Kupitia ukurasa wa Instagram na (X) zamani Twitter anaandika John Heche ambaye ni makamu Mwenyekiti CHADEMA
"Nimetoka Gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti…
Nimefanya kila jitihada kuweza kumuona...
Dar es Salaam. Makada watatu akiwamo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Bara, Othman Omar Dunga, wamepitishwa kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa...
Wakati Mahakama ya Kimataifa Uhalifu wa Kibinadamu (ICC) ikitarajiwa kuchagua majaji wapya ifikapo Desemba mwaka huu, Jaji Deo John Nangela amejitokeza kugombea nafasi hiyo.
Kuonyesha kuwa Jaji...
Usipokuwa na uwezo wa kufanya reasoning na kushndwa kuelewa historia, unaweza usielewe kuwa watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ujasiri na uthubutu walio nao ni kazi ya Nature ( Mungu) ili...
Mahakama ya ICC yafanya maandalizi ya uchunguzi kuhusu yaliotokea October 29,2025
By the way, hii ni ya sasa au ile ya zamani?
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, (ICC), kupitia Baraza la wanasheria...
Usingelifanya harakati zako ( nzuri, I can say by now) ukiwa hapa!
Walijua una siri zao nyingi, lazima wakumaliza as they have done!
Nakuombea huko ulipo tukuone tena.
AMINA
Hakuonekana akijichanganya na wenzake, inasemekana wengi walikuwa wanakwepa hata kupiga naye picha.
Mwenye picha zaidi ya hizo atuwekee hapa, nitamshukuru.
ARUSHA: SERIKALI imepiga marufuku matumizi ya mitandao binafsi zikiwemo baruapepe, WhatsApp, Instagram, You Tube, Facebook kutuma nyaraka na taarifa za serikali.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
Wanasheria Tito Magoti na Bob Chacha Wangwe kupitia Kesi Na. 59 ya mwaka 2025 wameishtaki Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika...
Nyerere alitoa UNABII huu Kwa usahihi kabisa namnukuu. Chama kisichosikiliza maoni ya wananchi kitalia machozi kisipate mtu wa kuyafuta. UNABII umetimia. Haya yanayoendelea ni matokeo ya ccm...
Leo Februari 21, 2026 Makamamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameandika katika ukurasa wake wa X kuwa amezuiwa kumwona Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu alipokwenda kumtembelea katika...
Vijana hawana Kazi licha ya kua wana Elimu.
Vijana wameshuhudia wenzao Walotekwa, kuuliwa .
Vijana wanashuhudia Viongozi, WATOTO wao na familia zao kwa ujumla wakiendesha magari ya mabilion...
Inaelezwa kwamba amechukuliwa na watu wanaoitwa Wasiojulikana na kupotezwa.
Ikiwa bahati ya mtende basi tutaokota maiti Yale kama tulivyookota ya Bajoo, Au kama ilivyo kawaida itakuwa kwaheri ya...
Idara ya usalalama wa taifa makini ni ile ambayo inamuambia rais aliyepo madarakani ukweli.
Kama raia wanamchukia kwa ufisadi na mambo yasiyofaa anaambiwa ukweli.
Sio kumdanganya kuzunguka na...
Kwenye Msiba wa Jenista Mhagama mliruhusu viongozi wa serikali kuhutubia Madhabauni, Haikuwa sahihi hata kidogo.
Viongozi wengi wa serikali wamejaa Dhambi za wazi kabisa ikiwemo Utekaji n.a...
Hamjambo Watanzania wote!
1. Nilipendekeza mbinu kadhaa za kudhibiti maandamano huku mbinu kuu niliyoitoa ni kupiga Lockdown ( Curfew). Hii mbinu ni kabambe na ikipigwe ni ngumu kufanya...
Wakuu,
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Brenda Rupia ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Februari 21, 2026.
Wakuu,
Akiwa anazungumza leo na wanahabari Mkurugenzi wa Mawasiliano CHADEMA Brenda Rupia amesema kuwa CHADEMA hawaitambui tume ya kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 kwani imejaa CCM na hata...
Hii Ofisi ikifutwa ni nini kitakosekana kwenye siasa za Tanzania?
Naona kuwa na ofisi hii pamoja na waajiriwa wake ni ufujaji wa pesa za maskini walipa kodi wa nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.