[h=3][/h]
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI
[h=3][/h]POLISI mkoani Kigoma inawashikilia watu watatu wakiwemo wafanyakazi wawili wa basi la Osaka linalofanya safari kati ya Kigoma na Dar es Salaam, wakituhumiwa kufanya biashara haramu ya kusafirisha watu hai.
Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Fraiser Kashai aliwaambia waandishi wa habari mjini hapa kwamba juzi saa 10 jioni askari wa upelelezi wakiwa katika doria, waliona basi la abiria katika kijiji cha Heru Juu wilayani Kasulu likikusanya watu kwa ajili ya kuwasafirisha.
Alisema katika kufuatilia hayo askari hao wa upelelezi waligundua basi hilo lilifika kijijini hapo kwa ajili ya kuwachukua abiria 44 ambao walikuwa katika mpango wa kuwasafirisha kuwapeleka Msumbiji kwa ajili ya kwenda kufanya kazi za kukata mbao.
Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Fraiser Kashai aliwaambia waandishi wa habari mjini hapa kwamba juzi saa 10 jioni askari wa upelelezi wakiwa katika doria, waliona basi la abiria katika kijiji cha Heru Juu wilayani Kasulu likikusanya watu kwa ajili ya kuwasafirisha.
Alisema katika kufuatilia hayo askari hao wa upelelezi waligundua basi hilo lilifika kijijini hapo kwa ajili ya kuwachukua abiria 44 ambao walikuwa katika mpango wa kuwasafirisha kuwapeleka Msumbiji kwa ajili ya kwenda kufanya kazi za kukata mbao.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI