Ndugu
Ruheza NS ..
A = ABIRI
1. Abiri* kt [ele] =
sail, navigate, travel. (tde)
abiria, (tden) abiriana, (tdew) abiriwa; (tdk) abirika; (tds) abirisha. (Kar)
2. Abiri* kt [ele] =
forecast; foretell; predict. (tde) abiria, (tdn) abiriana, (tdew) abiriwa; (tdk) abirika; (tds) abirisha. (Kar)
3. Abiri* kt [sie] = learn from experience or incidents. (tde) abiria; (tdk) abirika; (tds) abirisha. (Kar)
B = PURA
Pura:
Sugua, Popoa, Angua, Chucha, Pukusa
1. Pura kt [ele] strip leaves by pulling.
2. rub cloth.
3 knock down sth. (tde) puria; (tdk) purika; (tdn) purana; (tds) purisha; (tdw) purwa.
C = RAGO, DAGO, MARAGO:
camp (noun), pl camps,
rago, pl
marago.
camping site (noun),
dago, pl dago.
pitch camp (verb), pl camps, -
piga rago.
set up camp (verb), -
panga kambi.
Mfano:
Mfano wa matumizi ya neno (
Rago, Dago, Marago): - Sorry ntatumia mistari ya Biblia nafikiri utaelewa matumizi ya hayo maneno katika sentensi:
Kwa mujibu wa Biblia katika Kitabu cha Kutoka 33:7-11
7 Basi desturi ya Musa, ilikuwa kuitwaa ile
hema, na kuikita
nje ya marago mbali na hayo marago; akaiita, hema ya kukutania. Hata kila mtu aliyekuwa akitaka neno kwa Bwana, akatoka, akaenda hata hema ya kukutania, iliyokuwa
nje ya marago.
8 Hata Musa alipotoka kuiendea ile hema, watu wote waliondoka wakasimama,
kila mtu mlangoni pa hema yake, akamtazama Musa, hata alipokwisha kuingia hemani.
9 Ikawa Musa alipoingia humo hemani, ile nguzo ya wingu ikashuka, ikasimama mlangoni pa ile hema; naye Bwana akasema na Musa.
10 Watu wote wakaiona nguzo ya wingu ikisimama penye mlango wa hema; watu wote wakaondoka wakasujudu, kila mtu mlangoni pa hema yake.
11 Naye Bwana akasema na Musa uso kwa uso, kama vile mtu asemavyo na rafiki yake. Kisha akageuka
akarejea hata maragoni; bali mtumishi wake Yoshua, mwana wa Nuni, naye ni kijana, hakutoka mle
hemani.
D = KUTAKABARI / TAKABARI:
Takabari =
Tamba, Ringa, Jivuna, Jiona, Jitapa, Kujishaua
Takabari (stakabari);
fanya jeuri au kiburi na kuona wengine si kitu; kandamiza watu kiuchumi, kisiasa, kiitikadi au kitamaduni.
Utakabari (ustakabari): hali ya kutakabari au kustadhaafisha.
Mtakabari/mstakabari (watakabari/ was-takabari): mtu mwenye kukandamiza watu kiuchumi, kisiasa, kiitikadi au kitamaduni.
.