Jinsi ya kutengeneza siagi ya karanga ~ Peanut butter

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Mahitaji
1)Karanga kg 1/4
2)Asali kijiko 1.5 cha chakula
3)Peanut oil au mafuta yeyote kijiko 1 na nusu cha chakula
4)Chumvi 1/2 kijiko cha chai (kama peanut zake hazijakua roasted na chumvi)
5)Chupa yenye mfuniko ya kigae (kwa kuhifadhia peanut butter yako)

Namna ya kutayarisha
1)ondoa maganda karanga zako
2)Osha vizuri then weka zikauke vizuri
3)Zioke katika oven dakika 30-35 minutes, moto 350F
4)Subir zipoe kidogo then mimina karanga katika blender ama food processor...saga dakika 1 acha kidogo saga hadi iwe laini
5)Ongeza asali,chumvi na mafuta saga hadi iwe laini... 6)Hifadhi katika chupa yako then weka kwenye friji
 
karanga uliyo ikaanga ukaitoa au usiitoe maganda ukiisaga vizuri bila kuweka asali+chumvi+mafuta yoyote yale haina haja ya kuweja katika friji kwani inatoa nsfuta yake ambayo ni kihifadhi chakecha asili(natural preservatives)haiharibiki hata mwaka mzima
 
karanga uliyo ikaanga ukaitoa au usiitoe maganda ukiisaga vizuri bila kuweka asali+chumvi+mafuta yoyote yale haina haja ya kuweja katika friji kwani inatoa nsfuta yake ambayo ni kihifadhi chakecha asili(natural preservatives)haiharibiki hata mwaka mzima
Ahsante sana ,sisi ambao hatuna oven tunaweza tunazikaangaje karanga zetu na kwa dakika ngapi ili nasi tujitengenezee?
Nalog off
 
Ahsante sana ,sisi ambao hatuna oven tunaweza tunazikaangaje karanga zetu na kwa dakika ngapi ili nasi tujitengenezee?
Nalog off
andaa karanga zako kwa kuzichagua nzimana zisizo na uchafu kisha fanya hivi:-
1.ANDAA MCHANGA KM KILO 3 UUCHEKECHE KUTOA MAWE, UKOSHE ANIKA UKAUKE
2.ANDAA MOTO WA MKAA WA WASTANI
3. WEKA MCHANGA KTK SUFURIA KAVU UBANDIKE JIKONI NA ACHA UPATE MOTO SANA
4.TUMBUKIZA KARANGA NDANI YA MCHANGA HUO
5.ENDELEA KUCHANGANYA KARANGA NA MCHANGA HADI ZITOE HARUFU NZURI NA KUBADILIKA RANGI NA KUWA KAMA KIJIVU .HAPO ONJA UPATE LADHA YA KARANGA ILIYO IVA VEMA.

6.EPUA ACHA ZIPOE SAGA TAYARI KWA MATUMIZI!
N:B MCHANGA HUO NI KWA KARANGA KILO 1,2 -3

 
andaa karanga zako kwa kuzichagua nzimana zisizo na uchafu kisha fanya hivi:-
1.ANDAA MCHANGA KM KILO 3 UUCHEKECHE KUTOA MAWE, UKOSHE ANIKA UKAUKE
2.ANDAA MOTO WA MKAA WA WASTANI
3. WEKA MCHANGA KTK SUFURIA KAVU UBANDIKE JIKONI NA ACHA UPATE MOTO SANA
4.TUMBUKIZA KARANGA NDANI YA MCHANGA HUO
5.ENDELEA KUCHANGANYA KARANGA NA MCHANGA HADI ZITOE HARUFU NZURI NA KUBADILIKA RANGI NA KUWA KAMA KIJIVU .HAPO ONJA UPATE LADHA YA KARANGA ILIYO IVA VEMA.

6.EPUA ACHA ZIPOE SAGA TAYARI KWA MATUMIZI!
N:B MCHANGA HUO NI KWA KARANGA KILO 1,2 -3
Ahsante sana
Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom