Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Jamani naomba kuuliza hvi ile sheria mpya iliyopitishwa ndo itaendelea kweli au Bunge limefikia wapi maana binafisi naona kimya tu au ndo watu wameridhika?
Affidavit..Hati ya kiapo
nipo mahakamani kuhakikisha napata hati yang ya kiapo kuonyesha nimezaliwa mwezii wa 7 mwaka 1957!!
nikitoka hapa nikachukue chet changu RITA.
Tusiulizane how i look like...
Ndugu zangu inawezekana unashukuru mungu kwa kuwa amekupa uhai
uhai uliopo ni kwamba hii sehria inayoendelea kupigwa kelele na hawa wahuni
waitwao wabunge kuipitisha na leo hii nimesikia ati...
Habari zenu ndugu zangu wanajf,
Ni matumaini yangu waraka huu utawakuta mkiwa wazima wa afya ninyi na familia zenu.
Nianze na mkasa ulionikuta.
Jana majira ya saa tatu nilipita kituo cha...
Naomba wakuu mjaribu kunijuza nami angalau nipate maana halisi ya utawala wa sheria,serikali imekuwa kila siku ikijinasibu serikali sikivu yenye kufuata utawala bora lakini ndani ya serikali hiyo...
hallow, i beg for assistance in this according to the laws of Tanzania (refer the law), what is the position of Tanzanian laws where a respondent in civil case admits the case ex. the lower court...
Serikali ya tanzania kupitia idara ya uhamiaji inalalamikiwa na madaktari kuwanyima pass port (hati ya kusafiria nje ya nchi). Idadi kubwa ya madaktari wanakimbia nchi kwenda nchi nyingine ambako...
Wana-Jf, nisaidieni. Je, naweza kupata msaada wa wakili wa serikali kunitetea katika shauri la madai katka mahakama ya rufaa ambalo lilianza kama jinai dhidi ya mrufani?
VUGUVUGU la kupinga mabadiliko ya sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii ya mwaka 2012 limechukua sura mpya baada ya wabunge kutaka kuifanyia marekebisho mengine.
Wabunge hao wameitaka serikali...
Hi sheria mpya ya kutka kuwadhulumu watanzania.mi kwa upeo wangu mdodo naona sasa serikali inataka kutafuta nauli.na nibora tufe watanzania milioni[1]lakini watakao salia waishi kwa raha na...
Kesi inayomkabili raia wa Kenya, Joshua Mulundi (21) aliyekamatwa na polisi Dar es Salaam kwa tuhuma za kumteka na kufanya jaribio la kumuua Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Dr. Stephen...
Wana JF nimekaa na kutafakari kwa makini lakini sijapata jibu sahihi kuhusu mabadiliko yanayohusumifuko ya jamii, je waheshimiwa wabunge nao wanahusika na sheria hii? na kama siyo je wao si...
Wakuu, salaamu.
Ninaomba msaada wenu wa kisheria au ushauri kisheria kwa jambo hili. Nimeombwa ushauri nami si Mwanasheria, sina ushauri sahihi wa kutoa kwa mtu aliyeniomba ushauri huo.
Jambo...
Kutokana na mifuko hii kukiuka utaratibu wa mwanzo kati yake na wanachama bila kuwashirikisha wanachama wake ningeomba wajuzi wa sheria na vyama vya kutetea wafanya kazi wajitokeze kusaidia katika...
Jaman mimi nina maswali mengi kuhusu PPF yangu.Nilitoa notice ya mwezi mmoja kuacha kazi pale nilipokuwa nafanyia na ilikuwa mwezi wa tano.Toka wakati huo nimekuwa nikifuatilia malipo yangu na...
Tangu juzi hapa TRA Arusha huduma ya kuprocess Driving licence kitengo cha kupiga picha na finger print hakitoi huduma yoyote licha ya wateja kuwa kwenye msururu bila kupata huduma yoyote. Leo ni...
Hi, Tumeona kwenye Dhahabu na sasa ni zamu ya kusini kwenye gesi: Naomba msaada kama kuna mtu analink au docoments zinazoelezea sheria inayobana wawekezaji (wawe local au international) katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.