Kwa mujibu wa Omni Sigala ndivyo anavyoeleza mkuu. Anasema marehem inahusika zaidi na kumuombea dua/ rehema aliyefariki. Ni aghalam kutumia neno hayati kanisani, msikitini au makaburini. Kwa maana hiyo hayati itatumika pale inapokumbukwa mambo ya aliyefariki enzi za uhai wake. Hajaongelea kuhusu wadhifa, umashuhuri wala umaarufu wa aliyefariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.