Kwaza swali kubwa la msingi Lissu anashitakiwa kwa uhaini au kuchochea uchaguzi usifanyike?
Kwamba alichochea vipi? Kwa watu kutazama video you tube na kuwafanya wakazuia uchaguzi kufanyika...
Zikiwa zimepita siku 100 tangu kuapishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuiongoza Tanzania katika muhula wake wa pili, tathmini zimekuwa nyingi na zenye sura tofauti. Wapo wanaotazama kisiasa...
Kila mara tunaambiwa kuwa umaskini wetu unasabanishwa na kutawaliwa na wakoloni na kuendelea kugandamizwa na mabeberu.
Sasa kama ni hivyo mbona viongozi wetu wao siyo maskini, au wao...
Tunawashukuru CCM na wahuni wote kwa kutufikisha hapa. Naona dalili za uasi. Kuna watu wanasema wanahusika na vifo vya wanaCCM. Kabla ya mambo hayajaendelea kuharibika wauaji wa Watanzania tarehe...
Bila kuathiri mwenendo WA Kesi na bila Kujua , Mwendesha Mashtaka na shahidi wamekuja na mkakati wa kusema kwamba Shahidi-Polisi hajui kiingereza hivyo PGO alishindwa kuifuata inavyo taka.
Sasa...
Wakuu,
Haya ndugu zangu huyu shahidi yeye anasema CHADEMA ni IMANI kwa hiyo hana kitambulisho wala kielelezo chochote kuwa yeye ni mwanachama
Hivi wameshindwa hata kutengeneza kitambulisho...
Utangulizi
Mheshimiwa IGP Camilius Wambura,
Huwa nafuatilia utendaji kazi wa Jeshi la Polisi siku hadi siku. Matamko yako yote huwa nayasikiliza na kuyachambua pia.
Barua nyingi zinazoandikwa...
Uwe unazikubali au hauzikubali harakati zake za siasa bila shaka jambo moja ambalo wote tunakubaliana nalo kwa wanaompenda jacket kumchukuia Tundu Antipas Lissu ni ujasiri wake ulioptiliza...
Kutoka X by MD
1. Mashahidi wote waliperuzi simu zao Tarehe 04 April
2. Mashahidi wote walishawishika siku hiyo hiyo.
3. Mashahidi wote walikamatwa ila hawakufunguliwa kesi
4. Mashahidi wote...
Unajua nchi hii kwa hili: CC-Wasira vs Chadema-Heche! Je nchi inaenda wapi??
Kama wewe ni kijana ambao ni 80% wanamsikiliza mzee wasira ambaye alikuwa mkuu wa mkoa 1978 kwa uchawa wake au Heche...
Naangalia mahakama inavyofanya kazi zake, maamuzi zake, upindishaji wa sheria, uvunjaji wa katika wa wazi kabisa
Naangalia jeshi linalopaswa kuilinda katiba kufa kupona. Naangalia lilivyolinda...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia Amefanyika Baraka na Neema katika Maisha ya watanzania. Amekuwa nuru na Mwanga katika Maisha ya Watu. Sijapata kuona Watanzania wakijenga Nyumba na...
Kama wamepewa maagizo, itabidi waandike wakubwa wanavyotaka ambayo itakuwa ni " maafa" kwa professionalism yao.
Wafanyeje waepuke kadhia hii?
Maana hakuna ushahidi, pale ni ujinga wa watu kula...
Wakuu,
Huyu shahidi anasema mara tu baada ya kuangalia video ya Jambo TV kuhusu kauli ya Lisu kuwa atakinukisha, alifuatwa na Polisi na kukamatwa na kisha akapelekwa kwa RCO ambapo alipewa kosa...
Wapinzania wa kweli wameanza kwenye Chadema ACT wazalendo kitabaki Zanzibar tu!
Uchungu wa madaraka ya haraka badala ya kupigania mifumo unaweza kudhani inasaidia chama kumbe ni bora uagalie...
Nchi kama Zambia, Malawi , Kenya, Botswana zimeona mbali sisi tumebaki na wizi wa kura na uchawa. Tupiganie nchi yetu
Huyu ni Wakili wa Rais Duma Boko amewasili katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka...
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile (Mb), amesema ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya inayoendelea mkoani Kigoma, akibainisha kuwa uwekezaji huo una lengo...
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.