Jamani nyie mamantilie mbona hamuivishi chapati?

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,792
15,693
Kero yangu siku ya leo ni nyie mama ntilie, nianze kwa kudiclea interest kwamba mnatusaidia sana kutuhifadhi mjini kwa kutupatia shibe kwa bei chee, ila nimegundua mna tatizo sugu la kutoivisha chapati, yaani nyie chapati ikibadilika rangi kidogo tu mnaipua kwani munawahi wapi?

Tukiharisha mnatutelekeza, nadhani kuna haja ya mugambo au polisi kuingilia kati ikibidi wasimamie upishi wa vyapati.

Nawasilisha!

IMG_20170515_095600.jpg
 
Kero yangu siku ya leo ni nyie mama ntilie, nianze kwa kudiclea interest kwamba mnatusaidia sana kutuhifadhi mjini kwa kutupatia shibe kwa bei chee, ila nimegundua mna tatizo sugu la kutoivisha chapati, yaani nyie chapati ikibadilika rangi kidogo tu mnaipua kwani munawahi wapi? Tukiharisha mnatutelekeza, nadhani kuna haja ya mugambo au polisi kuingilia kati ikibidi wasimamie upishi wa vyapati. Nawasilisha!!!View attachment 509502
Daaah pole mie kuna zile Chapati za wale Jamaa wa Freemaso aiseee haziivi kabisa, michapati mikubwa ila mibichi ukiila
 
Mkuu ukipata muda nenda kawaeleweshe..watakuelewa..ni haki yako kupata huduma nzuri
 
Salute to my mom.

She was mamantilie na amemanage kutupeleka shule wanae tukasoma and now tunaendesha maisha yetu.

Anaumwa sasa she is diabetic hawez kufanya zile kazi tena.

Ila asante sana nakuombea alwayz upewe maisha marefu uenjoy matunda ya wanao am proud of you mom.

Mkuu usiwaseme huku hao watu waeleze pale pale ukweli ili wajirekebishe waivishe hizo chapati.

Usiache kwenda kula kwao kwa sababu hiyo mia tatu yako ndio inamsaidia yeye kuendesha maisha na kupeleka watoto shule.

Kama una idea nzuri wape waboreshe kazi

Najivunia mama angu kuwa na kazi ile na mwisho nitafungua mgahawa kama kuendeleza harakati zake ingawa utakuwa ni wa kisas
 
hujajibu kabisa swali lake. ameuliza ni kwa nini hawaivishi chapati ungeweza kujibu tu swali ikawa inatosha. maelezo mengine hayakuwa na umuhimu maana hakuuliza mama yako alikuwa anafanya nini au sasa anafanya nini. ndugu yangu tujifunze kuelewa swali na kujibu na si kuanzisha maswali mengine.inawezekana mama yako alijitahidi kukupeleka shule ila hukuzingatia sana masomo.

Salute to my mom.

She was mamantilie na amemanage kutupeleka shule wanae tukasoma and now tunaendesha maisha yetu.

Anaumwa sasa she is diabetic hawez kufanya zile kazi tena.

Ila asante sana nakuombea alwayz upewe maisha marefu uenjoy matunda ya wanao am proud of you mom.

Mkuu usiwaseme huku hao watu waeleze pale pale ukweli ili wajirekebishe waivishe hizo chapati.

Usiache kwenda kula kwao kwa sababu hiyo mia tatu yako ndio inamsaidia yeye kuendesha maisha na kupeleka watoto shule.

Kama una idea nzuri wape waboreshe kazi

Najivunia mama angu kuwa na kazi ile na mwisho nitafungua mgahawa kama kuendeleza harakati zake ingawa utakuwa ni wa kisas
 
hujajibu kabisa swali lake. ameuliza ni kwa nini hawaivishi chapati ungeweza kujibu tu swali ikawa inatosha. maelezo mengine hayakuwa na umuhimu maana hakuuliza mama yako alikuwa anafanya nini au sasa anafanya nini. ndugu yangu tujifunze kuelewa swali na kujibu na si kuanzisha maswali mengine.inawezekana mama yako alijitahidi kukupeleka shule ila hukuzingatia sana masomo.
 
hujajibu kabisa swali lake. ameuliza ni kwa nini hawaivishi chapati ungeweza kujibu tu swali ikawa inatosha. maelezo mengine hayakuwa na umuhimu maana hakuuliza mama yako alikuwa anafanya nini au sasa anafanya nini. ndugu yangu tujifunze kuelewa swali na kujibu na si kuanzisha maswali mengine.inawezekana mama yako alijitahidi kukupeleka shule ila hukuzingatia sana masomo.
Nisamehe mkuu ni uelewa kwa uelewa wangu mdogo nilio nao

Lakini kama umesoma vizuri katikati nimemwambia awaambie kwa sababu humu hawamo so akija kuandika huku ni like nothing

Kingine huku ni jukwaa huru akileta maada mtu anaweza kujadili maada hiyo anavyotaka na jupenda yeye ilmeadi tu asivunje sheria za Jf.
 
Niimekusamehe Bure kwa kuwa pia inaonesha u mstaarabu. mama mpe pole sana. actually sidhan kama anadhalilisha mama ntilie. ila ametoa malalamiko . unajua JF watu huja kutolea Hasira zao . usishangae mtu anakuja kuandika kulalamika kuwa katoto kake ka miaka 4 kakorofi sana na wakati humu hakapo. ila ukishamuona hivyo unamtia moyo na kumuweka kwenye maombi na kumwambia watoto wengi wapo hivyo.

pole sana kwa kuuguza mama. yeaah your mother is one of the best. endelea kumkumbuka kimoyo moyo peke yako kwa namna yako.usisubiri siku za mothers' day n.k hizo achana nazo. ila wewe iwe siku zote ni za mama yako.



Nisamehe mkuu ni uelewa kwa uelewa wangu mdogo nilio nao

Lakini kama umesoma vizuri katikati nimemwambia awaambie kwa sababu humu hawamo so akija kuandika huku ni like nothing

Kingine huku ni jukwaa huru akileta maada mtu anaweza kujadili maada hiyo anavyotaka na jupenda yeye ilmeadi tu asivunje sheria za Jf.
 
Hili suala ni kero kwangu pia ukiwaambia iliyoiva hawaelewi huwa naishia kuwaambia naomba iliyounguaungua
 
Chapati ni zile zinazopikwa nyumbani,lakin lakin hizi za kwenye migahawa ni mfano tuu wa chapati.
 
Back
Top Bottom