DOKEZO Mwenyekiti wa CCM(W) Rorya Ongujo Wakibara na DC Chipola Wameandaa Genge kuwazomea Viongozi wa CCM

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Obwere Kabwana

New Member
Sep 20, 2023
3
5
Mwenyekiti wa CCM (W) Rorya, Ongujo Wakibara na DC wa Rorya, Juma Chikoka jana usiku wamefanya Kikao na Viongozi wa Tarafa ya Suba nyumbani kwa Mwenyekiti wa CCM (W) Ongujo, Wakibara Shirati

Lengo la kikao ni kuwapanga Wajumbe wa Halmashauri Kuu kutoka Tarafa ya Suba kuwazomea Viongozi Wastafu wa CCM Rorya na Mkoa ambao wengi wanatoka kabila la Luo

Leo Tarehe 14 April
Mida ya saa nane Mchana Kikao Kingine kinaendelea Katika Hoteli ya Owan Shirati ajenda ikiwa ni kupendekeza Majina ya madiwani na Wajumbe wa Halmashauri kuu ambao wataongea kesho kuwashambulia Wastafu na Viongozi wa Chama (W) ya Rorya wanaotoka kabila la Luo

Ongujo amewahakikishia kuwa hatakubali Viongozi wanaotokana na kabila la Luo kuzungumza katika kikao cha ndani cha Halmashauri kuu ya CCM (W)

Azimio lingine ni kutafutwa walevi ambao siyo wajumbe kesho waingie kwa Lengo la kuzomea na kikao kimeridhia waingie Walevi 50 na kila mmoja alipwe Tzs 30,000/= Pamoja na Pombe za Shimua catton 4 na Bear Cret Saba

Hadi Sasa Wajumbe kutoka Tarafa ya Suba tayari wamewasili viunga vya Shirati kila Mmoja amepewa Posho ya TZs 140,000/= Pamoja na Malazi Hotel ya Owan ,Jumla wapo Wajumbe wa Halmashauri Kuu 45@140,000=6,300,00 0.00

Pesa za operesheni zitatolewa leo Usiku Nyumbani kwa Ongujo Shirati, Mkuu wa Wilaya Juma Chikoka ameridhia Kushiriki kikao cha Usiku Nyumbani kwa Ongujo

Nitaendelea Kuwajuza Yanayojiri….!
 
Mwenyekiti wa CCM (W) Rorya, Ongujo Wakibara na DC wa Rorya, Juma Chikoka jana usiku wamefanya Kikao na Viongozi wa Tarafa ya Suba nyumbani kwa Mwenyekiti wa CCM (W) Ongujo, Wakibara Shirati

Lengo la kikao ni kuwapanga Wajumbe wa Halmashauri Kuu kutoka Tarafa ya Suba kuwazomea Viongozi Wastafu wa CCM Rorya na Mkoa ambao wengi wanatoka kabila la Luo

Leo Tarehe 14 April
Mida ya saa nane Mchana Kikao Kingine kinaendelea Katika Hoteli ya Owan Shirati ajenda ikiwa ni kupendekeza Majina ya madiwani na Wajumbe wa Halmashauri kuu ambao wataongea kesho kuwashambulia Wastafu na Viongozi wa Chama (W) ya Rorya wanaotoka kabila la Luo

Ongujo amewahakikishia kuwa hatakubali Viongozi wanaotokana na kabila la Luo kuzungumza katika kikao cha ndani cha Halmashauri kuu ya CCM (W)

Azimio lingine ni kutafutwa walevi ambao siyo wajumbe kesho waingie kwa Lengo la kuzomea na kikao kimeridhia waingie Walevi 50 na kila mmoja alipwe Tzs 30,000/= Pamoja na Pombe za Shimua catton 4 na Bear Cret Saba

Hadi Sasa Wajumbe kutoka Tarafa ya Suba tayari wamewasili viunga vya Shirati kila Mmoja amepewa Posho ya TZs 140,000/= Pamoja na Malazi Hotel ya Owan ,Jumla wapo Wajumbe wa Halmashauri Kuu 45@140,000=6,300,00 0.00

Pesa za operesheni zitatolewa leo Usiku Nyumbani kwa Ongujo Shirati, Mkuu wa Wilaya Juma Chikoka ameridhia Kushiriki kikao cha Usiku Nyumbani kwa Ongujo

Nitaendelea Kuwajuza Yanayojiri….!
Haya yote yanaandaliwa Kwa faida gani na Kwa maslahi gani?

Hivi hapo Rorya Wenje si ndio anatakiwa awe mbunge? bado kuna CCM?

La kairo yupo?
 
Upepo umekata, mmenusa harufu zote kuwa watu wamewachoka hivyo wanaweza kufanya chochote, mnahamua kuja hapa kuleta ramli zenu. Mtavuna mlichopanda. Na bado, mbona huu ndio mwanzo?
 
Upepo umekata, mmenusa harufu zote kuwa watu wamewachoka hivyo wanaweza kufanya chochote, mnahamua kuja hapa kuleta ramli zenu. Mtavuna mlichopanda. Na bado, mbona huu ndio mwanzo?
Hawa wakurya na wajaluo ni watu wa magendo mipakani, na CCM ndio cover yao.

Kwahiyo utashangaa hizo pesa zote zinatoka wapi ni wapiga nadeal hao.
 
Ila akili zenu mnazijua....
Kabisa umesimamisha masikio kutuandikia huu upuuzi. Akili ya kijijini Bora hata kuku pengine anaweza kukumbuka kitu. Wewe wakizomewa hao viongozi taifa linapata hasara gani au Wilaya ya Rorya inafaidikaje? Nilidhani unatuambia DC na Mwenyekiti Wana mikakati ya kuweka miundombinu ya maji ya mabomba toka ziwa Victoria kumbe ujinga tu.
Lalamikieni kuhusu maji na miundombinu ya shule zenu pamoja na kuomgezewa watalaamu wa afya. Siyo Mambo haya ya kipuuzi. Haya wewe kwenye hiyo posho umechukua Bei gani?
 
Ila nyie wajaluo wa kuanzia Mika, Utegi, Shirati kuzungukia Sakawa, Songambele, Maomao, Mauwe hadi Kogaja mnamambo ya ki$enge sana linapo kuja swala la siasa na magendo hua mnafikia hata kuuana mchana kweupee....🤨
 
Ila nyie wajaluo wa kuanzia Mika, Utegi, Shirati kuzungukia Sakawa, Songambele, Maomao, Mauwe hadi Kogaja mnamambo ya ki$enge sana linapo kuja swala la siasa na magendo hua mnafikia hata kuuana mchana kweupee....🤨
Hebu watukane tena🤣
 
Back
Top Bottom