Mwigulu Nchemba lazima arikishwe mahakamani

Byendangwero

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
871
56
Katika siku za hivi karibuni kulitolewa taarifa kwenye jamii forum ya kwamba jima anololitumia katibu wa fedha na mipamgo ccm, siyo la kwake bali alilipoka kutoka kwa mwenye jina hilo kinyemela.Kama hivyo ndivyo kuna kila sababu ya kukumfikisha katibu huyo mahakamani kwa kosa la jinai la "impersonification".
 
Back
Top Bottom