Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jamani naomba kuuliza hvi ile sheria mpya iliyopitishwa ndo itaendelea kweli au Bunge limefikia wapi maana binafisi naona kimya tu au ndo watu wameridhika?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Affidavit..Hati ya kiapo nipo mahakamani kuhakikisha napata hati yang ya kiapo kuonyesha nimezaliwa mwezii wa 7 mwaka 1957!! nikitoka hapa nikachukue chet changu RITA. Tusiulizane how i look like...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu zangu inawezekana unashukuru mungu kwa kuwa amekupa uhai uhai uliopo ni kwamba hii sehria inayoendelea kupigwa kelele na hawa wahuni waitwao wabunge kuipitisha na leo hii nimesikia ati...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu wanajf, Ni matumaini yangu waraka huu utawakuta mkiwa wazima wa afya ninyi na familia zenu. Nianze na mkasa ulionikuta. Jana majira ya saa tatu nilipita kituo cha...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanasheria ninawaomba msaada. Nimeumia kazini, ni sheria ipi inatumika? Au haki zangu ni zipi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani kuna hiyo faculty tajwa hapo juu inatolewa UDSM for 3yrs...inaweza kuwa marketable kweli au?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba wakuu mjaribu kunijuza nami angalau nipate maana halisi ya utawala wa sheria,serikali imekuwa kila siku ikijinasibu serikali sikivu yenye kufuata utawala bora lakini ndani ya serikali hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hallow, i beg for assistance in this according to the laws of Tanzania (refer the law), what is the position of Tanzanian laws where a respondent in civil case admits the case ex. the lower court...
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Serikali ya tanzania kupitia idara ya uhamiaji inalalamikiwa na madaktari kuwanyima pass port (hati ya kusafiria nje ya nchi). Idadi kubwa ya madaktari wanakimbia nchi kwenda nchi nyingine ambako...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wana-Jf, nisaidieni. Je, naweza kupata msaada wa wakili wa serikali kunitetea katika shauri la madai katka mahakama ya rufaa ambalo lilianza kama jinai dhidi ya mrufani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VUGUVUGU la kupinga mabadiliko ya sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii ya mwaka 2012 limechukua sura mpya baada ya wabunge kutaka kuifanyia marekebisho mengine. Wabunge hao wameitaka serikali...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Hi sheria mpya ya kutka kuwadhulumu watanzania.mi kwa upeo wangu mdodo naona sasa serikali inataka kutafuta nauli.na nibora tufe watanzania milioni[1]lakini watakao salia waishi kwa raha na...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Kesi inayomkabili raia wa Kenya, Joshua Mulundi (21) aliyekamatwa na polisi Dar es Salaam kwa tuhuma za kumteka na kufanya jaribio la kumuua Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Dr. Stephen...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hivi kwa fact zilizopo kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Dr. Ulimboka, akirudi anaweza fungua mashitaka kwa watesi wake maana anawajua. hilo linawezekana?
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Wana JF nimekaa na kutafakari kwa makini lakini sijapata jibu sahihi kuhusu mabadiliko yanayohusumifuko ya jamii, je waheshimiwa wabunge nao wanahusika na sheria hii? na kama siyo je wao si...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Wakuu, salaamu. Ninaomba msaada wenu wa kisheria au ushauri kisheria kwa jambo hili. Nimeombwa ushauri nami si Mwanasheria, sina ushauri sahihi wa kutoa kwa mtu aliyeniomba ushauri huo. Jambo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kutokana na mifuko hii kukiuka utaratibu wa mwanzo kati yake na wanachama bila kuwashirikisha wanachama wake ningeomba wajuzi wa sheria na vyama vya kutetea wafanya kazi wajitokeze kusaidia katika...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jaman mimi nina maswali mengi kuhusu PPF yangu.Nilitoa notice ya mwezi mmoja kuacha kazi pale nilipokuwa nafanyia na ilikuwa mwezi wa tano.Toka wakati huo nimekuwa nikifuatilia malipo yangu na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tangu juzi hapa TRA Arusha huduma ya kuprocess Driving licence kitengo cha kupiga picha na finger print hakitoi huduma yoyote licha ya wateja kuwa kwenye msururu bila kupata huduma yoyote. Leo ni...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hi, Tumeona kwenye Dhahabu na sasa ni zamu ya kusini kwenye gesi: Naomba msaada kama kuna mtu analink au docoments zinazoelezea sheria inayobana wawekezaji (wawe local au international) katika...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Back
Top Bottom