Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Unamhitaji Ila huna shida naye Na Una shida naye Ila humhitaji
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Masada JF. Hivi, socialite anaitwaje kwa KISWAHILI fasaha. Kuna tovuti moja ya Kenya imetohoa - mwanasosholati !
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari. Nikiwa nafatilia vijana hapa waandishi wa habari ni jambo zuri kuwarithisha nyanja hii ya habari na kupata watangazaji bora huko mbele. Kipindi kupitia UTV cha Morning Trumpet naona...
1 Reactions
11 Replies
11K Views
Mnyonge / mɲɔngɛ / nomino Wanyonge (plural) Ngeli za nomino: a-, wa- MAANA YA NENO: 1. mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu...
4 Reactions
34 Replies
8K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JF. Mimi mdogo wenu nipo mzima pia. Ukiangalia screenshots hapo chini, kuna baadhi ya majina nimefanya highlighting kwa rangi ya orange. Hizo surnames ndio...
6 Reactions
150 Replies
31K Views
Dikteta (kutoka Lat. dictator yaani mwenye kutoa amri kama imla) ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilikua mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini dare s salaam , katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile , basi siku moja moja nilikuwa naenda kujirusha na...
1 Reactions
27 Replies
62K Views
'You can remove a man from the bush but you cant remove a bush from a man' Tafsiri yangu kwa uelewa wangu ni unaweza mbadilisha mtu(kike/kiume) kwa nje lakini huwezi mbadilisha kwa ndani.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu. 1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam...
23 Reactions
84 Replies
12K Views
Sitaki hata kuanza na salamu.. Hili neno kwa mara ya kwanza nimelisikia kipindi cha msiba wa marehemu Magufuli likitumika sana kwenye media za kenya kama ktn, ntv. Mapumziko kidogo. Siku za...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kiswahili kina misamiati michache au sisi wenyewe tunarahisisha tu kwenye kuongea?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
ZAMA ZA ZAMANI Ilifika wakati zama za zamani zikarudi, wala siyo vile vunubi makanisani Bali mtindo wa maisha ya duniani Ule ukweli ukawa uongo na uongo ukawa ukweli Matendo ya mbinguni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarin za asubuhi wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema, afisa kipenyo maana yake nini?
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Habarini wadau..Najua tuko kwenye majonzi makubwa kama taifa,,But katika kuskiliza nyimbo,kuangalia movies za Marekani hasa zenye Black Americans Characters kama Ice cube,Kevin Hart,Wesley...
4 Reactions
81 Replies
15K Views
[emoji38][emoji38][emoji38]
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ukiwa mmoja,i mean single song unaitwaje? zamani tulifundishwa kuwa Nation anthem inaitwa Wimbo wa taifa lakini siku hizi watangazaji wengi huita "nyimbo" je ni kiswahili fasaha na kina baraka ya...
0 Reactions
43 Replies
11K Views
Habari zenu wana jf... Nilikuwa naomba msaada kwa watalaam wa lugha ya kingereza kwani hivi sasa nimeanza kujifunza kiundani zaidi (i want to be deep) kwa hiyo unaweza ni-direct kwenye page...
8 Reactions
219 Replies
19K Views
Pana siku nilikutana na neno "Bandaling". Sikuwa nimewahi kulisikia. Mafundi paa walikuwa wakilitaja. Nini asili ya jina hilo? Neno lipi la Kiswahili ushawahi kukutana nalo ukabaki unashangaa?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kweli unajua maana ya hizi kauli na unajua asili ya lugha,Mambo ya kukopa misamiati mfano shirt na shati.aliyetohoa lugha yetu Ni muingereza na mwingireza kwa kutumia ukoloni akatutengenezea...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Kama kuna wakati kiswahili kimejishushia hadhi kimataifa, ni kipindi hiki kwa kuwa na salaam ya utata. Nilimuonea huruma Palamagamba Kabudi akihutubia wageni waalikwa wa nchini na wa-kimataifa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom