Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
sijui kama nimevumbua au huwa ipi ila nimejaribu imekubalika. Nimefika home nimechoka, na sikuwa na wakunipikia na siwezi kula mabarabarani. nikachukua sufuria nikamwaga mchele mkavu, nikaweka...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Je ni upi Mchakato sahihi wa kuandaa soya kwa ajili ya maziwa ili kumuepusha mtumiaji na side effects za soybeans,? maana nimesikia na kusoma Mengi kuhusu maharage ya soya ,sokoni yapo maharage...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani jamani ! Utamu wa kongoro una siri yake . Maandalizi ya kongoro ni shida. Nyembe , visu na nyenzo kadhaa chafuchafu hutumika kuandaa chakula hicho pendwa hasa nyanda za kaskazini mwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za leo. Naomba kuuliza ulaji wa betroot yakuchemsha au kusaga juice, kwa njia ipi hapo huongeza damu kwa haraka zaidi? Asanten
0 Reactions
7 Replies
3K Views
My today thought as one among many Men out there.. "It’s absolutely unfair for women to say that guys only want one thing: sex. We also fancy food."
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale tuliyoipa nyama mgongo, pilau ya mayai iko poa kabisa. Unachemsha mayai na kuyamenya. Unayaweka kwenye pilau baada ya mchele na kuacha mchele ukauke. Kata kachumbari ya kitunguu...
6 Reactions
17 Replies
7K Views
Wakuu habari za jioni nilikua naomba kujuzwa. Kwa kiwango hiki cha unga kilo 25 ni sawa kutumia mafuta liter 10 kwenye mapishi ya maandazi. Natumia unga wa Azam wa maandazi. Na vip hakuna maujanja...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakuu na poleni na majukumu Naomba msaada wenu wa hasa kina dada mniandalie ratiba rahisi ya chakula ya hata siku 5 za juma,niko huku camp sasa mambo ya kujipikia yanakuwa tatizo kidogo...
1 Reactions
39 Replies
56K Views
Nimekumbana na birian hili sehemu Fulani..... Syo kama yale mabirian wnayoyanadi kwa kutumia makalio! Ova
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Cake ya 1kg Mahitaji: Unga g 250 Sukari g 250 Vegetable oil 250g Baking powder 2tsp Baking soda 1tsp Zabibu kavu Chumvi kidogo Cocoa 75g Kahawa 1cup(chemsha maji yachemke ndo uweke 2tsp ya kahawa...
5 Reactions
14 Replies
7K Views
Ni tamu ninesharudia second serving
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Asalaam Alaykhum. Za jioni wapenzi wa mahanjam, masotojo, madiko-diko,. wale wapendao kula vilivyo bora na sio bora kula tuu nawasalim tenaa "asalaam Alaykhum, waalaykhum salaam"😊 Haya, mida ndio...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu hili jambo karibia wengi tuliopitia ubachela na hatukuwa tunaishi na wazazi basi tumelipitia sana. Kipi kinamaliza sana pesa ?
4 Reactions
218 Replies
24K Views
Lishe ya watoto imekuwa changamoto sana Vitoto vinane epeshwa tu wazazi wakidhani ndo afya Tutupie mapishi mbalimbali ya vyakula na juice za watoto hapa Leo dogo nampikia kama hivi
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Naimani sote humu tushawahi kula hiki chakula/mboga ya maharagwe. Binafsi ni mpenzi sana wa chakula hiki, na huwa nafurahiaga sana kikipikwa vyema kwani kina ladha isiyo kifani. Kuna sehemu...
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Habari zenu wapendwa, amani iwe nanyi Kwa kuanza bandika sufuria lako la maji jikoni ila maji yanatakiwa yawe mengimengi kuzidi kiasi cha mchele tofauti na ule wali wa kukadilia maji kutokana na...
4 Reactions
26 Replies
15K Views
Habari wana Jamvi Nahitaji kujua hatua kwa hatua namna ya kuandaa mpakaa kukaanga ndizi mzuu mpaka zinaku crisps. Nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
23 Replies
13K Views
MAHITAJI Unga uliyotayarishwa tayari kwa kupikwa (pakiti moja - 500g) Mayai matatu Mafuta ya kupikia 80ml Maji safi 200ml Butter kiasi Kwa ajili ya topping Nunua chokolate yenye karanga...
1 Reactions
5 Replies
33K Views
Mamboo wapenzi wa mahanjam, mambo matam matam ya jikoni, mambo ya chakula kizuuuri chenye ladha isiyo chosha... Asalam Alaykhum. Leo nataka tujifunze mboga hii jinsi ya kuitengeneza na kuipika...
18 Reactions
164 Replies
21K Views
Wale wataalam wa kupika naomba mnupe shule ya kupika makange ya kuku wa kienyeji. Leo natamani nijipikie msosi mtam mwenyewe nyumbani, natamani iwe makange au kitu kingine kizuri. Naombeni namna...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom