Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,565
Nisaidiwe namna nzuri kabisa ya kula ugali wa muhogo. Namaanisha vitoweleo vinavyoendana kabisa kwa chakula hiki.
Poa sitakusahau.sijawai kula ugali wa muhogo au mtama naomba mualiko mkuu
Vyema mkuuMchuzi chukuchuku wa kuku wa kienyji wenye ndimu iliyoitikia naam.
Hahaha. Mpaka ninyeChanganya unga wa mtama kidogo na muogo afu upate Sato wa chukuchuku aliyetiwa limao pekee au samaki wa kukaanga mzee utakula mpaka unye.
Mpaka utakata gogo mkuuHahaha. Mpaka ninye