Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa? Michango ya wadau Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu...
0 Reactions
140 Replies
87K Views
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno...
3 Reactions
4 Replies
5K Views
Hemed Kivuyo,acha kabisa kutumia neno 'Mwendazake' katika hali hii ya kuomboleza.Unalitumia peke yako tu,halina ladha wala taadhima katika kipindi hiki.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba tafsiri ya nyimbo hizi za mtaalam Fally Ipupa 1. Ecole 2. Allo telephone.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa uelewa wangu Hayati ni baada ya kuzikwa...au nakosea? Kabla hajazikwa anakuwa Marehem Hadi siku akizikwa..ndo jina Hayati linaanza Au yote sawa?
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji ku-apply chuo kwajili ya mdogo wangu, sasa hii statement nimeshindwa kuielewa vizuri. Ni muda mrefu sana tangu kufanya shughuli hii. (The entry qualification for this programme...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1. Mwosha Huoshwa 2. Mficha Maradhi Kifo humuumbua 3. Malipo ni hapa hapa duniani 4. Mficha Uchi hazai ng'o 5. Siri ni ya Mmoja na si ya Wawili 6. Njia ya Muongo ni fupi sana 7. Lisemwalo lipo...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Kama Kuna Sehemu Kiswahili Kinani Piga Chenga ya Mwili,Basi Ni Hapa! Hivi Ni: a)Hili au Ili? b)Ndio au Ndiyo? c)Kwahyo au Kwaio? d)Ila au Hila e)Hata au Ata
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Imesha kuwa chagizi , Maozi yana sumbuka, Hata palo na uwazi, Hatupawezi mufika, Jifunuwe uwe wazi, Tuone kwa uhakika, Twakuomba jua toka, yapate nuru.
0 Reactions
0 Replies
505 Views
Naombeni msaada wasomi nguli wa JF lili kupata maana au tafsiri ya maneno/ sentensi ifuatayo. "There is a tide in the affairs of Men, which taken at the floods leads on to fortune" Sina hakika...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wapendwa husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Wadau Naombeni Maoni Yenu Kuhusu Msemo Huu"Kama Mwanadamu Sijakamilika ila Kibinadamu Nimeumbiwa Makosa" Karibuni kwa michango
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kulala njaa-kulala na njaa Gari yangu-gari langu Kuchukua fursa-kutumia fursa Ruhusa-ruksa Marehemu-hayati Majonzi-machozi Kupika mchele-kupika ubwabwa - Unaruhusiwa kuongeza orodha. Asante
0 Reactions
4 Replies
868 Views
Mje huku, muje huku au mukuje huku?, sijakula au sijala? Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiukwel tangu zama za baiskeli za Phoenix hadi leo kwenye browser ya Phoenix nilikuwa bado natamka "foneksi" badala ya "finaksi" au "fineksi" kwa baadhi ya watumiaji wengine wa English. Na...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Mtalii wa ndani kwa ndani anaitwaje kiswahili kwa neno moja
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi naanza Bad-mbaya Bud-kikonyo Sleep-lala Slip-kipeperushi Sweet-tamu Sweat-jasho Endeleeni
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Masalkheri? Kwa walio wahi kusoma shairi/mashairi nafikiri neno diwani sio geni, Ningependa kufahamu maana na asili ya hilo neno kama litumikavyo kwenye shairi.
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Hili swali huwa linanishangaza sana! Muhindi ana zaidi hata ya miaka 30 au amezaliwa na kuzeekea hapa ila kuongea kiswahili kwa ufasaha ni shida kubwa. Ila wazungu wanaokuja kwenye miradi au...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Msimbazi qwota ni wapi? Shira ni nini? Miwala ni nini? Mbona shira ya Zanzibar inasifiwa? Napenda saana nyimbo za Tanzania lakini kiswahili wakati mwingine balaa ...nsaidieni mi ni mkenya na...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Back
Top Bottom