Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Utekwaji wa balozi Humphrey Polepole na kupotezwa mazima umeacha mafunzo kadhaa kwa nchi yetu. 1. Adui wa maendeleo ya Tanzania siyo mabeberu mbali ni watanzania wenzetu waliojificha kwenye tawi...
85 Reactions
169 Replies
3K Views
Wanajamvi, Kwa miaka mingi tumekuwa tukilalamika kuhusu Katiba yetu. Tumesema haitutendei haki, madaraka yamelundikwa upande mmoja, na sauti ya mwananchi wa kawaida haimo. Tumesubiri Tume...
1 Reactions
10 Replies
168 Views
Sitaandika mengi hapa, kwa sababu ushahidi upo, kila mmoja anauona waziwazi. Chungulia video yoyote inayomwonyesha katika kila hadhara mtu anayetakiwa sasa awe karidhika kwa kumkomoa mtu...
11 Reactions
15 Replies
319 Views
  • Redirect
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, amesema utamaduni wa 'uchawa' na kuteteana bila kuzingatia ukweli ni miongoni mwa mambo...
6 Reactions
Replies
Views
MY TAKE; Msajili wa vyama vya Siasa, kaanza kuvitumia vile vyama vya mfukoni ili vimtetee.. Viongozi wa vyama vya siasa vilivyoundwa na CCM wanazidi kunenepa na kujenga Magorofa hata hela sijui...
1 Reactions
16 Replies
363 Views
Kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu baada ya kuingia mahakamani ambapo leo anatarajiwa kuendelea kuuliza maswali ya dodoso kwa mashahidi kwenye shauri...
12 Reactions
48 Replies
844 Views
Ndugu zangu Watanzania, Dunia Yatikisika ,Dunia Yatetemeka ,Dunia yaripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kishindo kikuu kilichosikika Duniani kote baada ya Marekani kuikosoa vikali sana...
3 Reactions
55 Replies
481 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hali iliyopo na inayoendelea ndani ya CHADEMA ni vyema sana na muhimu sana kuchukuliwa kwa hatua za haraka na Dharura kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa...
2 Reactions
57 Replies
798 Views
  • Featured
Wakuu, Bendera ya Tanzania kuwa kwenye meli hii inamaanisha nini na ina athari gani kidiplomasia? Na hiyo mizigo hapo chini imefungwa kwa bendera yetu pia?🤔 ==== Mnamo Februari 19, 2026...
20 Reactions
143 Replies
4K Views
Meli yenye bendera ya Tanzania imelipuliwa na Jeshi la Russia huko kwenye Bahari Nyeusi. Russia wanadai meli hiyoilikuwa inatumika kusaidia Ukraine. Ni vizuri serikali yetu ikatoa majibu ya kina...
2 Reactions
9 Replies
359 Views
Ilikua ni kati ya kero zilizoibuliwa baada ya mgogoro wa Serikali ma Wafanyabiashara uliopelekea Majaliwa akiwa PM kuunda Tume. Lakini yale yaliyolalamikiwa yamerudishwa kwa kasi ya ngiri na...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
Rais Samia ana exposure kubwa sana ya kimataifa inayomfanya iwe vigumu kumchafua kimataifa. Ni Rais mwanamke, dunia nzima inajua kuwa viongozi wa siasa nchi kwake wanamuonea kwakuwa ni mwanamke...
2 Reactions
87 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mheshimiwa Abdel Fattah EL-Sisi, amewasili jijini Dar es Salaam Julai 18,2026, kuanza ziara ya Kitaifa ya siku moja kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya...
1 Reactions
3 Replies
134 Views
"What looks to us like beautiful, deliberate design is actually just the end result of millions of years of nature ruthlessly filtering out what doesn't work, leaving behind only what does". If...
0 Reactions
1 Replies
90 Views
Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba, amewataka wanaharakati na wakosoaji wa Serikali kuwa na usawa wanapotoa tathmini ya utendaji wa Serikali ya awamu ya sita kwa...
0 Reactions
16 Replies
228 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ametetea uhalali wa serikali iliyopo madarakani na matokeo ya uchaguzi mkuu, akieleza kuwa vurugu zilizotokea wakati...
3 Reactions
37 Replies
547 Views
Tanzania, Misri Zakubaliana Kupanua Ushirikiano wa Kimkakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mhe. Abdel Fattah...
1 Reactions
10 Replies
294 Views
Hii inatufunza kuwa siasa yetu sasa imeingiliwa sana na wafanyabiashara na wanaohamasisha maandamano wanafanya hivyo ili kupoka madaraka kutoka kwa wazalendo wanaojali wananchi wa hali ya chini...
1 Reactions
2 Replies
88 Views
KBARUA YA WAZI KWA MUFTI MKUU WA TANZANIA: WITO WA UWAZI KUHUSU SAKATA LA KUONDOSHWA SHEIKH WALID Kwa: Mufti Mkuu wa Tanzania Yah: Ombi la kuweka wazi sababu za kuondoshwa Sheikh Walid ili haki...
5 Reactions
12 Replies
301 Views
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke! Naomba hili liwe reference kwa 2025!
43 Reactions
258 Replies
23K Views
Back
Top Bottom