Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Maandalizi; dakika 5 Muda wa kupika; dakika 10 Muda jumla; dakika 15 Mahitaji 1. Ndizi mzuzu tatu kubwa 2. Vijiko 4 vya chakula chenga za mkate 3. Mafuta ya kutosha ya kukaangia 4. Chumvi au...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Chemsha yai Likiiva limenye Likate vipande vidogo vidogo Changanya na mayonnaise Oka mkate na upake mchanganyiko wa yai juu yake Unaweza kutengeneza sandwich 🥪 ya kuendea kazini au picnic.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii ni AIR INDIA flight from Mumbai To London, kama unavyoona hapo msosi unajumuisha kitu cha SEMBE. Ngoja nikate ticket ya ATCL nikaone kama kuna hii kiyu.
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Ni kaka wa ndizi, hupikwa zikiwa mbichi au zimeiva. Zina kiwango cha potassium mara mbili zaidi ya ndizi za kawaida Jinsi ya kupika mzuzu wa nazi Mahitaji Ndizi 6 Nazi Iliki Safron Unga wa...
7 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari zenu, Wengi wetu tukimenya vitunguu maji na kuvikatakata mara nyingi tunatoa machozi. Sasa chukua kikombe au bakuli tia chumvi na maji halafu weka pembeni huku ukikatakata vitunguu vyako...
2 Reactions
21 Replies
11K Views
Sometimes tunajikosesha lishe kwa kuogopa watu watatuonaje. Nimegundua kuwa wengi bado tunapenda vyakula tulivyopenda utotoni sema kujivunga na kukimbilia mijunk. 1.Usione aibu kununua vibama...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Wataalam wa mapishi naomba mnielekeze mbona nikila sehem za watu vyakula vyao vinanukia na vina ladha safi,,au unakuta unapita sehemu unasikia mtu anaunga mboga inanukia balaa mpaka hamu ya kula...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf!! Nimatumaini Yangu kuwa muwazima.. Naomba msaada jinsi ya kutengeneza barafu za vijiti... Natanguliza shukran zangu
1 Reactions
23 Replies
34K Views
Mkate unaweza kuiva kwa kupikia kwenye microwave?
1 Reactions
7 Replies
13K Views
Mapishi – Ndizi Mshare na Nyama Mapishi yetu ya leo yatakuwa ni ndizi mshare (wengi wanapenda kuziita ndizi moshi) na nyama ya ng'ombe. Mahitaji · Ndizi Mshare mbichi 16 ·...
4 Reactions
4 Replies
6K Views
MAHITAJI ( Chakula hiki kinatosha watu 3 hadi 5 ) 600 gram mchele wa basmati basmati 1 Kuku mzima ( toa ngozi na kata vipande vikubwa kama kwenye picha) 6 Vitunguu umbo la kati 15 Gram kitunguu...
2 Reactions
72 Replies
17K Views
Mi sea food sikubali kabisa,labda za majani ila sio hawa wadudu!
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Habari wana JF, Karibuni tujuzane futari unayopenda kula mwezi huu wa Ramadhani. Kwa upande wangu napenda sana tambi na maharage alafu na mchuzi wa samaki.
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mchanganuo wa jinsi ya kupika vitumbua Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele,nyama,samaki,tambi,mtama nk. Kiasili vitumbua ni chakula ambacho...
5 Reactions
101 Replies
70K Views
Half cake nimepik unga ulikuw mgumu tu ila zilivyoanza tu kuvimba jikoni zimepasukana ovyo ovyo hamn ilotoka nzima naomba msada tafadhali anaejua kupika half cake nimekosea wap au baking powder...
2 Reactions
66 Replies
10K Views
..,.........habarini wadau,,,,,,, Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] ) [emoji626] hakikisha pale unapopika wali...
20 Reactions
103 Replies
39K Views
Habari zenu wakuu, Kama kichwa cha habari hili ndo chimbo linalosumbua mjini kwa wastaarabu. Wafanyakazi wa hapa wanavaa kwa heshima na ni wachangamfu. Pametulia hakuna makelele sana. Kuna nyama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Maharage meusi ni chakula maarufu huko Latin America. Niliyaona dukani na kuyanunua. Baada ya kuyachemsha nilikuta mafuta yametanda juu. Yana virutubisho vingi ikiwa ni calories, iron...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Hasa kwa wale wenye excess body fatty, unataka kuiacha ipungue kwa metabolic process naturally. Kula cabbage au cauliflower kama main meal. Unaweza kuweka nyama au samaki juu yake kama mboga ya...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nimejikuta nimebaki mwenyewe home baada ya shule kufungwa na nina nyanya nyingi kwa fridge. Naomba kujuzwa jinsi ya kutengeneza pilipili ambayo itakaa kwa muda mrefu kwa fridge bila...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom