Mahitaji
1)Nusu kilo ya maini ya kuku
2)Pilipili manga 1 tablespoon
3)1/2 tablespoon ya pilipili ya unga
4)Limau
5)Tandoori masala 1/2 teaspoon
6)Tangawizi 1/2 tablespoon
7)Kitunguu saumu...
Kwa wale ambayo mnatumia whole grains hii inawahusu...
Mahitaji
Unga wa ngano weupe nusu kilo
Unga wa atta nusu kilo...
Chumvi kiasi
Maji ya uvuguvugu....
Samli vijiko 6 vya kulia vijaze...
Habari wanandugu,
Tuna mfanyakazi wa ndani na tungependa kumpeleka kwenye mafunzo awe professional chef/cook.
Je kuna mtu anayefahamu hizi course zinatolewa wapi, kwa mudagani na kwa kiasi gani...
Inawezekana ukapata mgeni wa ghafla nyumbani kwako, na ukawaza sana nini cha kumuandalia, au kama si ghafla basi hata kwa appointment, usifanye complication sana, tafuta kitu simple...
Kwa wote wanaopenda ku bake..
mimi kupika si kwa vile sana lakini ku bake na penda sana..
mwaka huu nimejaribu hii new recipe..
Cake yangu iko kwenye Oven ina umuka taaaaaratibu ..
Nikaona...
Habari wana JF Chef!
Tafiti zinaonesha ndoa nyingi zinavunjika majumbani na sababu ni wakina Mama na wakina Dada kilasiku kuunguza WALI, na sababu kubwa ni kushinda kwenye Tv , Vikoba ...
Nimejaribu hivi karibuni nimegundua ni mtamuuu.
Pika uji wako kama kawaida ila hakikisha umeweka hiliki kabla haujaanza kuchemka halafu maziwa weka Mwishoni yatokote kidogo na uji.
Habari zenu wanajf, jaman naomba maarifa juu ya chapati za maji kuganda kwenye chuma, husababishwa na nini, na litokeapo nifanyeje ili chapati znazofata zitokee vizuri?
Mwadilla
Marafiki zangu leo tutajifunza namna ya kuandaa juice ya maembe na karoti
UTAYARISHAJI WAKE
Chukua maembe 5 au kiasi chako, chukua karoti 3, tangawizi kidogo,
kisha anza kuviosha kwa...
Mahitajiiliki
chumvi
mafuta ya kupikia
maziwa(2cups)
unga wa ngano mags 3
siagi(40gr)
sukari(80gr)
hamira(10gr)
yai 1
chungwa 1
Sukari ya juu unaweza tumia njia mbili ya kwanza ni
icing sugar...
Application ya simu (Mapishi),
Inafanyakazi katika simu za android (bila ya internet),
Katika program hii ya Kiswahili kuna kila aina ya mapishi.
Download hapa,
Mapishi Application
Zama hizo ilikuwa ikisikika kuwa watu wazima wa haja walikuwa wakikanda unga wa ngano wa kutengenezea mikate kwa kutumia miguu ! Nimekuwa nikijiuliza hivi haya mambo yalikuwa ya kweli au ni stori...
Habari za jikoni wapishi! Nimeona fursa ya biashara mahala, wateja wanahitaji TENDE SHAKE na bei yake(as per market research) ni nzuri!naomba dondoo ya utengenezaji!
Wasalam
Mapishi mema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.