Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,182
- 219,328
Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba Maandamano ya Amani yanayoratibiwa na Chadema kwa ajili ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi , yameingia Mkoani Mwanza , leo ni zamu ya Sengerema .
Kama kawaida , Mwamba Kabisa Freeman Mbowe , au Cyborg , mtu chuma asiyechoka kutetea wabongo ataongoza Maandamano hayo
Usiondoke JF
=========
Mambo yameanza kuwa Bambam , Sengerema kimewaka
Hatari sana !
Kama kawaida , Mwamba Kabisa Freeman Mbowe , au Cyborg , mtu chuma asiyechoka kutetea wabongo ataongoza Maandamano hayo
Usiondoke JF
=========
Mambo yameanza kuwa Bambam , Sengerema kimewaka
Hatari sana !