Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
MY PROMISES TO YOU I can not promise you the world Even if I could deliver it to you I can not promise you the heaven Even if I could grant it out of the blue I can't promise what I could not...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi mbwa nimefuga, ili nyumba ailinde, Kwa jirani nimeiga, anaye kama kipande, Wabaya akiwaniga, na kuwafanya wakonde, Nini nitampa mbwa, ailinde nyumba yangu. Cha ajabu huyu wangu, kutwa kucha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeandika shairi la ubeti mmoja naomba kama tunaweza kuuendeleza! Hodi hodi naingia, Foramuni kuwajuza, Wageni wamevamia, Nchi kuiteketeza, Wenyeji baadhi pia, Hasa tuliowakweza, Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Penzi la kumegeana, si penzi la kupeana, Penzi la kutegeana, kwa kibaba kupeana, Penzi la kutishiana, la nini la kugawana? Penzi la kumegeana, si penzi hilo hiana! Penzi la kumegeana, ni...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Natumaini wazima wa afya wana jf atunabudi kumshukuru Mola, neno karibu ni neno la kistaarabu kwa kila Mtanzania wherever you go, sio karibu every things 'NO' KARIBU...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wa kijiji nimetinga, na swali nawapangia, Magwiji toka Iringa, wa Tanga naulizia, Na wa pwani mnotunga, fanya hima kujibia, Ndege asiyewindwa, akinasa aliwe? Ametoka bwana Kombo, keenda zake...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Tuliza moyo habiba, moyo wako na upoe, Upunguzie shuruba, hofu yote iondoe, Penzi letu sio haba, huzuni yako itoe, Tuliza moyo habiba, Penzi letu limeshiba! Tuliza moyo habiba, ni mbali...
0 Reactions
18 Replies
35K Views
Waswahili hivi Nyoka huwa anauma au anang'ata?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salamu marafiki. Nimekuwa nikisoma mabandiko kadhaa katika ukumbi. Nimeona kuwa kuna watu wana tabia ya kufupisha maneno kama kusikia basi nakadhalika kwa kueka herufi "c" badala ya herufi "s"...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Salaam wenzangu hasa wataalamu wa habari za kijeshi. Naomba msaada kuhusu maneno kwa ajili ya vitengo ya kijeshi. Kiingereza: Company, battalion, regiment, brigade, division, corps, army Nasikia...
0 Reactions
3 Replies
49K Views
Mwenye kukupa furaha, ewe moyo mchague, Asiyeleta karaha, ewe moyo mchukue, Mwenye kukupa staha, ewe moyo uamue, Moyo ukipenda moyo, moyo hutuliza moyo! Mwenye kusimama nawe, ewe moyo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
habari zenu wanajamii .. mimi huwa najitatiza swala zima la huyu samaki pomboo sijapa kumuona na pia sijui kizungu aitwaje? je ni kama wale binti wazuri wa kusadikaka katika hadithi zetu samaki...
0 Reactions
9 Replies
30K Views
Tanzania nchi yangu, yenye uso wa kung’aa, Afrika na Ulimwengu, sifa tele tapakaa, Wahindi nao wazungu, hakuna wa kuhadaa, Jinsi ilivyo sifika, kwa uongozi thabiti. Ilijulikana pote, Tanzania ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa siri yake mtungi, aijuaye ni kata, Na nyumba bila msingi, utapasuka ukuta, Kila palipo na wengi, na mambo ya yatambata, Kugunduliwa kompyuta, bin'Adamu hana kazi. Binadamu hana kazi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kutoka na misemo mingi ambayo huchafua lugha kwa kutumia misemo hii mimim naona si vema kutumika na kufindishwa mashuleni kwa watoto hutafsiri misemo hii kwa matendo na kusimiliana na kuyafanya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kina mama wenye watoto daima wanaitwa kwa majina ya watoto wao, mf. kama mtoto wake anaitwa "Mfaume" basi mama yake ataitwa "Mama Mfaume". Miaka ya karibuni - kama sikosei - kina mama wamekuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Napatwa utata pale mtu anapoulizwa jina lake au kuagizwa aandike jina lake, kisha anajibu au kuandika, mimi ni fulani fulani fulani ( John Alfa Mohamedi). Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote. Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:- Kurahisisha mawasiliano...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Huenda si hoja mpya, lakini najiuliza endapo tunajua kwamba Kenya inanufaika zaidi na Kiswahili licha ya kuwa na wazungumzaji wachache kuliko Tanzania? Nasema hayo kwasababu kibiashara au...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Zabibu langu li tamu, Pekee lanipa hamu, Ni tamu tunda adhimu, La kale kama ya Shamu! Linaendelea...
0 Reactions
51 Replies
11K Views
Back
Top Bottom