TWANJUGUNA
Member
- Jun 6, 2010
- 28
- 1
Huku wanasiasa wakitusukumilia jumuiya ya afrika mashariki ni lahaja ipi yastahili kutumiwa rasmi. kuna kiswahili cha mwambao - cha dar na mombasa; kunacho cha mijini - km nairobi kuna sheng; kunacho cha bara - ambacho kina maneno ya ki-bantu chungu nzima; kisha kunacho cha 'mbali' - kilichoingiliana na ki-ganda, ki-nyarwanda na ki-lingala.
Nakumbuka katika miaka ya sabini kulikuwa na mradi wa kuki-standardize kiswahili katika university of dar es salaam.
Sijui juhudi hiyo iliafikia yapi.
Napendekeza kuwepo jopo-kazi katika jumuiya ya kukiangaza kiswahili. na kuwa jf iwe mstari wa mbele.
Nakumbuka katika miaka ya sabini kulikuwa na mradi wa kuki-standardize kiswahili katika university of dar es salaam.
Sijui juhudi hiyo iliafikia yapi.
Napendekeza kuwepo jopo-kazi katika jumuiya ya kukiangaza kiswahili. na kuwa jf iwe mstari wa mbele.