Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 591
- 66
nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu