Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Bure mnazuzuka, enzi ni kama maua, Hayakawi kunyauka, hili ninachanganua, Chini yakapukutika, mwisho wake hivyo hua, Enzi ni kama maua, hayakawi kunyauka. Maua hunawirika, vizuri yakachanua...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimekuwa na pata wakati mgumu kukubali au kukataa katika utumiaji wa maneno/sentensi ifuatayo, "Naomba unipatie dawa ya mbu."Hii inatumika sana pale mtu anapofika dukani/supermarket kununua hii...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Asalamaleko malenga, magwiji mlobobea, Wa kijiji nimetinga, na swali nawaletea, Ninyi mlioko Tanga, Dodoma na hata Mbeya, Kati ya hawa watano, amuoe binti yupi? Kijana kanijongea, moyoni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
huwa nawasikiliza sana, hasa wasanii wetu na baadhi ya watangazaji. utawasikia wanasema, "hii nyimbo yako..." wanachanganya wingi na umoja hadi wanakera. waseme, "huu wimbo wako..." kitu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kila fani ina zana, nyingine zaitwa nyenzo, Iwe kazi ya kitwana, yenye malipo ya dezo, Au kazi ya kibwana, yenye mapochi ujazo, Jembe lisilo mpini, halifai kwa kilimo!! Jembe lisilo mpini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ninayasifu mahaba, ya wale walopendana, Mapenzi yasiyo haba, moyoni yamejazana, Siyo yale ya kuiba,hadharani kupeana, Penzi ni kupenziana, mpenzie akupenziaye!!* Ni mguso wa mahaba, mikono...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
It is Tuesday morning Sunny and bright Still my heart is aching For the passion of the night A smile and a laughter The touch and the kisses Everything better and sweeter Like the bed of...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kituko nimekiona, hapa kwetu kijijini, Kuna mtu ni kijana, anaitwa bwana Joni, Ana sifa ya aina, maana sijabaini, Kinyozi asiyenyoa, huyo kinyozi wa nini? Wanamuita kinyozi, apitapo mtaani...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Unapoulizwa swali, Kinachotakiwa ni jibu, Usingoje mara mbili, na kutafuta sababu, Wewe useme ukweli, au bora uwe bubu, Swali halijibu swali, kinachotakiwa ni jibu!!! Wewe toa hilo jibu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Lipi au yapi ni sahihi katika sentensi zifuatazo, naomba msaada kufahamu matumizi fasaha tafadhali. --- Waziri ameapishwa na Rais --- Waziri ameapizwa na Rais --- Waziri atamwapisha katibu wake...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Si sahihi kuandika maharifa, maalifa: Sahihi ni maarifa Si sahihi kuandika hushahuri, ushahuri, ushauli: Sahihi ni ushauri Si sahihi kuandika agharabu, Hagalabu: Sahihi ni aghalabu*(aghlabu) Si...
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Bwana Juma,mkazi wa Mwanza maeneo ya mabatini mlango mmoja aliamua kwenda kwao kijijini kuoa.Alifanikiwa kupata binti mzuri wa sura na tabia na kila mtu alikuwa akikubali ya kuwa kweli bwana Juma...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa muda kiasi sasa nimekuwa nikisikia msemo wa 'Habari ndiyo hiyo'. Je huu ni msemo ambao upo sasa katika jamii ya Tanzania? Na kama ni hivyo chanzo chake ni nini? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hatred or hate is a word that describes intense feelings of dislike. It can be used in a wide variety of contexts, from hatred of inanimate objects (e.g. homework, vegetables) to hatred of other...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
More than 3.5 million people have admitted shoplifting in the past five years, according to new research. What do they take? For some it is an addiction, for others a job or a...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nashindwa kujua maana hasa ya neno SHEMEJI. Nasikia watu wakiitana shemeji shemeji. Sipati maana halisi la neno hili shemeji kwani hata watu walioonana kwa mara ya kwanza, hawasiti kuitana...
0 Reactions
7 Replies
40K Views
Binafsi matumizi ya maneno haya unitatiza kidogo.Nilipokuwa Mwanza,barafu umaanisha zile rambaramba.Lakini nilipofika Dar,barafu umaanisha lile bonge la barafu la maji matupu ambalo wakazi wengi...
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Abdalla, A., 1973. Ushairi wa Kiswahili na Uhuishwe Usiuliwe Zinduko. Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu. Abdallah, A., 1977. Mashairi ya Miaka Kumi ya Azimio la Arusha UKUTA, Dar es Salaam...
0 Reactions
2 Replies
16K Views
Kuna tofauti kati ya maneno kufahamu na kujua. Kwa mfano Mtu ukisema 'namfahamu vizuri sana Anna' kuna tofauti na kusema 'namjua vizuri sana Anna'?
0 Reactions
5 Replies
27K Views
Siku hizi katika vikao, semina, Kongamano na matukio mengine ya aina hiyo kumekuwa na hali ya wanawake kutopendelea sana kutumika jina Chairman kwa maelezo kuwa jina hilo linaashiria mwendelezo wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom