Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kwa miaka ishirini sasa Ndugu, Sila Sutharat amekuwa akichoma Kuku na Kitimoto kwa kutumia nguvu ya jua pekee. Ndugu huyu anasema kuwa wazo wa uchomaji wa vitoeo kwa njia ya mwanga wa jua ni wazo...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Kero yangu siku ya leo ni nyie mama ntilie, nianze kwa kudiclea interest kwamba mnatusaidia sana kutuhifadhi mjini kwa kutupatia shibe kwa bei chee, ila nimegundua mna tatizo sugu la kutoivisha...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
MAHITAJI 1.Karanga za kusagwa 2.Chumvi 3.Unga wa mlenda 4.Maji Jinsi ya kuandaa Chukua karanga zilizosagwa vizuri loweka kwenye bakuli la maji,baada ya muda anza kuzikoroga utokee uji mzito kiasi...
5 Reactions
31 Replies
16K Views
Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufahamu wa kupika popcorn zinazokuaga na ladha ya sukari ilitupate kufahamu hapa jukwaani kwa faida ya wengi karibuni!!
1 Reactions
5 Replies
22K Views
Mahitaji 1)Karanga kg 1/4 2)Asali kijiko 1.5 cha chakula 3)Peanut oil au mafuta yeyote kijiko 1 na nusu cha chakula 4)Chumvi 1/2 kijiko cha chai (kama peanut zake hazijakua roasted na chumvi)...
2 Reactions
9 Replies
13K Views
Wasalaam ndugu zangu, Kuna mboga fulani inaitwa mlenda niliwahi kula zamani kidogo, inakuwa imelojeka sana. Sasa kutokana na kuisoma namba nataka nijifunze kupika hii kitu ili kubana matumizi...
1 Reactions
46 Replies
12K Views
Sukari yeyote ni hatari katika mfumo wa mwili, Wataalam wanathibitisha uwepo wa takribani vijiko 10 vya sukari katika kila chupa moja ya soda, kwa maana hiyo unapokunywa soda 5 kwa siku maanake...
9 Reactions
28 Replies
23K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Napenda kutambulisha kwenu app inayoitwa "Appetite" ambayo inakupa uwezo wa kuandika recipe zako (maelekezo ya mapishi) na kushare na watumiaji wengine wa app...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
.
0 Reactions
28 Replies
12K Views
Habari wapendwa Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba tujuzane kwa mwenye uzoefu wa kunyonyoa bata kwa urahisi zaidi
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Toka nikiwa mdogo na mpaka sasa huwa naona katika matumizi ya samaki(kula) watu wengi huwa hawali vichwa vya samaki pia katika maandalizi ya dagaa(mboga) watu huondoa vichwa. Mi naona kuondoa...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Unakuta unavunja yai na kile kiini cha njano kinasambaa na kuchanganyikana na ute hata kabla hujalikoroga. Hili yai bado zima?. Nawezaje kujua yai limeharibika au la?
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Habari nduguz. mwenye namna ya kuteblngeneza kalimati anielekeze pls. recipe nlopewa mara ya mwisho zilitoka nyembamba na zilinyonya sana mafuta, in short sikuzifurahia. Msaada tafadhali.
1 Reactions
21 Replies
16K Views
Mbadala bomba kabisa wa Pilau, Chakula kitamu cha kuridhisha familia nzima, karibuni sana.
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Cantaloupe Papai Pineple Watermelon Kwa wale wanaojali afya, hii ni aina ya breakfast unayoweza kutengeneza. Unaweza kuchanganya na yogurt pia.
15 Reactions
42 Replies
9K Views
Kwa anayeweza kunipatia hiyo recipe ya kuandaa bhajia za kunde anisaidie, Thenx in advance.
0 Reactions
25 Replies
37K Views
Wadau, Hivi ni kwanini ukitafuna karanga mbichi na dagaa wabichi, unapata radha flani ya kushangaza(sio mbaya)? Embu jaribu leo kisha nawe ushangae. Note; Hakikisha hujashiba kama mbu wa...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Nisaidiwe namna nzuri kabisa ya kula ugali wa muhogo. Namaanisha vitoweleo vinavyoendana kabisa kwa chakula hiki.
0 Reactions
44 Replies
12K Views
Habari zenu wapishi wote natumai mko salama Ningependa tujumuike pamoja katika kujifunza mapishi mbalimbali kupitia ukurasa wangu wa Instagram ambao nimefungua siku chache zilozipota.. Ukurasa...
16 Reactions
39 Replies
12K Views
8 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom