Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Msaada: Kwayeyote anayejua sehemu wanazofundisha kupika kwa Dar es salaam,naomba anijuze.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mahitaji 1)Nusu kilo ya maini ya kuku 2)Pilipili manga 1 tablespoon 3)1/2 tablespoon ya pilipili ya unga 4)Limau 5)Tandoori masala 1/2 teaspoon 6)Tangawizi 1/2 tablespoon 7)Kitunguu saumu...
9 Reactions
72 Replies
14K Views
  • Redirect
Kwa wale ambayo mnatumia whole grains hii inawahusu... Mahitaji Unga wa ngano weupe nusu kilo Unga wa atta nusu kilo... Chumvi kiasi Maji ya uvuguvugu.... Samli vijiko 6 vya kulia vijaze...
9 Reactions
Replies
Views
Nimezikumbuka fried ice cream, hivi zinapatikana wapi Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa msaada namna ya kutengeneza hii kitu, nilikaribishwa mahali mwaka mpya na ilikuwa moja ya menu C:C farkhina, MziziMkavu, Mrs Kharusy
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wanandugu, Tuna mfanyakazi wa ndani na tungependa kumpeleka kwenye mafunzo awe professional chef/cook. Je kuna mtu anayefahamu hizi course zinatolewa wapi, kwa mudagani na kwa kiasi gani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Je kuna mapishi ya wali waweza tia juisi ya ukwaji au ubuyu ikanogo maana napenda sana hizo juisi natamani kupika hata kwenye chakula?
0 Reactions
14 Replies
15K Views
Inawezekana ukapata mgeni wa ghafla nyumbani kwako, na ukawaza sana nini cha kumuandalia, au kama si ghafla basi hata kwa appointment, usifanye complication sana, tafuta kitu simple...
9 Reactions
61 Replies
33K Views
Kwa wote wanaopenda ku bake.. mimi kupika si kwa vile sana lakini ku bake na penda sana.. mwaka huu nimejaribu hii new recipe.. Cake yangu iko kwenye Oven ina umuka taaaaaratibu .. Nikaona...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Mahitaji 1)Unga 12 tablespoon.. 2)mayai 6 3)siagi 1/4 kg (punguza kidogo ili keki isiwe na mafuta mengi). 4)sukari 1/4 kg.. 5)rangi (food cloring) upendazo.. 6)baking powder 1 teaspoon...
8 Reactions
45 Replies
7K Views
Habari wana JF Chef! Tafiti zinaonesha ndoa nyingi zinavunjika majumbani na sababu ni wakina Mama na wakina Dada kilasiku kuunguza WALI, na sababu kubwa ni kushinda kwenye Tv , Vikoba ...
10 Reactions
38 Replies
15K Views
Nimejaribu hivi karibuni nimegundua ni mtamuuu. Pika uji wako kama kawaida ila hakikisha umeweka hiliki kabla haujaanza kuchemka halafu maziwa weka Mwishoni yatokote kidogo na uji.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wapendwa...naombeni msaada juu ya upambaji was keki coz kupika naweza sema kupamba sijui naombeni msaada wenu nataka nimpikie baby wangu karibia brtdy take so sitaki kununua nataka...
0 Reactions
15 Replies
23K Views
Habari zenu wanajf, jaman naomba maarifa juu ya chapati za maji kuganda kwenye chuma, husababishwa na nini, na litokeapo nifanyeje ili chapati znazofata zitokee vizuri?
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Mwadilla Marafiki zangu leo tutajifunza namna ya kuandaa juice ya maembe na karoti UTAYARISHAJI WAKE Chukua maembe 5 au kiasi chako, chukua karoti 3, tangawizi kidogo, kisha anza kuviosha kwa...
4 Reactions
26 Replies
24K Views
Mahitajiiliki chumvi mafuta ya kupikia maziwa(2cups) unga wa ngano mags 3 siagi(40gr) sukari(80gr) hamira(10gr) yai 1 chungwa 1 Sukari ya juu unaweza tumia njia mbili ya kwanza ni icing sugar...
2 Reactions
8 Replies
7K Views
Application ya simu (Mapishi), Inafanyakazi katika simu za android (bila ya internet), Katika program hii ya Kiswahili kuna kila aina ya mapishi. Download hapa, Mapishi Application
8 Reactions
44 Replies
17K Views
Zama hizo ilikuwa ikisikika kuwa watu wazima wa haja walikuwa wakikanda unga wa ngano wa kutengenezea mikate kwa kutumia miguu ! Nimekuwa nikijiuliza hivi haya mambo yalikuwa ya kweli au ni stori...
2 Reactions
43 Replies
9K Views
Habari za jikoni wapishi! Nimeona fursa ya biashara mahala, wateja wanahitaji TENDE SHAKE na bei yake(as per market research) ni nzuri!naomba dondoo ya utengenezaji! Wasalam Mapishi mema!
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Tafadhali msaada wako unahitajika ewe msomaji.
0 Reactions
17 Replies
18K Views
Back
Top Bottom