Kati ya watumishi wa umma/serikali ambao hawapaswi kuendelea kukalia nyadhifa zao ni Msajili wa Hati Dar es Salaam Mama Subira Sinda. Mama huyu amekuwa akishirikiana na wahuni na wadhulumaji kwa...
Najaribu kufikiri kuwa kuna namna Viongozi wa Kisiasa ni lazima nao wawe na taaluma ya Uongozi (Governance) kama wanavyo toa matamko kwa waandishi wa Habari
Kifo cha Banjoo
This job can be done in less than 24 hrs. Easy , easy , easy , easy. Lakini haipaswi kufanywa na nyie Polisi kwa sababu you are suspects....,
Taarifa zinaonyesha kwamba Mashahidi wa serikali kwenye kesi inayoitwa ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake wako 24 , kati yao 21 ni maofisa wa Polisi wa Tanzania , akiwemo Kingai na Omari...
Maanadamano ya tarehe 29 yalikua na mwitikio mkubwa sababu ya urahis wake wa kukutana location zilikua familia na hazina barrier yoyote huitaji pesa wala gharama yoyote maandamano ya disember...
20 February 2026
https://m.youtube.com/watch?v=LIsKjhnAdxM
Mwakilishi wa Jimbo la Pandani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani kwenye Baraza la Wawakilishi, Profesa Omar Fakih Hamad, anazungumzia...
nchi imefikia hatua inaongizzwa na mama na mwana. kibaya zaidi hawajui nani atashika nchi miaka ijayo na kuwafilisi mali zao. Arrogance.
Kuna watu hawafikirii kesho yao. Ikiwa malipo ni hapahapa...
Evance Kamenge, Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema “CCM ikitoka kwenye misingi ya kuanzishwa kwake itatoka Madarakani, naoingana na aliyesema CCM itakaa madarakani Milele huo ni uongo”
Haya ndugu zangu
Lissu anaendelea kupitisha dozi huko. Hii statement alivyoitoa mahakamani kila mtu alicheka
Soma Pia:
Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na...
Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii?
Rais wa Zanzibari chukua hatua
Jinsi ilivyokuwa mpaka mwananchi kuzimia mbele ya mbunge baada ya kubomolewa nyumba yake katika manispaa ya Temeke Mbagala -Toangoma
Mwananchi anaelezea alivyompigania mwenyekiti wake wa CCM...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha taarifa rasmi kwa Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU), kikieleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa na...
AGNES MARWA AWAKUMBUKA WAFUNGWA GEREZA LA MUSOMA MJINI
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, ametembelea Gereza la Musoma Mjini na kutoa misaada mbalimbali kwa wafungwa wa dini ya...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita mjini The Hague ICC imetakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya watu wengi wakati wa msako mkali wa maandamano wakati wa uchaguzi nchini Tanzania mwezi...
Jana P3 akihojiwa alisema, Coplo Aman baada ya Kukamata, alimpeleka Kituo cha Polisi na kumweka Mahabusu.
Leo, Coplo Aman anasema 'Alimkamata P3 na hakumweka Mahabusu.
Hizi ndo akili za akina...
Wakuu,
Uzuri wa Lissu huwa hakwwepeshi. Yaani hanaga chujio anawachana hapo hapo
Huyu shahidi kaharibu hadi Lissu kaonesha kabisa hapendezwi na kinachoendelea
==========
Mhe. Lissu: umesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.