Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,328
Habari wana wa Nyerere?
Hilo neno huwa linamaanisha nini? Maana watu wakiwa wanaongea utaskia kwa mfano wanasema haya ni mabasi ya mikoani, au...mizigo ya mikoani. Nk.
Tabia hii IPO sana hapa dar, watu wa mji huu ndo utaskia wanasema , nilienda mkoani au niliagiza kutoka mikoani, au unaskia mtu anawabeza wengine kwa kusema " hawa watu wa mikoani" n.k n.k.
Sasa mikoani ni wapi? Na wapi siyo mkoani ? Naomba wanaojua kiswahili watusaidie ktk hili maana huwa halikai vema akilini kwangu pale mtu anaposema mkoani... Najiuliza hapa dar siyo mkoani?
Tafadhali ni kwa ajili ya ufahamu zaidi.
Nawasilisha.
Hilo neno huwa linamaanisha nini? Maana watu wakiwa wanaongea utaskia kwa mfano wanasema haya ni mabasi ya mikoani, au...mizigo ya mikoani. Nk.
Tabia hii IPO sana hapa dar, watu wa mji huu ndo utaskia wanasema , nilienda mkoani au niliagiza kutoka mikoani, au unaskia mtu anawabeza wengine kwa kusema " hawa watu wa mikoani" n.k n.k.
Sasa mikoani ni wapi? Na wapi siyo mkoani ? Naomba wanaojua kiswahili watusaidie ktk hili maana huwa halikai vema akilini kwangu pale mtu anaposema mkoani... Najiuliza hapa dar siyo mkoani?
Tafadhali ni kwa ajili ya ufahamu zaidi.
Nawasilisha.