Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siandiki chochote, zaidi hangaika mwenyewe na. Picha UJUMBE: HATUTAKI MARIDHIANO NA SHETANI
30 Reactions
92 Replies
1K Views
Friends and Our Enemies, Ukistaajabu ya Nchimbi utayaona ya Chama Cha Maandamano, Kuna taarifa zinazagaa zagaa zikielezea kuwa John Heche na Genge lake linahaha kuwatafuta CCM ili wawashawishi...
2 Reactions
52 Replies
608 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kila Mtanzania anapaswa kutimiza wajibu wake bila kuogopana, akisisitiza kuwa Tanzania ni kinara katika kuheshimu haki...
2 Reactions
6 Replies
88 Views
CCM wameitisha NEC ya dharura keshokutwa (Jumatano), Dodoma. Huenda kukawa mambo mapya yataibuka?
21 Reactions
60 Replies
2K Views
Wale wawili, kwa sababu walikuwa jikoni, wakijua uharamia ambao ulikuwa ukipangwa dhidi ya wananzengo, mapema kabisa waliamua kujiweka mbali. Makamu aliamua kuachia ngazi. Kiranja wa mawaziri...
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Za Ndani kabisa Freeman Mbowe na Lazaro.NYALANDU... ni miongoni mwa majina yanayotajwa kwenye kurithi nafasi iliyoachwa wazi..... TEETH wanamtaka mtu wao mwana mpotevu ( FAM) wakati CCM mtandao...
7 Reactions
21 Replies
443 Views
Maana wazalendo tusiokuwa na uwezo wowote wa kulazimisha mabadiriko tukipaza sauti tunalazimishwa kujiuzulu, au kupotezwa. Sasa nauliza huko kwenye majeshi yetu hatuna wazalendo ambao hawawezwi...
15 Reactions
58 Replies
980 Views
Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Lile jiwe limetupiga pakubwa urithi wake utadumu milele Angepewa uenyekiti wa simba na yanga ingependeza zaidi mzogoo upungue tumechoka kelele wallahi
2 Reactions
14 Replies
274 Views
Utakuwa mzalendo kama 1. Hupendi watu wanaotaka katiba mpya 2. rushwa imejaa serikalini 3. Utekaji unajulikana waziwazi 4. Unateka watu wanaopiga uvunjaji wa sheria 5. Unaiba kura Sasa huyu ni...
3 Reactions
7 Replies
157 Views
Wakati akizungumza katika hafla ya Baraza la Maulid Kitaifa 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inaheshimu uhuru wa wananchi kushiriki katika masuala ya kisiasa kwa njia za amani na...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Ndugu Wajumbe, kuna maswali mengi huku mtaani kuhusu ukimya uliotanda juu ya wapi alipo Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi? Hivi majuzi kulikuwa na Kikao kikubwa cha Kamati Kuu kilichoketi...
4 Reactions
15 Replies
719 Views
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakati akishiriki katika hafla ya Baraza la Maulid Kitaifa 2026 amesema kila Mtanzania ana wajibu wa kulinda nchi na kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kuwepo...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Yaani Wafrika kwa kujali matumbo yao na maslahi yao ni noma. Mtu anashikiwa chuma kisa tu maslahi yao yabaki kuwa salama. Afrika sio mahala salama pa kuishi.
3 Reactions
7 Replies
224 Views
Watanzania tuache tabia ya kusoma vichwa vya habari tu tuwe tunasoma kilichomo ndani huu uvivu wa kutokusoma in detail ndo kunasababisha uwepo wa upotoshaji mkubwa kama huu unaoendelea mitandaoni...
6 Reactions
156 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo...
11 Reactions
114 Replies
9K Views
Hili haliwezi kupita hivi hivi,kuna mjadala wa mrithi unakuja, huko kwenye chama wanasema katibu nae ana unga tela, mrithi anaweza kutoka pasipo tarajiwa, sasa ili kuzima yule mjamaa akasema hana...
4 Reactions
6 Replies
224 Views
Barua FEKI, haina hata sifa za kuitwa ni barua ya Makamu wa rais Nimedokezwa mbinu yao ni ile ile waliyotumia kwa Ndugai. Wamewatumia akina Ayo, Kitenge, na wote wanaosambaza habari kwa malipo...
3 Reactions
17 Replies
584 Views
Nadhani kuisambaza barua ambayo Haina baraka za serikali au ushahidi wa matamshi wa mhusika (aliyejuhudhuru) ni kosa kisheria. Mambo serikalini hayaendi kwa kukurupuka juzi tu hapa tulisikia...
3 Reactions
15 Replies
246 Views
Wakuu, huyu ni professor wa nini na yupo wapi sasa? Nimesikia sehemu Rais anamtafuta mtu weak mno ampe Nafasi ya Nchimbi. Mtu asiyemsumbua na kuilenga 2030 na amepanga kwenda na mtu huyu. Nchi...
2 Reactions
11 Replies
320 Views
Back
Top Bottom