mtendaji tu, kama walivyo majemadari wengine wa kivita kwenye vita, ulishawahi kusikia raisi anachukua mtutu wa bunduki?
 
Nadhani sisi wazanzibar ni wakati wa kukubaliana na ukweli mchungu na kuutambua mchango mkubwa sana uliofanywa na baba wa taifa huru, mwanamapinduzi, jasiri, mpigania uhuru JOHN OKELLO raia wa UGANDA.

Katika kipindi hicho kigumu ambacho Zanzibar ilipitia Shujaa huyu aliongoza mapinduzi hayo kwa Ujasiri kabisa na kuyafanikisha kumwondoa Mkoloni Sultan na hivyo kuwarudishia Uhuru wao Waafrika.

Wakati akifanya hayo Mzee Karume alikuwa amejificha Dar akiulizia kwenye simu " vipi mmewaweza? Muwe mnanipa Updates wadau"

John Okello Mwanaume wa Kibara alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha Zanzibar inakuwa nchi huru.

Tuacheni unafiki, chuki, husda na fitna. Tutubu dhulma tuliyomfanyia Joh Okello ili nasi sasa tuwe huru. Huyu Jamaa ilipaswa picha yake kuwekwa ofisi zote na kuandikwa

"JOHN OKELLO BABA WA TAIFA HURU LA ZANZIBAR "
Ukweli mchungu unaofichwa hasa na Tanganyika. Ili historia ianzie kwa waasisi wa muungano feki .

Mungu amrehemu Mzee Tito Okello kwa uzalendo wake kwa wa Africa wenzie.
 
Nadhani sisi wazanzibar ni wakati wa kukubaliana na ukweli mchungu na kuutambua mchango mkubwa sana uliofanywa na baba wa taifa huru, mwanamapinduzi, jasiri, mpigania uhuru JOHN OKELLO raia wa UGANDA.

Katika kipindi hicho kigumu ambacho Zanzibar ilipitia Shujaa huyu aliongoza mapinduzi hayo kwa Ujasiri kabisa na kuyafanikisha kumwondoa Mkoloni Sultan na hivyo kuwarudishia Uhuru wao Waafrika.

Wakati akifanya hayo Mzee Karume alikuwa amejificha Dar akiulizia kwenye simu " vipi mmewaweza? Muwe mnanipa Updates wadau"

John Okello Mwanaume wa Kibara alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha Zanzibar inakuwa nchi huru.

Tuacheni unafiki, chuki, husda na fitna. Tutubu dhulma tuliyomfanyia Joh Okello ili nasi sasa tuwe huru. Huyu Jamaa ilipaswa picha yake kuwekwa ofisi zote na kuandikwa

"JOHN OKELLO BABA WA TAIFA HURU LA ZANZIBAR "
Okello aliisaidia tanganyika kupata koloni lake, ni Tanzania peke yake katika afrika ndiyo bado ina koloni lake
 
Nakuona poyoyo tu mtoa mada,kwanza unasema okello amerejesha uhuru wa wazanzibar,pili unasema mganda kisha unasema mtu wa bara,msiwafanye wazanzibar hawajui historia yao ambayo kabla ya mavamizi ya 1964 zanzibar ilikuwa na kiti chake UN.
 
Nakuona poyoyo tu mtoa mada,kwanza unasema okello amerejesha uhuru wa wazanzibar,pili unasema mganda kisha unasema mtu wa bara,msiwafanye wazanzibar hawajui historia yao ambayo kabla ya mavamizi ya 1964 zanzibar ilikuwa na kiti chake UN.
Unakomaa ooh kiti kiti, sasa unataka kuukataa mchango wa John? Kakoloni ketu wabongo wacha kupiga mayowe nyapara wetu
 
Zanzibar bado wanamuhitaj Okello mwenye nguvu na ujasiri kuliko aliepita, bado wapo utumwani tena wanatawaliwa na mtu mweusi kutoka Tanganyika, maisha yamewageuka waaranu wa zanzibar wao walikuwa masultan zamani now wamekuwa watumwa wa Tanganyika..
 
Sasa bwana Bobwe2 kwani Uganda ni Pwani? We hujui kuwa uganda ni Bara? Au hufaham maana ya Bara? Mganda ndo aliwatimua wakoloni wa Kiarabu kule Zanzibar.

Laana ya kumkataa itaitesa sana zanzibar. Maana hii imekuwa laana. Mtu aliyejitoa kuwapigania mnamtenga baada ya mapinduzi


Nakuona poyoyo tu mtoa mada,kwanza unasema okello amerejesha uhuru wa wazanzibar,pili unasema mganda kisha unasema mtu wa bara,msiwafanye wazanzibar hawajui historia yao ambayo kabla ya mavamizi ya 1964 zanzibar ilikuwa na kiti chake UN.
 
Nadhani sisi wazanzibar ni wakati wa kukubaliana na ukweli mchungu na kuutambua mchango mkubwa sana uliofanywa na baba wa taifa huru, mwanamapinduzi, jasiri, mpigania uhuru JOHN OKELLO raia wa UGANDA.
Katika kipindi hicho kigumu ambacho Zanzibar ilipitia Shujaa huyu aliongoza mapinduzi hayo kwa Ujasiri kabisa na kuyafanikisha kumwondoa Mkoloni Sultan na hivyo kuwarudishia Uhuru wao Waafrika.
Wakati akifanya hayo Mzee Karume alikuwa amejificha Dar akiulizia kwenye simu " vipi mmewaweza? Muwe mnanipa Updates wadau"
John Okello Mwanaume wa Kibara alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha Zanzibar inakuwa nchi huru.
Tuacheni unafiki, chuki, husda na fitna. Tutubu dhulma tuliyomfanyia Joh Okello ili nasi sasa tuwe huru. Huyu Jamaa ilipaswa picha yake kuwekwa ofisi zote na kuandikwa
"JOHN OKELLO BABA WA TAIFA HURU LA ZANZIBAR "
Sahihisha jina, Field Marshall John Okello alikuwa kijana smart sana.
 
Back
Top Bottom