Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo...
28 Reactions
267 Replies
21K Views
Ilianza kama utani kwenye Bandari za Tanganyika,Mbuga n.k Leo naona za Nchimbi ,kama ni kweli itoshe sema mstari mwekundu kwa Tanganyika umevukwa , hii ni history chafu kuwa katika tafa hili...
2 Reactions
0 Replies
66 Views
Mbunge wa Peramiho Jenister Joachim Mhagama amefariki leo asubuhi. Alianguka ghafla kisha kupelekwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Alifariki kwa sasa mwili umepelekwa Benjamin Mkapa...
25 Reactions
423 Replies
20K Views
Wewe una maoni gani?
1 Reactions
3 Replies
141 Views
  • Featured
Rais Samia, amesikitika kutangaza kifo cha William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) pamoja na Mbunge wa Jimbo la...
23 Reactions
298 Replies
12K Views
Uchaguzi umepita tayari , je kama uchaguzi umepita na Maisha yanaendelea , Kuna sababu zipi za msingi ambazo zinaifanya serikali kutoifuta Kesi ya Lissu ?.
4 Reactions
31 Replies
293 Views
Mambo yanaenda kasi sana. Waswahili wanasema mdomo ulikiponza kichwa. Madsi ya mwanasiasa asiyejulikana na wengi kutoka Zanxibar sitwaye Simai Mohammed, umeleta mtafaruku wa kisiasa ndani ya CCM...
4 Reactions
15 Replies
468 Views
Mbunge kutoka Tunguu, Zanzibar, Simai Mohamed Said anasema ndani ya Serikali kuna kiongozi ambaye ni Yuda kwani amewasaliti wenzake, anasema kiongozi huyo aliwahi kutajwa kama kiongozi mzigo na...
14 Reactions
141 Replies
3K Views
Kufutia madai yaliyotolewa na mbunge anayetokana na Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar Simai Mohamed Said akidai ya kwamba kuna baadhi wanakwamisha juhudi za...
4 Reactions
19 Replies
542 Views
Huko ndani kuko kimyaaa, licha ya kwamba kuna chemka. Rais hajaandika chichote kwenye kurasa zake rasmi mtandaoni. Website ya Ikulu haijatangaza kuhusu kupokea kwa barua ya kujiuzulu ndugu john...
0 Reactions
10 Replies
214 Views
Walah najiapiza siku hio nitajulikana.. Kama kweli uongozi unatoka kwa Mungu inawezekanaje yule mtu ambae..Mungu aliwaidhinisha wote akawapa kibali cha kuongoza leo analazimishwa kujiondoa!! How...
2 Reactions
7 Replies
108 Views
Kutakua na matengenezo ya mashine, baada ya kukamilika wataijaribisha kwa kuitega na kutazama namna inavyopushi gurudumu linaloanzisha mzunguko (mwendo). Lakini mafundi (ndugu) hao mkubwa ndio...
1 Reactions
3 Replies
201 Views
Wananchi wasio wanaCCM na wanaCCM hawautaki utawala wake kabisa. Kila analofanya linaonekana baya machoni pa wananchi. Anaonekana machoni pa wananchi kama rais anayekumbatia mafisadi na...
5 Reactions
17 Replies
256 Views
Viongozi wetu kuweni wavumilivu muombeni sana Mungu, mjue kuwa mnavyojihudhuru mnalitia hasara Taifa na sisi Watanzania. Kuweni wavumilivu mwishoni mtavikwa taji la USHINDI Taifa linaanza kuwapa...
4 Reactions
33 Replies
208 Views
Nina heshima kubwa sana na viongozi wa kikatolic waliomlea Nchimbi na Mpango. Hawa jamaa wapewe heshima kubwa, Ni catholic church pekee ambalo limesimama na Watanzania Ni hawahawa Catholic...
3 Reactions
1 Replies
81 Views
Wakuu, salaam. Nimeisoma barua inayosemekana kuwa ya mwenyewe. Nukuu: "Pia nilimhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji makamu mwingine wa Rais, nitaachia nafasi hii. NIMEJIRIDHISHA...
1 Reactions
5 Replies
209 Views
Kutokana na kauli za nyuma nidhahiri Paul Christian Makonda akiwa Makamo wa Rais wa JMT. Hii aina ubishi na aina comeback! Ikishindikana Razaro Nyarandu anaweza akaukwa. Over.
1 Reactions
5 Replies
87 Views
Huwenda ikawa tunae mdhania kutoka ndie kumbe ndio anaingia ! Hatuwezi jua maji yamezidi unga kiasi gani!
5 Reactions
45 Replies
1K Views
Daaah sasa huyu atanishauri nini mimi na masters yangu mjini tukiitisha mdahalo utoki .
17 Reactions
140 Replies
3K Views
Kuna viongozi wanaotoka upande wa Tanzania bara katika serikali hii ya awamu ya sita chini ya Raisi Samia ambao wananchi wa Tanzania bara wanawaona kuwa wasaliti wakubwa wa Tanzania bara, au kama...
0 Reactions
2 Replies
80 Views
Back
Top Bottom