Naomba kujua kisheria zaidi, je yule mwanafunzi aliyeandika mistari ya Bongo fleva kwenye mtihani wake wa kidato cha nne, je anaweza kushtakiwa? Kama ndiyo kwa sheria kosa lipi na kwa sheria ipi?
MTIZAMO WANGU: hawezi kushtakiwa kwa kuwa hakumkashifu mtu wala taasisi yoyote. Naomba kuwakilisha.
MTIZAMO WANGU: hawezi kushtakiwa kwa kuwa hakumkashifu mtu wala taasisi yoyote. Naomba kuwakilisha.