ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,557
- 44,745
Kama kweli unajua maana ya hizi kauli na unajua asili ya lugha,Mambo ya kukopa misamiati mfano shirt na shati.aliyetohoa lugha yetu Ni muingereza na mwingireza kwa kutumia ukoloni akatutengenezea lugha skirt ikawa sketi kiswahili chake bado hai hakijpatikana.