Hii ni 30 minutes or less breakfast, ila unaweza kula mda upendao au hata kuweka kwenye lunchbox ukabeba kazini.
Mahitaji( kwa ajili ya sandwich 4)
1)Slesi 4 za mkate
2)Majani ya kotmir...
Hivi kwa nini walaji wa haya matunda- matango, maembe mabichi na matango au kachumbari wanatumia sana chumvi? Kwa nini wasitumie sukari? Hivi vitu vina uhusiano gani na chumvi?
Jamani, wale...
Wana JF,
Mimi natafuta mwanamke mfanyabiashara fundi wa kupika supu ya kuku wa kienyeji na awe mtaalamu wa kupika mchemsho wa kuku uliochanganywa na karanga viazi mviringo au ndizi.
Utaalamu...
Declare Interest:
Mimi jukwaa langu ni la siasa, huku nimekuja leo na sitorudi tena.
Why MIHOGO?
1) Rahisi kupatikana
2) Kila mtanzania anaijua sio kama mara egg chop, fish finger, Streetwise...
Kuna uzi wa Bulldog kule watu wanataja tu vyakula ila kufundishana kupika hawasemi, please kama unaweza tuambie chakula chako unachojua kupika,unachokipenda au kwa ajili ya watoto kwa mfano;uji wa...
Mama Mkwe wangu farkhina karibu namchumba wangu uje nae tupate kula vyakula tena hivyo karibuni wote. kaka BAK, mkuu kabanga mkuu TUKUTUKU bibie King'asti Mwalimu wangu gfsonwin rafiki kipenzi...
Mahitaji
1)Embe bichi kubwa 1 au ndogo ndogo 4
2)Chumvi 2 tablespoon
3)Pilipili ya unga 1 tablespoon
4)Mdalasini wa kijit- 1 kijiti
5)Karafuu 1 (sio lazma)
6)1/2 Kijiko cha chai cha uwatu...
Wachache sana wanajua namna ya kupika maini yaive vizuri, yawe matamu ndani ya muda mfupi. Fuata recipe hii then utaenjoy
Mahitaji:
1. Maini 1/2kg
2. Kitunguu kikubwa sana kimoja
3. Karoti kubwa...
Mahitaji:
Mchele ambao tayari umeshatolewa uchafu.
Maji masafi ya baridi.
Process;
Chukua mchele wako uliochambuliwa weka kwenye chombo chako chenye maji masafi, maji yanatakiwa yazidi kidogo...
Habarini wapendwa.Naomba mnisaidie vile ninaweza kuhifadhi vegetables kwenye friji zikae muda mrefu bila kuharibika wala kusinyaa.
Vitu kama hoho,carrots,zuchinni,nyanya huwa natumiwa sasa...
Habari wana jf,
Kama mnavyojua kesho sikukuu nataka nipike pilau. Nimenunua viungo ila sivijui vizuri. Pia naomba kujua kama pilau masala ya Zanzibar ni nzuri kwa pilau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.