Maji yanaweza kuwa safi lakini si salama kwa matumizi ya binadamu, na pia yanaweza kuwa salama lakini si safi kwa matumizi ya binadamu.mara nyingi nimesikia ikisemwa maji safi na salama.naomba kuuliza,je maji yanaweza kuwa safi lakini sio salama au yanaweza kuwa salama lakini sio safi?