BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (BAHAKITA), limesema hoja ya watu wa Mtwara kutaka gesi iwanufaishe wao kwanza ni upuuzi, kwa kuwa hoja hiyo itajenga ukanda katika Tanzania isiyoamini...
UTANGAZAJI WA UTALII KUPITIA MATAMASHA, MWENGE WA UHURU , NA FAIDA ZA MOJA KWA MOJA INAVYOWEZA KUWA FURSA YA KUKUZA UTALII NCHINI
Rais wa JMT Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Waziri wa UTALII...
Utamaduni huo wa mara kwa mara wa CCM, hukipa chama hicho nguvu, ari na pumzi mpya ya kupanga na kutekeleza mambo yake kwa usahihi na kasi ambayo hupelekea, mathalani ushindi wa kishindo katika...
Taarifa za Wafanyabiashara walioshiriki kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara ya 77 zinasikitisha
Hasara waliyoipata haisemeki kirahisi, hata hivyo wafanyabiashara wa ndani wamepewa onyo Kali...
"Leo tunaona watu wanaandamana wanasema Heche apishe uchunguzi.. Heche ni nani kwenye CHAMA, Heche ndiyo anayepokea michango kwenye Chama? Ofisi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama inazuia vipi...
Rais Samia ameyasema hayo wakati akihutubia katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC), Julai 13, 2026
"Kwa upande mwingine...
Juzi waziri wa Muungano na Mazingira Hamad Masauni(Mzanzibari) alimkemea na, kumdogosha na kumdunisha naibu wake Reuben Kwagilwa kuwa "ziara za naibu waziri zisiwe za kufunga viwanda".
Aliamua...
YAH: UTEUZI NA UHAMISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi...
Watawala wa Tanganyika yafikirié haya yanayowapata waliopoteza ndugu zao wanaotegemewa kwa yaliyotokea 29.10.2025!
Hao vifaranga ni watoto wa Lisu, Mdude, Soka, Kibao and many many others of...
YAH: UTEUZI NA UHAMISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi...
My Take
Waliokuwa wanawatumia wenzao kupata pesa Sasa ni wakati wa kwenda kujitetea.
Kwa mujibu wa andiko linalosambaa mitandaoni, viongozi wa CHADEMA, wanaharakati na wahamasishaji katika...
Wanabodi
Tumepiga kelele sana humu kuhusu adhabu ya kifo kwa kunyongwa mpaka kufa kuwa barbaric!.
Hatimaye leo Tanzania tumeamriwa kuifuta adhabu hiyo ya kifo kwa mtu kunyongwa mpaka kufa!. Ni...
Wakifanikiwa wanakanusha,Wakishindwa wanadai ulikuwa na kosa watalitafuta mda wanaojisikia.
Kwa dunia hii mshaingia kwenye rekodi mbaya na uchafu wenu.
Mnavutiwa mda ili mkishawekwa kitimoto...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema waandishi wa habari wamezuiwa kuingia katika ukumbi wa Mahakama Kuu kuripoti mwenendo wa kesi inayohusu vikwazo vya kumwona Mwenyekiti wa chama...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, amesema utamaduni wa 'uchawa' na kuteteana bila kuzingatia ukweli ni miongoni mwa mambo...
SI mara nyingi viongozi walioshika nyadhifa za juu katika Tanzania huamua kuandika vitabu vinavyoelezea maisha yao binafsi na ya utumishi wa umma wakati wanapostaafu.
Kwa sababu ya kasoro hiyo...
Akizungumza katika mahojiano na shirika la habari la DW yaliyochapishwa leo Julai 22, 2026, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kwa sasa Tanzania kuna mporomoko...
Wanabodi,
Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa...
Nimefatilia cross-examination ya Lissu kwa bwana jela nimekuja na hitimisho kuwa ndio maana yale machawa ya humu jf yakianzisha uzi au kukoment utagundua kuwa kwenye vichwa vyao ni low bettery...
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imependekeza kwa Serikali kupitia upya sheria inayotoa adhabu ya kunyongwa kwa kutenga muda maalumu wa kutekelezwa na ukipita, adhabu hiyo igeuke moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.