Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

wanajf,mi ni mtumishi takrbni 3yrs,toka nimeajiriwa cjakabidhiwa ofic,kwni aliypo hana cfa,aliazimwa kw mda 2 htaki toka
0 Reactions
6 Replies
2K Views
POLISI mkoani Kigoma inawashikilia watu watatu wakiwemo wafanyakazi wawili wa basi la Osaka linalofanya safari kati ya Kigoma na Dar es Salaam, wakituhumiwa kufanya biashara haramu ya kusafirisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jana nilishuhudia mfanyabiashara Alex Msama akiipongeza serikali kuhusu kusudio la tetea haki za wasanii hapa nchini, mimi naona huu ni unafiki kwa sababu yeye pia ni sumu katika tasnia ya habari...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Kuna watu wachache wanaofanya kampeni za kuhamasisha wananchi wasijitokeze kwenye sensa ya watu na makazi. kwangu mimi naona hiki ni kichekesho kingine, maana haiwezekeni ugomee sensa wakati...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Mtuhumiwa wa wizi wa umeme Jeilan Mohamed, akiongozwa na jeshi la polisi kupanda gari baada ya kutuhumiwakuliibia umeme shirika hilo kwa njia ya kuunganisha kabla haujafika kwenye mita (kubaipass)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam, imewahukumu washitakiwa waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya kujipatia fedha isivyo halali kutoka kwenye Akaunti ya Malipo ya...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Nasikitika kusema kipindi cha leo cha take one kilichorushwa na clouds TV ni kipindi cha uzalilishaji kwani wamekiuka miiko kwa kumuonyesha live binti aliyekuwa anafanyishwa mapenzi bila idhini...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Most people are misusing power of attorney, it must be noted that power of attorney cannot be issued to any one to stand for somebody. they must be enough reason to be given power of attorney main...
0 Reactions
1 Replies
685 Views
Hivi ni nani ambaye anawafanyia watoto 'sexual assault' au ubakaji wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani? Kwani TAMWA kutoa 'rape alert' kwa watoto inaonesha kuwa vitendo hivi ufanyika mara nyingi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania hivi sheria za Tanzania zinasemaje kama ikitokea umekamatwa kwa kosa la kughushi cheti? Naomba mnisaidie wanasheria.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
James Magai KESI ya msanii wa fani ya filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu Lulu, imeahirishwa hadi Agosti 20 mwaka huu, kutokana na Jaji anayeisikiliza, DK Fauz Twaib, kuwa na majukumu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika siku za hivi karibuni kulitolewa taarifa kwenye jamii forum ya kwamba jima anololitumia katibu wa fedha na mipamgo ccm, siyo la kwake bali alilipoka kutoka kwa mwenye jina hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Thursday, July 19, 2012MASIKINI MWAKALEBELA, MAHAKAMA KUU YAITOSA RUFAA YA KESI YAKE YA RUSHWA, KAMA HAWATAKATA RUFANI MAHAKAMA YA RUFANI, SHAURI LAKE KUANZA KUSIKILIZWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF Leo nzima nimekuwa na simanzi baada ya kupoteza biashara kisa nimechelewa appointment na wadau wangu .Nilikuwa na wafanya biashara walio kuja hapa nchini kuhusiana na mambo ya kilimo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba kujua kisheria zaidi, je yule mwanafunzi aliyeandika mistari ya Bongo fleva kwenye mtihani wake wa kidato cha nne, je anaweza kushtakiwa? Kama ndiyo kwa sheria kosa lipi na kwa sheria ipi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani naomba kusaidiwa uelewa juu ya utofauti uliopo kati ya Bachelor of laws na Bachelor in laws kwa yeyote ajuaye.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
wana jf naomba mnifahamishe na kunipa details za school of law je ni lazima kwenda huko?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habr wakuu? Samahan kuna vitu ambavyo vinaniumiza kichwa ikiwemo hil. Je police kwa jina la haraka haraka wamezoeleka kama tigo. Hawa jamaa wanahusika na ukamataji wa piki piki/ bodaboda...
0 Reactions
2 Replies
900 Views
Opulukwa, Meshack Jeremiah [CHADEMA] Meatu Constituency Session No Question No To the Ministry of Sector Date Asked 7 25 JUSTICE AND CONSTITUTIONAL AFFAIRS Justice/Constitution 11 April...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom