Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa?
Michango ya wadau
Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu...
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno...
Hemed Kivuyo,acha kabisa kutumia neno 'Mwendazake' katika hali hii ya kuomboleza.Unalitumia peke yako tu,halina ladha wala taadhima katika kipindi hiki.
Wakuu nahitaji ku-apply chuo kwajili ya mdogo wangu, sasa hii statement nimeshindwa kuielewa vizuri. Ni muda mrefu sana tangu kufanya shughuli hii.
(The entry qualification for this programme...
1. Mwosha Huoshwa
2. Mficha Maradhi Kifo humuumbua
3. Malipo ni hapa hapa duniani
4. Mficha Uchi hazai ng'o
5. Siri ni ya Mmoja na si ya Wawili
6. Njia ya Muongo ni fupi sana
7. Lisemwalo lipo...
Kama Kuna Sehemu Kiswahili Kinani Piga Chenga ya Mwili,Basi Ni Hapa!
Hivi Ni:
a)Hili au Ili?
b)Ndio au Ndiyo?
c)Kwahyo au Kwaio?
d)Ila au Hila
e)Hata au Ata
Imesha kuwa chagizi ,
Maozi yana sumbuka,
Hata palo na uwazi,
Hatupawezi mufika,
Jifunuwe uwe wazi,
Tuone kwa uhakika,
Twakuomba jua toka,
yapate nuru.
Naombeni msaada wasomi nguli wa JF lili kupata maana au tafsiri ya maneno/ sentensi ifuatayo.
"There is a tide in the affairs of Men, which taken at the floods leads on to fortune"
Sina hakika...
Wapendwa husikeni na kichwa cha habari hapo juu.
Wadau Naombeni Maoni Yenu Kuhusu Msemo Huu"Kama Mwanadamu Sijakamilika ila Kibinadamu Nimeumbiwa Makosa"
Karibuni kwa michango
Kiukwel tangu zama za baiskeli za Phoenix hadi leo kwenye browser ya Phoenix nilikuwa bado natamka "foneksi" badala ya "finaksi" au "fineksi" kwa baadhi ya watumiaji wengine wa English.
Na...
Masalkheri?
Kwa walio wahi kusoma shairi/mashairi nafikiri neno diwani sio geni, Ningependa kufahamu maana na asili ya hilo neno kama litumikavyo kwenye shairi.
Hili swali huwa linanishangaza sana! Muhindi ana zaidi hata ya miaka 30 au amezaliwa na kuzeekea hapa ila kuongea kiswahili kwa ufasaha ni shida kubwa.
Ila wazungu wanaokuja kwenye miradi au...
Msimbazi qwota ni wapi?
Shira ni nini?
Miwala ni nini?
Mbona shira ya Zanzibar inasifiwa?
Napenda saana nyimbo za Tanzania lakini kiswahili wakati mwingine balaa ...nsaidieni mi ni mkenya na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.