Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Nawaachia mapishi haya (nimedesea mahali) kwa weekend hii, hasa wale mabinti zangu, then feed me back. NAMNA YA KUTENGENEZA MAANDAZI MAHITAJI 1. Chukua Amira ya chenga gram 11, 2. Chumvi nusu...
1 Reactions
37 Replies
87K Views
mahitaji Kunde mbichi vikombe vinne Tui la nazi vikombe viwili Vitunguuu maji viwili Vitunguu saumu kijiko kimoja cha chai kilichosagwa Nyanya ya kopo nusu kijiko nusu cha chai Pilipili...
1 Reactions
2 Replies
9K Views
Wana makulati, unapotaka kupika uji wa ngano nzima asubuhu, usipate tabu kutumia mda mwingi kuchemsha ngano zako. Fanya hivi, chmbua vizuri ngano zako, injika maji ya moto yachemke, ingiza ngano...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
jamani wadau naomba mnisaidie namna ya kupika kaukau zile zinakuwa na chumvi zinatengenezwa kwa ngano nadhani na pia huwa zinauzwa mtaani
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Heshima kweny wakuu, Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo. Naomba msaada; Ni hatua...
9 Reactions
136 Replies
24K Views
helo wapishi ni maharage yapi yanakuwa matamu? ya kuunga au ya kuchemshia viungo moja kwa moja?
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia...
6 Reactions
59 Replies
6K Views
Hatimaye leo nimepika buns..n tamu sana
0 Reactions
7 Replies
2K Views
salamu kwenu ndugu zangu wana jf!! naomba kujuzwa sehemu ambazo naweza kujifunza mapishi bure au kwa gharama nafuu au kama kuna mtu yuko ready kujitolea nitashukuru sana na nitamuombea duaa...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Kama kuna mtu yoyote anayejua jinsi ya kutengeneza ubuyu ule wa rangi wenye pilipili wanauita ubuyu wa zanzibar anielekeze pls
0 Reactions
40 Replies
57K Views
Jamani naomba munielekeze vitu ambavyo vinahitajika katika uokaji wa mkate na jinsi ya kuviandaa hadi kufikia hatua ya kuoka.
0 Reactions
10 Replies
19K Views
Leo katika harakati za kuandaa chakula cha usiku nmefanikiwa kupika chapati nzuri Nashukuru kwa michango yenu kwa namna moja au nyingine
2 Reactions
66 Replies
10K Views
1. nusu kila makorona madogodogo 2. 400grm nyama ya kusaga ukifnyanga kuwa meat ball 3.vitungu viwili 4.kikombe cha starch/unga 5.kikombe cha maziwa..... weka kwenye oven kwa dkk 25~30
2 Reactions
6 Replies
3K Views
DON'TS AT THE DINING TABLE It’s important to know the don’ts of dining around the world to avoid offending your hosts. JAPAN You can cause quite a bit of offense when using chopsticks. Don’t...
0 Reactions
2 Replies
998 Views
Wakuu naomba msaada wa namna ya kutengeneza supaghett, mfano unatumia unga gani, maji kiasi gani, mayai, ama vipimo nk nisaidieni tafadhali. Natanguliza shukrani kwa msaada wa aina yoyote.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mahitaji Vipapatio vya kuku kilo 1 Yai 1, pasua na vuruga Kikombe 1 cha unga wa ngano, kwa kuweka utando (layer) juu ya kuku Kikombe 1 cha siagi (butter) Mahitaji ya sauce Vijiko 3 vikubwa vya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
China Ufaransa Marekani Singapore Japani Slovakia Thailandi Uswidi Cheki Ukraine Korea Kusini Uiingereza Malasia Filipino Brazil Tanzania
3 Reactions
34 Replies
15K Views
Mapishi ya Bagia dengu Mahitaji Unga wa dengu (gram flour 1/4 kilo) Kitunguu kilichokatwa (onion 2) Hoho (green pepper 1/2) Pilipili iliokatwakatwa (scotch bonnet pepper 1/2) Barking powder (1/4...
5 Reactions
8 Replies
64K Views
Ni kawaida ukienda kwa Doctor ukiwa na magonjwa fulani,basi Doctor atawaaambia huyu mgonjwa wenu jaribuni kuacha kumpa nyama nyekundu (ng'ombe,mbuzi, kondoo na n.k) na badala yake kama anataka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom