Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habari za jioni fellow chefs. Naomba tutumie thread hii kujuzana ingredients zinazotutatiza. Kama una picha sio mbaya kuambatanisha katika ufafanuzi. Mfano kuna vyakula ambavyo hujui Kiswahili...
1 Reactions
25 Replies
51K Views
Mishkaki Ya Nyama Mahitaji: Nyama steki...............4 Ratili (2 Kilo) Mafuta........................3 Vijiko vya supu Masala ya Kurowekea Nyama: Kitunguu saumu/thomu na tangawizi...
7 Reactions
16 Replies
22K Views
Habari zenu wapishi Mie sio mpenzi wa choroko...lakini kuna mahali nilikula choroko tamu mnooooo Bahati mbaya sikuweza kuoata recipe na nimetamani Hapa nimenunua choroko zangu.... Naomba wa...
1 Reactions
26 Replies
14K Views
Jinsi ya kutayarisha (CHACHANDU YA PILIPILI) yaani pilipili ya kusaga.. Mahitaji: 1.Pilipili 2.Tangawizi 3.Kitunguu saumu 4.Ndimu natural au mchina 5.Chumvi 6.Nyanya 7.Kitunguu maji na...
6 Reactions
28 Replies
69K Views
Naombeni kujuzwa namna ya kutengeneza ladha tofauti tofauti za bisi/pop corn vitu ambavyo wanachanganya.. mpaka sasa nimejua kuna ladha ya chokoleti, sukari tangawizi lakini sijajua vitu...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Naomba wataalam wa kutengeneza zile karanga flani ivi zinakua sijui na mayai ambazo naziona kwenye masuper market au sherehe ambalo wanaita bites anipe recipe yake tafadhali. CC gfsonwin...
2 Reactions
56 Replies
90K Views
Simfahamu huyu dada lakini mapishi yake yamenifanya nione maisha rahisi sanaaaa! Antumia lugha ya kiswahili na anaeleweka sana kwakweli. Youtube Chanel yake inaitwa Aroma of Zanzibar. Mabachela...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Mahitaji Nyama nusu kilo Tangawizi Kitunguu saumu Bizari nyembamba Nyanya Nyanya pakti Curry powder Vitunguu maji Soysauce Pilipili hoho Mafuta Maelekezo Chemsha nyama mpaka iive ubaki na supu...
4 Reactions
17 Replies
40K Views
Habari wadau! Binafsi sijawahi tumia hiki kifaa au kukikuta kinatumika mahala popote nilipoenda( kwa majirani, marafiki, ndugu n.k) em' tufahamishane kinakazi gani na kunatofauti gani kati ya...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wanajukwaa naomba mwenye kujua namna ya kutofautisha yai la kuku ni lipi la kisasa na ni lipi la kienyeji kwa kuliangalia tuuu mwonekano wa nje. Msaada tafadhali.
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Yafuatayo Ndiyo mahitaji ya kutengeneza nyanya chanzo. 1. Nyanya kilo 1. 2. Vitunguu maji viwili. 3. Vinegar vijiko 3 vya chai. 4. Sukari vijiko 2 vya chai. 5. Chumvi kijiko Kimoja cha chai 6...
7 Reactions
41 Replies
24K Views
Vipimo Majimbi (Eddoes) kiasi 6 au 7 Nyama ng’ombe ½ kilos Tangawizi ilosagwa 1 kijiko cha kulia Haldi (bizari manjano/turmeric) ½ kijiko cha chai Tui zito la nazi vikombe 2 Chumvi kiasi Namna Ya...
3 Reactions
8 Replies
10K Views
Vipimo Tambi za Mchele - Pakti 1 (400 mg) Tui la nazi - Kikombe 1 Sukari - Nusu kikombe, ukipenda ongeza kidogo Maziwa ya kopo (evaporated) - Nusu kikombe Samli - Kijiko 1 cha supu Zabibu kavu - ¼...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
Usiukimbize , bado una nafasi ya kipekee jikoni kwako. Haipendezi kukoroga juisi na vijiko vya bati au platisiki tumia miti, upawa na mwiko ndiyo marafiki zako hapa. Si jambo la kufurahia upawa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mchuzi huu hufaa wale wenye familia kubwa, Mahitaji: fungu moja la vibua, vitunguu, nyanya, tomato paste, limao, chumvi, oxo. Osha vibua toa utumbo na vichwa, Weka limao na chumvi...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Vipimo Boga la kiasi - nusu yake Tui zito la nazi 1 ½ gilasi Sukari ½ kikombe Hiliki ½ kijiko cha chai Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Menya boga kisha katakata vipande vya kiasi. Weka katika...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Salaam jamani, Kina dada na kina mama mnisaidie jamani simple futari ya makorombwezo nataka wikiendi hii niitumie vizuri.tunapata tabu sie mabachela, tunafuturu Kwa ugali . Thanks
1 Reactions
31 Replies
9K Views
Maza katoka kijijini kaja kunitembelea kaja na maboga ya kutosha namuonea huruma sijui alibebaje anyway am her little daughter hata kama nimezeeka vipi so hapa nimeona nipike soup ya boga. Kula...
10 Reactions
20 Replies
12K Views
Kwa kuwa niko single nimejikuta napenda sana kupika chakula kitamu, nikawa nimepata link moja ya group la mapishi whatsApp nikajiunga. Majaabu niliyoona ni kuwa pamoja na kuwa kundi liko hot kwa...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Samahani wakuu, Hivi ile mayonaiz inatengenezwa kutokana na kitu gani je ina umuhimu wowote kula kwa kuweka kwenye chips? Mimi siipendi hata kuiona.
3 Reactions
26 Replies
13K Views
Back
Top Bottom